Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Rombo Tena unajua ndo home huko😂Kabisa mkuu hata Mimi nilifundishwa hivyo.
Alafu huyu dokta ni wa mifugo, yampasa aende kuwahasi wale nyani wanaowasumbua wanawake kule rombo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rombo Tena unajua ndo home huko😂Kabisa mkuu hata Mimi nilifundishwa hivyo.
Alafu huyu dokta ni wa mifugo, yampasa aende kuwahasi wale nyani wanaowasumbua wanawake kule rombo.
Ila jamaa kwenye hiyo industry Yuko vizuri lkn sii alisoma biology advance o level ko anajua vizuri hizi issueKabisa mkuu hata Mimi nilifundishwa hivyo.
Alafu huyu dokta ni wa mifugo, yampasa aende kuwahasi wale nyani wanaowasumbua wanawake kule rombo.
Ivo yaan 🤒...Kuanza kutambulishana kwa kazi tunazofanya na kuleteana mambo ya kazini .Leta vikombe kila mtu atawanyike.
Yeyoooo.Ivo yaan 🤒...
Siyo sifa nyingiiii....
Mdomo upige maji macho yatazame watoto wazuri ...basssss!
Shemeji yu salama kweli!Rombo Tena unajua ndo home huko😂
Nilikuwa nampa challenge ili akaze buti asije akajisahau😆😅😁Ila jamaa kwenye hiyo industry Yuko vizuri lkn sii alisoma biology advance o level ko anajua vizuri hizi issue
Hapana bado mm ni chali mdg tuu bwashee 😂Shemeji yu salama kweli!
Ujue manyani yamezidisha Uhuru.
Hahaha aseeh..... Ila waache warombo muda umekaribia wa kwenda kutuliza nyani 😂😂Nilikuwa nampa challenge ili akaze buti asije akajisahau😆😅😁
Oya niitafute msichana wa kumwoa huko rombo.Hapana bado mm ni chali mdg tuu bwashee 😂
Oh nipo dasalama hapa wapo wengi tu bwasheeOya niitafute msichana wa kumwoa huko rombo.
Nipe mamba zao nami nijaribu bahati yangu.Oh nipo dasalama hapa wapo wengi tu bwashee
namba Tena 😂 😂 kwanza unatokea wapi Tz hiiNipe mamba zao nami nijaribu bahati yangu.
Kwa sasa Niko Mombasa Kenya.namba Tena 😂 😂 kwanza unatokea wapi Tz hii
Ooh hongera mkuu..... Ukirud Tz we nichek japo pm naona inazngua maybe email au WhatsAppKwa sasa Niko Mombasa Kenya.
Sawa mkuu.Ooh hongera mkuu..... Ukirud Tz we nichek japo pm naona inazngua maybe email au WhatsApp
ko ipi nzuri WhatsApp au email?Sawa mkuu.
WhatsApp mkuu.ko ipi nzuri WhatsApp au email?