Nipo jirani na kituo cha polisi hapaEeh mkuu tupo wote
Chato kuna gorofa? Oh basi sawa...Bila shaka umekuja enzi za Mwinyi, siku hizi Tz imejaa magorofa hata chatle kuna gorofa mkuu.
Dah kituo cha polisi tena mkuu, mimi nipo Tegeta Nyuki.
Zamani sana mkuuMkuu umekuja enzi za wakoloni Wareno
Kwa mpango huo kweli kuna ghorofa . Karibu Daslam blaza...Mkuu tuna tunajenga Bandari Kavu gorofa litatushinda
First time kufika Dar stendi ilikuwa Kisutu enzi zile barabara ya kariakoo ilikuwa vumbi tupu mvua zikinyesha vumbi linageuka uji mwepesi. Tukatoka kisutu kuja kariakoo kwa mguu, eneo la msimbazi kilichonishangaza ni antena za televishen kwenye maghorofa zilikuwa nyingi kupitiliza, vimesimikwa vimlingoti kama 200 kwenye ghorofa moja. Baadae tukapanda chai maharage kwenda masaki.
Wala sio zamani ilikuwa miaka ya 1989 nliletwa kuja kuanza std1Za zama hizi wewe ni miongoni mwa wapigania uhuru.