mens12
Member
- Apr 8, 2022
- 69
- 143
Habari wana JF? By make a story short, let jump to the topic. Mimi kitu ambacho sintoweza sahau ni pale mshikaji (Hassan) alikuwa akichungulia majibu kwa jamaa (Boni) wa pembeni alipo mchania mkeka.
Ilikua hivi, mtihani wa hesabu. Boni alikua mzuri kwenye hesabu hivyo Hasani akawa anakopi majibu kwa Boni, kumbe Boni alikua na mpango wake.
Alikuwa akikokotoa majibu ya kweli anaya nakili kwa pembeni na penseli alafu kwenye jibu anaandika majibu ya uongo.
Jamaa akawa hajashtukia anakopy tu maana alifanya hivyo kwa mitihani mingine (mserereko), ilipofika kama bado dk 30 kuisha kwa muda akaomba booklet nyingine ya majibu nakuanza kujibu majibu ya kweli. Jamaa alichanganyikiwa aese!
Ilikua siku mbaya sana kwa mshikaji. I hope jamaa ni fund kwa sasa maana toka zamani alikua akitumiwa na shule kwa issues mbalimbali za ufundi kama mabomba nk
Ilikua hivi, mtihani wa hesabu. Boni alikua mzuri kwenye hesabu hivyo Hasani akawa anakopi majibu kwa Boni, kumbe Boni alikua na mpango wake.
Alikuwa akikokotoa majibu ya kweli anaya nakili kwa pembeni na penseli alafu kwenye jibu anaandika majibu ya uongo.
Jamaa akawa hajashtukia anakopy tu maana alifanya hivyo kwa mitihani mingine (mserereko), ilipofika kama bado dk 30 kuisha kwa muda akaomba booklet nyingine ya majibu nakuanza kujibu majibu ya kweli. Jamaa alichanganyikiwa aese!
Ilikua siku mbaya sana kwa mshikaji. I hope jamaa ni fund kwa sasa maana toka zamani alikua akitumiwa na shule kwa issues mbalimbali za ufundi kama mabomba nk