Kitu gani hujawahi kuona tangu kuzaliwa?

Kitu gani hujawahi kuona tangu kuzaliwa?

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Ni vingi lakini hivi ni baadhi,

-Mmasai albino

-Mwanajeshi albino

-Ambulance ikiwa sheli (kituo cha kujazia mafuta)

Najua hata nyie vitinda mimba hamjawahi kuwaona mama zenu wakiwa wajawazito 😀


-Kwa upande wako wewe hujawahi kuona kitu gani?
 
Hizo mbili za mwanzo ziko sababu zake.

Kwanza Race ya kimasai wanaowana wenyewe kwa wenyewe ambao Ineonesha uingiliano wao hauna vinasaba vya kupata Albino... Kwa huu ukuaji wa Science swala la kupata Albino lipo kabisa ikiwa mmoja wenu au wote mna vinasaba vya Albino.. Ki ufupi ukipata Albino na ukifatilia ki undani kutoka kwako na kwa mwanamke hamna Jua umechapiwa(Ila uwe makini maana yaezekana kuna vizazi vingi vingi vyenu vilivyipota walikuwa nayo)

Lakini miaka ya zamani wamasai na jamii nyingine nyingi walikuwa wakiuwa watoto wenye ualbino wakiamini ni Laana

Pili kuwa na mwanajeshi Albino ndio hakuna kwasababu huo ni ulemavu kama ambavyo huwezi kuta mtu ambae ni kiwete ni mwanajeshi(Kazi ya jeshi kuna ukakamavu sasa ukisha kuwa Mlemavu wa jambo flani huwezi kukidhi vigezo)
 
Hizo mbili za mwanzo ziko sababu zake.

Kwanza Race ya kimasai wanaowana wenyewe kwa wenyewe ambao Ineonesha uingiliano wao hauna vinasaba vya kupata Albino... Kwa huu ukuaji wa Science swala la kupata Albino lipo kabisa ikiwa mmoja wenu au wote mna vinasaba vya Albino.. Ki ufupi ukipata Albino na ukifatilia ki undani kutoka kwako na kwa mwanamke hamna Jua umechapiwa(Ila uwe makini maana yaezekana kuna vizazi vingi vingi vyenu vilivyipota walikuwa nayo)

Pili kuwa na mwanajeshi Albino ndio hakuna kwasababu huo ni ulemavu kama ambavyo huwezi kuta mtu ambae ni kiwete ni mwanajeshi(Kazi ya jeshi kuna ukakamavu sasa ukisha kuwa Mlemavu wa jambo flani huwezi kukidhi vigezo)
Niliwahi sikia Masai akizaa kilema au Albino, humuua mtoto.
 
Niliwahi sikia Masai akizaa kilema au Albino, humuua mtoto.

Ndio ila kwa sa hivi ni ngumu kidogo.. Sio wao tuu hata makabila mengi walikuwa na huo ujinga. Tunaeza sema Wamasai ndo wa mwisho mwisho kwa hili.. Japo Ni nadra sana kupata mtoto wa ki Albino kwasababu vinasaba vyao havina sana Uwezekano wa kupata.

Jamiii ambayo imebarikiwa U Albino ni kanda ya ziwa ila wame wauwa wengi sana wakiwa watoto na hata wakubwa kwa sababu za Kishirikina.. Kanda ya ziwa unaeza kuta watoto wote wanne Albino
 
Back
Top Bottom