1.Sipendi tabia ya mtu asiye na cheti kizuri kujihamihani,yaani ni shida baadhi akishaona umemzidi elimu na mpo kitengo kimoja muda mwingi atatumia kujihami.sijui wanadhani huwa wanafiriwaje.nawashauri wajikubali na solution waende kujiongeza kuliko kuwa kero kwa wenzao.sio wote lakini msinielewe vibaya coz nimekutana na watu vyeti hawana na full kujiamini na hawawi kero kwa wenzao.
2.Watu wanaopenda kujifanya wao ni maboss kwa kila mtu.da nilifanya kazi mahali fulani kaka moja akawa anataka kujifanya boss kwa kila mtu,kunyenyekewa hovyohovyo..mie kwangu alichemsha siku moja akaniambia yaani wewe G natafuta kitu kinachokufanya ujiamini hivyo.mara aniambie nina dharau.basi mwisho kwangu alichemsha