Kitu gani/mambo gani yanapendwa na watu lakini wewe hayakushawishi kukuvutia/kuyapenda?

Kitu gani/mambo gani yanapendwa na watu lakini wewe hayakushawishi kukuvutia/kuyapenda?

dvj nasmiletz

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,079
Reaction score
2,254
Mimi binafsi
Sijawahi kuvutiwa na mtandao wa twitter,instagram japo nina akaunt lakini sijui nimetumia lini mara ya mwisho

Sijawahi kuvutiwa na tattoo za aina yoyote

Sijawahi kuipenda timu ya simba hata chembe hata yanga isingekuwepo sijui kwann

Sijawahi kushawishika kwenda gym wala swimming ..hata waje polisi hunikuti huko

Kuna hizi bia windhock,heinken na zingine zote za nje sizipendi sijui kwann...yaani ukitaka tuzinguane au niboreke niende sehem nikute zipo hizi tu.

Sinaga shobo na mademu..mpaka kufikia hatua ya kumfukuzia kwao..hilo hapana siwezi...dem kama anashida na mm anitafute

Wewe je
 
Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..

Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..

Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo

Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..

Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..

Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo

Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
unasikiliza nyimbo gani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We niwa kiume ..??
Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..

Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..

Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo

Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..

Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..

Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo

Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
kingine ambacho nawaonaga ni watu wa ajabu ni wale wanaenda vijiweni na kunywa kahawa na kashata sijui.....yaani sijui wanapata ladha gani..nawashangaaga sana aisee
 
Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..

Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..

Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo

Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mwanangu yan kat ya vitu adimu unavyovikosa ni ndan ya reggae! Mzee just try a little bit to listen reggae's msg kuna kitu utajfunza trust me

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umalaya! Yani mimi kuwa na Mademu wawili kwa wakati mmoja siwezi kabisaaaaa nimeshindwa! Mimi ni muumini Mkubwa sana wa True love huwa nakaa na demu mmoja nampa mapenzi yoote akizingua tu akinicheat basi huwa siulizi mara mbili napiga chini hapo hapoo!

Nishadate na wanawake zaidi ya 15 huyu wa 16 niliye naye sasa Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu hajawahi nicheat na hana ha dalili ya kucheat! Ila akicheat tuu I dont care who the Hell she is, nampenda kiasi gani mm napiga chiniii! Coz mm Mwanaume vishawishi vipo vingi ila nimetulia kwa sababu yako halafu wewe ndo uniletee upimbi?

Huwa sinaga msamaha kwa hilo namshukuru saana Mungu na sijawahi kata tamaa hata niumizwe vipi sijawahi kufikiria kuwa na mademu wengi au kuacha kupenda eti kisa mademu hawaaminiki! Nina Imani wapo wanaoaminika na ndo nitakayemuoa mm I hope niliyenaye ndiye nwenyewe


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Siwezi kusikiliza Singeli na modern bongo Fluleva
Siwezi kushabikia mpira wa bongo
Siwezi na sijawahi kutumia Instagram

Nk.
Yaani kumbe tusio penda singeli ni wengi na hapo kwenye modern bongo fleva tuko pamoja kabisa. Kwenye device yangu zimejaa bongo fleva za zamani na hip hop ngumu za kina niki mbishi, songa dizasta n.k. Hizi za sasa sizielewi kabisa asee.
 
Back
Top Bottom