Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe?

Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe?

Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe? Embu tuambiane

Binafsi kuombwa kumnunulia mtu vinywaji sipendi kabisa maana kuna watu ni wasumbufu kinoma. Kzi kutia huruma kuomba kunuliwa vitu tu

Wewe kwanini ulikuja kwenye sehemu ya starehe bila pesa?
Sheikh ama mlokole kuja kwenye starehe na kuanza kuongea vitu anavyohisi yeye kuwa ni sahihi kwa mwanadamu kuishi ama kufuata. Unabaki kujiuliza kama hapendi starehe kwanini kaja kujirusha? Hawa watu wanaboa sana aisee.
 
Back
Top Bottom