The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Watoto wanakosa wa kucheza nao mamaa,,ukiwa single father kazi sanaHatua nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto wanakosa wa kucheza nao mamaa,,ukiwa single father kazi sanaHatua nzuri sana
Madhara ya single fatherInapendeza sana 👌
Siyo kazi sana,komaa mbona singlemom tunakomaa🤒Watoto wanakosa wa kucheza nao mamaa,,ukiwa single father kazi sana
😹😹😹Kumalizia ghorofa langu vikindu ila Bado kidogo sana
Ila wewe 😂, haya imekusaidiaje?Nimeacha kuziba shimo la panya kwa kutumia kipande cha mkate
Home works za vijana, ucheze nao wakudai cartoons aisee,Mara babà leo tunalala chumbani kwako,Siyo kazi sana,komaa mbona singlemom tunakomaa🤒
Nimesoma kichwa cha habari Tu.Tupe uzoefu wa mwaka 2025 kwa siku hizi siku 64 za mwanzo.
Toka january mpaka leo, vitu gani vya manufaa au tabia gani mpya zimekusaidia / zimebadili maisha yako.
View attachment 3260479
Binafsi ni ku prioritize afya yangu, kufanya mazoezi na kula vizuri.
Daah safi sana 👏 , muda si mrefu utafungua na nyingine!Nimefungua saloon ya kiume bongo, gadamn. Napata mzigo. Fremu zangu lakini. Mtaji 400,000 ila nimeurudisha chaap. Nakula faida before even 3 months.
🤣🤣🤣 Pole sana,vumiliaHome works za vijana, ucheze nao wakudai cartoons aisee,Mara babà leo tunalala chumbani kwako,
biashara gani io👁Nimeanzisha Biashara na inanilipa vizuri tu
Vikindu ipi?Kumalizia ghorofa langu vikindu ila Bado kidogo sana
Hongera sana mkuu 👏 👏 👏Nimesoma kichwa cha habari Tu.
Uaminifu katika Kazi yangu ya Udalali imezaa matunda.
Sasa nimeanza kufahamiana na maboss Mbali Mbali.Kwangu hii kitu ni kubwa sanaaaa hata kama bado hawajaanza kununua Kazi zangu.
Kuwa na namba zao za simu na kufanya mazungumzo ya kibiashara kwangu Mimi ni bonge moja la deal.
Hapo chacha 😹😹Vikindu ipi?
Huwa nakuja sana mtaa wa chuo kwa demu wangu wa kinyambo kunywa bia kwa pub yake ila sijawahi ona ghorofa lolote huko Vikindu...
Labda ungesema Mbagala ningekuamini
Navumilia mama,yatapita tu🤣🤣🤣 Pole sana,vumilia
👏 👏 👏 👏Ufugaji wa
Kuku
Kuku
Kuku
Kuku
Kuku
Kuku
Kuku