Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Ni kitu gani katika maisha yako uliwahi kukifurahia kabla lakini ukaja kukuta sivyo kabisa na matarajio kiasi cha kukukata stimu kabisa.
Mfano mimi kipindi tunasoma boarding nakumbuka ilikuwa jumatano iyo siku inakuwaga siku ya kula pilau pale shuleni sasa bhana siunajua mambo ya boarding zikifikaga siku za pilau na nyama mnakuwaga mnaona muda hauendi kwa jinsi mnavyongojea kufinya ubwabwa,
sasa nakumbuka tupo zetu hosteli ndani tunasubiria time ifike tu tukafinye zetu kichele, basi muda wote tupo ndani kule tunacheza miziki balaa full mijasho yaani full kujitupatupa na minyimbo ya TMK wanaume " hakuna kulala hakuna kulala hatakama hujala hatakama hujala" yaani ilikuwa full shangwe, sasa bhana time ikafika kwenda zetu dining tukakuta MAKANDE. bhana tulikaa chini tumenyong'onyea yaani ilikuwa kama kuna msiba.
Mfano mimi kipindi tunasoma boarding nakumbuka ilikuwa jumatano iyo siku inakuwaga siku ya kula pilau pale shuleni sasa bhana siunajua mambo ya boarding zikifikaga siku za pilau na nyama mnakuwaga mnaona muda hauendi kwa jinsi mnavyongojea kufinya ubwabwa,
sasa nakumbuka tupo zetu hosteli ndani tunasubiria time ifike tu tukafinye zetu kichele, basi muda wote tupo ndani kule tunacheza miziki balaa full mijasho yaani full kujitupatupa na minyimbo ya TMK wanaume " hakuna kulala hakuna kulala hatakama hujala hatakama hujala" yaani ilikuwa full shangwe, sasa bhana time ikafika kwenda zetu dining tukakuta MAKANDE. bhana tulikaa chini tumenyong'onyea yaani ilikuwa kama kuna msiba.