Kitu gani ulikikuta kwenye nyumba au ghetto kikakushangaza sana?

Shuka la msd πŸ˜‚
 
nilienda kwenye geto la mshikaji wangu mmoja kumdai,

nikakuta amesonga ugali wake vizuri, na nyanya(ameunga nyanya moja na kitunguu tu)

nikachoka hata nguvu ya kumdai nikakosa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…