Kitu gani kinakata vibe sehemu za starehe?

Kuanza kutambulishana kwa kazi tunazofanya na kuleteana mambo ya kazini .Leta vikombe kila mtu atawanyike.
Ivo yaan πŸ€’...
Siyo sifa nyingiiii....
Mdomo upige maji macho yatazame watoto wazuri ...basssss!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…