EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
DahI call it how i see it.
If it walks like a duck,quacks like a duck, sits like a duck then it most likely is a duck.
Hao jamaa ni mapunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahI call it how i see it.
If it walks like a duck,quacks like a duck, sits like a duck then it most likely is a duck.
Hao jamaa ni mapunga
I call it how i see it.
If it walks like a duck,quacks like a duck, sits like a duck then it most likely is a duck.
Hao jamaa ni mapunga
Tupo pamoja mkuu Usimsahau mchizi Roma,Montr the future,izzo,fid nkYaani kumbe tusio penda singeli ni wengi na hapo kwenye modern bongo fleva tuko pamoja kabisa. Kwenye device yangu zimejaa bongo fleva za zamani na hip hop ngumu za kina niki mbishi, songa dizasta n.k. Hizi za sasa sizielewi kabisa asee.
We ni jinsia gani mkuu ?Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..
Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..
Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo
Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi utakuwa na vinasaba vya upande wa pili Either ubwabwa au mchele wali biriani.Sijawahi penda miziki ya singeli na reggae japo nasikiliza sana muziki, pc ina nyimbo zaid ya 15k ila hamna huo ujinga..
Mpira sina muda nao kabisa, mashabiki wake huwa nawashangaa sana..
Habar ya disco sijawah shawishika nayo hata kidogo
Chura sijui na wale wanawake mabonge tofauti kabisa na mm, dem akiwa cheupe alaf kimbaumbau nitatumia kila maarifa nimpate[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Montra,izzo,moni wote sio hip hop ngum mzeeTupo pamoja mkuu Usimsahau mchizi Roma,Montr the future,izzo,fid nk
Kabsa mkuu wanzngua tu hawaNyie ni mapunga wenye inferiority conplex.
Unakuta hapo mnasikiliza sana country music,EDM na pop ili uwe kama mzungu halafu vya kwako husapoti
Kuna siku nimeonja hiyo kahawa kwenye kale kakikombe..daaah nilihisi "krolokwini'Kahaw na kashata Ni tamu bana..
sipendi mpango wa kupanga foleni kwenye misosi harusini au kwenye tafrija za gambe...Mtu akisikia njaa akale kama bar vile...
Sent using Jamii Forums mobile app
Una moyo..Umalaya! Yani mimi kuwa na Mademu wawili kwa wakati mmoja siwezi kabisaaaaa nimeshindwa! Mimi ni muumini Mkubwa sana wa True love huwa nakaa na demu mmoja nampa mapenzi yoote akizingua tu akinicheat basi huwa siulizi mara mbili napiga chini hapo hapoo!
Nishadate na wanawake zaidi ya 15 huyu wa 16 niliye naye sasa Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu hajawahi nicheat na hana ha dalili ya kucheat! Ila akicheat tuu I dont care who the Hell she is, nampenda kiasi gani mm napiga chiniii! Coz mm Mwanaume vishawishi vipo vingi ila nimetulia kwa sababu yako halafu wewe ndo uniletee upimbi?
Huwa sinaga msamaha kwa hilo namshukuru saana Mungu na sijawahi kata tamaa hata niumizwe vipi sijawahi kufikiria kuwa na mademu wengi au kuacha kupenda eti kisa mademu hawaaminiki! Nina Imani wapo wanaoaminika na ndo nitakayemuoa mm I hope niliyenaye ndiye nwenyewe
Sent from my iPhone using JamiiForums