Umesahu kitimoto bucha kila baada ya nyumba kadhaaMnara wa Mashujaa Mbeya
Viazi
Mchele
Mahindi
Baridi
Uoto wa kijani
Mbuga ya Kitulo
Safi ya Milima ya Livingston
Ziwa Ngosi
Milima Rungwe
Milima Loleza
Kona za Chunya na mengi mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahu kitimoto bucha kila baada ya nyumba kadhaaMnara wa Mashujaa Mbeya
Viazi
Mchele
Mahindi
Baridi
Uoto wa kijani
Mbuga ya Kitulo
Safi ya Milima ya Livingston
Ziwa Ngosi
Milima Rungwe
Milima Loleza
Kona za Chunya na mengi mazuri
Ugambile stupid mbele ya my wife😁Senene.
Wa dampoWadudu.
Rara nikurarie mama boke😁"Mama yoyoo hebu rara nikurenge"
Mwana marundiJiji la miamba
Mlogoro😀Mji kasoro bahari
Ilimradi ujaze msg ulizoanzisha sasa hii ni nini??? Mbona mnaharibu huu mtandao si ungeenda face book Ngosha...ndio maana wazanzibar hawataki kujitambulisha kama watanzania,wale woote ni Wazanzibar kama vile British people, Dutch people nk. Unaweza ku pretend Mtanzania ila Moroni mwako weweni Mmwanza au Mmachame nk upuuzi mtupu.Nadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
YashighalaJiji la miamba.....🪨
Kumbe ndugu yangu kabisa wewe msukuma🤸Jiji la miamba.....🪨
seneneNadhani kila Mkoa nchini Tanzania una alama yake au kitu fulani maarufu sana kinachutambulisha Mkoa bila hata kuambiwa ukiona unajua tu hii kitu ya mkoa fulani. Twende kazi wadau, nini kinautambulisha mkoa wako?
Jirani yangu kabisa napanda tu mv naniliuKumbe ndugu yangu kabisa wewe msukuma🤸
Umehamia kutusimanga liveeeKaka zangu ukiwapa mke/pombe hafikishi zinapoenda lazima ataonja.
Mimi na wapare wapi na wapi🤸Umehamia kutusimanga liveee
Hapana, hao wapare wasichana hawajui kukataaa.Mimi na wapare wapi na wapi🤸