Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Ulishawahi kuona yale Mazingira ya kushindwa jambo au kukosa fursa kabla hata hujaipata, basi kuna wakati unaweza kujikuta umefeli Interview hata kabla ya kupewa Majibu na Kampuni husika
Umeshawahi kupatwa na hali hii? Nini kilitokea?
Umeshawahi kupatwa na hali hii? Nini kilitokea?