Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noma sana tena wapo wenye familia kabisa inapigwa tu pazia katikati huku wanalala watoto kule wanalala wazazi.Kwa mara ya kwanza nilienda kumtembelea mtu nikakuta anakaa kwenye chumba kimoja nilishangaa Watu wanawezaje kuishi hivyo
Yaani humohumo jiko kitanda kochi na makorokoro kibao.. halafu chumba ni kidogo mno
Sema watu wa Dar noma sana
Kwa hiyo nao aliubeba alipoiba hukohaha sa bila mtungi itawakaje
Hehehehehehehehehehehehehehehehe
Sasa si angenunua tu jiko la gesimtungi si ile ya mihan mzee inauzwa
hahahaha [emoji1787]Mimi swala la betri dirishani tena nyingi, kuchomeka miswaki kwenye nondo za dirisha kama imesimama na mapazia yenye mueonekano wa mashuka kama plastic, na shuka lenye ua limeshonesha limetokezea linanishangaza mpaka leo.
Hehehebangi huyo jamaa sura ya kutishia watoto, anapiga konyagi ndio anaingia class hapo unategemea nini
Na huyo dogo kweli analeta hizo chapati tano?ni type ya wale wana tuliwakuta skuli, wanatuma madogo
"oy dogo chukua hii mia leta chapati 5 na chai na chenj irudi, niangalie vizuri hii sura ole wako ukimbie au useme kwa ticha"
[emoji1787]
Mbona kawaida hii, au kipi cha ajabu?KUNA MWANA GHETTO KWAKE ALIKUWA ANAMILIKI FIRST AID KIT
HeheheMbona kawaida hii, au kipi cha ajabu?
Sasa hana wazazi wa kusemea 😃acha kabisa mwang ilikuwa kisanga enzi za skuli dogo form nyoya asipeleke skuli ataiona chungu na atahama.
Unafikiri anakuwa ni dogo basiNa huyo dogo kweli analeta hizo chapati tano?