Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
- #41
umempata mkuu au nae kasharud kwao tukuyu mkataba wake wa miez mitatu umeishaMdada mtamu sana Enjo jamani, nimeamua kumtafuta Dar nzima, mtaa kwa mtaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umempata mkuu au nae kasharud kwao tukuyu mkataba wake wa miez mitatu umeishaMdada mtamu sana Enjo jamani, nimeamua kumtafuta Dar nzima, mtaa kwa mtaa!
Siyo Tukuyu, Enjo ni mmasai.umempata mkuu au nae kasharud kwao tukuyu mkataba wake wa miez mitatu umeisha
Umenikumbusha Kuna dada flani alikujaga mtaani ana shape balaa akawa anajisitiri vizuri tu mabaibui kama yote, Basi vijana tukaanza kumshobokea vibaya mno aliyekula alikula daah baadae tunakuja kupata taarifa zake huko aliptoka tulichoka ikabidi kila MTU awahi hospital kucheki afya.Siri ya mauzo kwa pande zote 2 ni kuwa na wahudumu wapya kila siku mwana.
1. Wanaume wanafataga Wahudumu wapya maana kwa akili zetu walevi tukiona mtu mpya tunawaza hata kwenye game ni mpya kumbe sometimes kashaharibu balaa kuanzia mikoani hadi bar za Dar, so mauzo ya vinywaji huongezeka kukiwa na wenzetu wapya
2. Mdada akienda sehemu wasiyomjua biashara zake zinasimama haswa! Anaonekana mpya wakware wanamshobokea
Mpila× ni Mpira✓ninazitafuta ndo maana mpila sitazami banda umiza chief