Hao yesu na muhamad ungewaona vp wakati hata babu yako hajawaona💥Sijawahi kuona Samia na kikwete wakipenda uzalendo
💥Sijawahi kuona rais muislamu tanzania ambaye ni mzalendo
💥Sijawahi kuona Muhammad akiwa na madhehebu
💥Sijawahi kuona Yesu akiwa na madhehebu
💥Sijawahi kuona mwanamke mwenye akili ya uongozi.
💥Sijawahi kuona shekh asiyekuwa shekh mandazi
Mtu akisema ajawai kumuona mtume akifanya uzinzi .....unadhani anazungumzia kumwona kwa macho au kwa mafundishoHao yesu na muhamad ungewaona vp wakati hata babu yako hajawaona
Anasemaje hajawahi kumuona mtu akifanya uzinzi wakati hakuwepo kipindi hicho ,akili hiziMtu akisema ajawai kumuona mtume akifanya uzinzi .....unadhani anazungumzia kumwona kwa macho au kwa mafundisho
Kwa kuwa umesema wewe ndugu yangu, naaminiNilikuwa nae alikuwa anakataa
Single package of ndom could reduce this shit!💥Sijawahi kuona Samia na kikwete wakipenda uzalendo
💥Sijawahi kuona rais muislamu tanzania ambaye ni mzalendo
💥Sijawahi kuona Muhammad akiwa na madhehebu
💥Sijawahi kuona Yesu akiwa na madhehebu
💥Sijawahi kuona mwanamke mwenye akili ya uongozi.
💥Sijawahi kuona shekh asiyekuwa shekh mandazi
Hawa wapo weeengiMmasai kilema
Wapo wanakataa sana na usahidi ninao....kama hajamwelewa mwanaume hapokei offer yake yoyoteKuona mwanamke akakataa pesa ya mwanaume
Nadhani anaanisha mambo yanayowezekana ila tu ni kwa vile hujawahi kuyaona au kushuhudia. I think hamaanishi yasiyowezekana.Sijawahi kuona Meli ina indicator
Wapo.Mmasai kilema
Hahaaaaaa uongo huo.Huwezi kuona msukuma akisema ameshiba, utasikia hapo afadhali
Kuona kuna maana mbili ...kuna kuona kwa macho na kuona kwa mantiki ....mfano mtu anaweza kusema sijawai kuona mungu akifa .. mfalme daudi anasema ajawai kuona mwenye haki kaachwa ...nk mfano mtu anakuambia unaonaje tukifanya hivi na vile ..hapo ni kuona kimantiki (logic) ..mfano mtu anaweza kusema sijawai kuona Mungu anaye watupa watakatifu jehanam...na kuwaingiza waovu peponiAnasemaje hajawahi kumuona mtu akifanya uzinzi wakati hakuwepo kipindi hicho ,akili hizi