Kitu gani kinaendelea Baa za Dar?

Kitu gani kinaendelea Baa za Dar?

Siri ya mauzo kwa pande zote 2 ni kuwa na wahudumu wapya kila siku mwana.

1. Wanaume wanafataga Wahudumu wapya maana kwa akili zetu walevi tukiona mtu mpya tunawaza hata kwenye game ni mpya kumbe sometimes kashaharibu balaa kuanzia mikoani hadi bar za Dar, so mauzo ya vinywaji huongezeka kukiwa na wenzetu wapya

2. Mdada akienda sehemu wasiyomjua biashara zake zinasimama haswa! Anaonekana mpya wakware wanamshobokea
 
Siri ya mauzo kwa pande zote 2 ni kuwa na wahudumu wapya kila siku mwana.

1. Wanaume wanafataga Wahudumu wapya maana kwa akili zetu walevi tukiona mtu mpya tunawaza hata kwenye game ni mpya kumbe sometimes kashaharibu balaa kuanzia mikoani hadi bar za Dar, so mauzo ya vinywaji huongezeka kukiwa na wenzetu wapya

2. Mdada akienda sehemu wasiyomjua biashara zake zinasimama haswa! Anaonekana mpya wakware wanamshobokea
😁😁😁 kwahiyo walevi tunajua mali mpya kumbe tunapigwa ngumi ndoige bila kujua
 
nishakupata sasa boss
Na ndio maana mameneja wengi wa bar za hapa mjini wanatafuta wahudumu wenye tako

Walevi wakishalewa wanawashikashika tako, matiti ukimwelewa na kama lodge iko karibu ni dau lako tu unachepuka naye kama hajabanwa na kazi au mkapanga baada ya kazi au siku ana nafasi
 
Na ndio maana mameneja wengi wa bar za hapa mjini wanatafuta wahudumu wenye tako

Walevi wakishalewa wanawashikashika tako, matiti ukimwelewa na kama lodge iko karibu ni dau lako tu unachepuka naye kama hajabanwa na kazi au mkapanga baada ya kazi au siku ana nafasi
doooh kwahiyo ukimwi wazi wazi
 
Kama nilivyoanza hapo juu kuuliza kuna kitu gani kinaendelea ndani ya bar za dar es salaam.

mimi sio mtu wa maji ila napenda kujichanganya na wana siku moja moja kutazama EPL na wana huku tukipata maji na kutoa lock si unajua bhana maji ya baba ni mazuri kwa afya ya kiumbe hai yoyote yule.

jambo ambalo linanishangaza na nakosa majibu. mara nyingi kila nikienda bar nakuta wahudumu wanabadilika.

yani kila baada ya miezi mitatu au minne nakutana na wahudumu wapya nikijaribu labda kuwauliza yule fulani yupo wapi majibu wanayonipa kuwa hawajui alipo au kaacha kazi.

sasa wajuzi ebu naomba munijuze nini kinaendeleaga kwenye mabar ya hapa dar es salaam mpaka wafanyakazi wahudumu wa kike hawadumu sana bar.
Halafu ni kweli, Kila siku namtafuta Angel sijui aliko roho inaniuma sana.
 
We mtoa mada una umri gani? Bila shaka we ni ke na unatokea usukumani ndani ndani huko kwa akina mayala! Kiufupi we ni mshamba na mgeni mjini hapa
Ingetosha kusema ni mshamba au umri au ila uko kwengine unakosea sisi uku ziwani tunaelewa kwann wanabadilishwa kila baada ya miezi miwili au mitatu!!!
 
inshu sio kuchukua namba sio kila demu mzuri ina maana natakiwa nimtongoze au nilale nae.

kuna wengine tunawapotezea tu na uo ndo uanaume kudhibiti hisia zako
Uanaumee nikuzuia hisia zako c kuleta shobo kwa kila mwanamke unae muonaa,m,nimekuelewaa mkuuu.
 
Back
Top Bottom