OHB11
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 525
- 1,155
- Thread starter
- #41
Hhaha hongeraKama alichofanya yule Msenegali jana kule nchini Ufaransa na tofauti yake tu ni kwamba Yeye alimuokoa Mtoto kutoka katika ghorofa ili asianguke na Kufa ila Mimi nilimuokoa Mlevi wa ' Mataputapu ' aliyepanda katika Mti mrefu wa Mnazi na nikafanikiwa Kumuokoa japo tulipofika nae chini na Mimi nilijikuta tayari nimeshalewa kidogo.
Ila ilibidi na wewe uwe promoted mkuu