kukesha club kila siku, kunywa pombe kupita kiasi, kuvuta sheesha, waendesha altezza na subaru kwa fujo wananikera, threesome, mwanaume kukutongoza na kuanza kukuchukia ukimkataa(fala kabisa) nikikumbuka mengine ntarudi kuongeza. Ila baada ya kukua nimekuja kuelewa tuko duniani na kila mtu ana tabia yake na mfumo wake wa maisha. Na huwa siwahukumu ila ukitaka unichefue uniulize kwanini sipendi usichopenda.
Simu ya Iphone jamani, huwa nashangaa watu wanavyopienda na kuzishobokea. Sijawahi hata kushawishika kuitumia wala kuipenda hata nikiiona . Mimi na Samsung daima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.