Mzee wa makamo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2024
- 200
- 444
na bora ningejua mapema yaani siku ambayo ndo najiandaa nakuta matobo yakutoshaPole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na bora ningejua mapema yaani siku ambayo ndo najiandaa nakuta matobo yakutoshaPole mkuu
Alafu ndo kiwalo ulikuwa unakiaminiana bora ningejua mapema yaani siku ambayo ndo najiandaa nakuta matobo yakutosha
kumbe na wao wamooooNiliwahi kushudia wanapogana pipe...🤣
Panya siwakubal hata kidg,alafu havitoboagi kimoja vinatoboatoboa vingi balaaaaa hasara hivi vidude
Hujawawekea chakula wafanyaje sasa.Sasa mkuu ndo waje kutafuna vyeti? helaa notiii?
Yaaani Familiar Bora hata usinginikumbusha machungu aisee yaani hao panya kudaadeq zao walikula hati ya nyumba ya urithi ukatokea mtafaruko mkubwa sana mimi na ndugu zangu kisa panyaHawa wanyama wa ajabu sana waharibifu mpaka wanakeraa, wanaweza wakaingia kwenye begi wakaacha vitu visivyo vya maana wakatafuna vyeti vya shule au hela. kwakweli mimi nikiwaona hawakai kwa amani kabisa nitafanya kila jambo kuwasambaratisha.
20000 yanguu nomaaa mpwa na ndio ilikuwa nauli KWENDA kwenye interviewNJE YA MADA. View attachment 3227673
daaah acha mkuuAlafu ndo kiwalo ulikuwa unakiaminia
Nasikia hao panya ndo wanaleta chawaPanya siwakubal hata kidg,
Inzi, mende, kunguni, mbu, chawa khaa
Nikiwawekea chakula ujue wameishaaaHujawawekea chakula wafanyaje sasa.
Jitahidi kupanga vitu kidistancedistance ili usione uvivu wa kusafisha sehemu iliyorundikana au imejibana...panya hapendi usafi
aloooh pole sana mkuuYaaani Familiar Bora hata usinginikumbusha machungu aisee yaani hao panya kudaadeq zao walikula hati ya nyumba ya urithi ukatokea mtafaruko mkubwa sana mimi na ndugu zangu kisa panya
Hasante sanaaloooh pole sana mkuu
Story Yako inataka kufanana na yangu, Kuna siku piah nimejipikia zangu samaki mchuzi kama wote, Oyaa naenda dukani kununua unga wa sembe nusu, ile narudi namkuta panya kala mchomo kwenye mchuzi wa samaki anaangaika kutoka kwenye sufuria la mchuzi aliharibu bajeti yangu na nilimgeuza kitoweo.Nimepika bonge la nguna na ndondo ili nikitoka kwa mishe zangu ntakuwa nimechoka na isitoshe ntarudi Mida mibovu
Nimefika nimeoga Nile nilale dah
Panya washapiga sarakasi Sana kwenye sufuria la maharage na kwenye nguna wamedonoadonoa kishezi
sijajua sio viroboto kweli?Nasikia hao panya ndo wanaleta chawa
inawezekanasijajua sio viroboto kweli?