kukesha club kila siku, kunywa pombe kupita kiasi, kuvuta sheesha, waendesha altezza na subaru kwa fujo wananikera, threesome, mwanaume kukutongoza na kuanza kukuchukia ukimkataa(fala kabisa) nikikumbuka mengine ntarudi kuongeza. Ila baada ya kukua nimekuja kuelewa tuko duniani na kila mtu ana tabia yake na mfumo wake wa maisha. Na huwa siwahukumu ila ukitaka unichefue uniulize kwanini sipendi usichopenda.