Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha 🤣 ni kweli kabisa[emoji1787][emoji1787]
Basi husaidiki mkuu (for those years)
ushasema ana hoarding syndrome [emoji1787]Nilienda nyumbani kwa mtu ambaye ni hoarder, nyumba ilikua imejaa makorokoro mpaka sebuleni sehemu ya kukaa ni shida. Nilishangaa kwanini hatupi au kugawa vitu asivyovihitaji.
KUNA MWANA GHETTO KWAKE ALIKUWA ANAMILIKI FIRST AID KITNiliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd.
Cc: Al-mukheef | Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa | Tajiri Sinabay | Thecoder | Davidmmarista | Cassnzoba | mzabzab | Atoto | Madame B | Evelyn Salt | Eli Cohen | Mwachiluwi | Kapeace | new gal | Qashy Lilith | realMamy | Midekoo | min -me
Uko sahihi, ni "mental health problem" yenye fedheha sana, kwa sababu yeye ile namna yake ya kuishi haionei tatizo kabisa!ushasema ana hoarding syndrome [emoji1787]
Akiwapa maana yake kapona.
🤣🤣🤣🤣 Hatari sana.[emoji1787][emoji1787]
Kama ulikuwepo vile mkuu yan mwamba kabla hajaingia skuli ilikuwa lazima azimue hata konyagi kidogo.
Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd.
Cc: Al-mukheef | Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa | Tajiri Sinabay | Thecoder | Davidmmarista | Cassnzoba | mzabzab | Atoto | Madame B | Evelyn Salt | Eli Cohen | Mwachiluwi | Kapeace | new gal | Qashy Lilith | realMamy | Midekoo | min -me
Rangi za kupaka kucha! inaonekana zilikuwa nyingi sana kiasi cha kushangaza!Asee umenikumbusha ile nyumba nilienda nikafikia 'sebleni' kwanza muundo wa ndani wa ile nyumba sijawahi kuona mahali popote
Kilichonishangaza ni rangi zile za kupakaa kucha zilizopangwa pembeni ya kuta za pale ndani (nimeshindwa kuelezea ukapata picha halisi lakini nilishangaa)
Sikuwahi kuona muundo wa vile kabla zilikuwa kama 10 hiviRangi za kupaka kucha! inaonekana zilikuwa nyingi sana kiasi cha kushangaza!
Hio sebule ina muundo gani huo never seen before! 😳
Geto kali wapi mdau? Nilijagundua mwana Ana pigo za kisnitchMwana itakuwa alilikubali akaona getto kali 😎