Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe?

Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe?

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe? Embu tuambiane

Binafsi kuombwa kumnunulia mtu vinywaji sipendi kabisa maana kuna watu ni wasumbufu kinoma. Kzi kutia huruma kuomba kunuliwa vitu tu

Wewe kwanini ulikuja kwenye sehemu ya starehe bila pesa?
 
Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe? Embu tuambiane

Binafsi kuombwa kumnunulia mtu vinywaji sipendi kabisa maana kuna watu ni wasumbufu kinoma. Kzi kutia huruma kuomba kunuliwa vitu tu

Wewe kwanini ulikuja kwenye sehemu ya starehe bila pesa?
Kupokea sms ya gawio la Tigo sh 200, wakati huo umembamba mamaa wa chugga.
 
😂🤣😂 ""Blood supply in penis is much greater than the blood supply in the brain""

Hii ndio itakua sababu mkuu 😂🤣🤣
kwamba damu kwenye brain itakuwa kidg doc? na kama ni hivyo na oksijeni nayo sii itakuwa kidogo? 😂

au usikute ndo inafanya walevi wakate moto kwa muda 🤔
 
Yaani kwa tafasiri ya kiabaiolijia itakuwa hivyo kwamba uboo usimame lazima mishipa ya damu ijae kwa damu kuwepo.....

Either hiyo pombe ndo stimulus au mademu, au fikra za ngono au mwili tu wenyewe doc atuelezee kwa ufasaha tumwelewe.
Kabisa mkuu hata Mimi nilifundishwa hivyo.

Alafu huyu dokta ni wa mifugo, yampasa aende kuwahasi wale nyani wanaowasumbua wanawake kule rombo.
 
Back
Top Bottom