Kitu gani ulikikuta kwenye nyumba au ghetto kikakushangaza sana?

Kitu gani ulikikuta kwenye nyumba au ghetto kikakushangaza sana?

Hii yangu inatisha kidogo,ilikua ji drc tumemtembelea best yetu anakaa jimbo ps bandundu,kufika gheto jamaa kama tunavyotundika jeans,tisheti,boksa, na yeye katundika smg,bastola,riffle,LMG,AK47,mpaka nyingine hatuIjui zinaitwaje,tunashangaa anatucheka2 anatuambia nyie mutu ya tZ waoga sana,chulua moya ukatumie
 
Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd.

Cc: Al-mukheef | Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent businessman | mshamba_hachekwi | Half american | Mallerina | makutopora | To yeye | cocastic | Numbisa | Tajiri Sinabay | Thecoder | Davidmmarista | Cassnzoba | mzabzab | Atoto | Madame B | Evelyn Salt | Eli Cohen | Mwachiluwi | Kapeace | new gal | Qashy Lilith | realMamy | Midekoo | min -me
Chai
 
nilienda kumsalimia mamdogo hapo kigogo, mumewe ni fundi garage sasa siku hiyo alisema ana udhuru atachelewa kurudi tukaenda kurundikana chumbani kwa huyo mama mm na wanawe,

nikaangusha nguo ikabidi niiname niokote macho yakatua uvunguni aisee utasema stoo, uvungu umejaa jeki skui like mnaita rim mi spana na minnati ya kumwaga dishi ndani limejaa plugs kuuliza nilishindwa mpaka nimeondoka kaniachia maswali kibao, had leo sidhan anajua kama niliona vile vitu kule uvunguni yani hata nyoka ageingia agejichimbia freeesha akaanzisha na familia kabisa.
duh! Garage ya chumbani hio!
Kuna mda mambo yanavuruga mpaka unajisahau hata kupanga ndani, sema na mamdogo alitakiwa azingatie kupangapanga humo ndani na usafi wa mara kwa mara.
 
Nikiwa mdogo Mwaka 1991 niliingia kwenye geto la braza angu Mmoja hivi,.. Sasa kule Kijijini mageto ya vijana walikuwa wanapamba sana na magazeti... Yaani geto Zima unakuta limepambwa na magazeti... Sasa kwenye Ile geto braza naye alikuwa amepamba magazeti,... Mojawapo ya gazeti lilikuwa na picha ya wachezaji wa Simba Sports Club, mojawapo wa wachezaji namkumbuka alikuwa Method Mogella...Baada ya kuona Ile picha,.. nikaipendaga timu ya Simba mpaka Leo na nikajikuta nimekuwa shabiki wake moja kwa Moja...

Inashangaza.....
 
Nikiwa mdogo Mwaka 1991 niliingia kwenye geto la braza angu Mmoja hivi,.. Sasa kule Kijijini mageto ya vijana walikuwa wanapamba sana na magazeti... Yaani geto Zima unakuta limepambwa na magazeti... Sasa kwenye Ile geto braza naye alikuwa amepamba magazeti,... Mojawapo ya gazeti lilikuwa na picha ya wachezaji wa Simba Sports Club, mojawapo wa wachezaji namkumbuka alikuwa Method Mogella...Baada ya kuona Ile picha,.. nikaipendaga timu ya Simba mpaka Leo na nikajikuta nimekuwa shabiki wake moja kwa Moja...

Inashangaza.....
Inashangaza kiukweli! enzi hizo hamna mitandao ya kijamii.
 
Nliwahi ingia getho la kamanda mmoja mjeda mtu mzima halafu yuko single aisee nlishangaa kukuta masufuria juu ya kitanda na pia vyombo vichafu vina kama wiki mbili sufuria moja la ugali lina maji yametengeneza povu hilo mpaka nkamuuliza umejifunza lini kutengeneza libeneke.nlijua pombe ya kienyeji kumbe kaloweka nfugo ya ugali
 
Nliwahi ingia getho la kamanda mmoja mjeda mtu mzima halafu yuko single aisee nlishangaa kukuta masufuria juu ya kitanda na pia vyombo vichafu vina kama wiki mbili sufuria moja la ugali lina maji yametengeneza povu hilo mpaka nkamuuliza umejifunza lini kutengeneza libeneke.nlijua pombe ya kienyeji kumbe kaloweka nfugo ya ugali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Libeneke og
 
Back
Top Bottom