🤣🤣🤣🤣🤣akili zako unazijua mwenyewe wallahMm jinga sana aisee. Hua nacheka kwenye matukio siriaz.
Hasa kanisani wakati wa matangazo watu wanaongea errors kishenzi.
Eti samahani mwenyekiti "Nina jambo mboja kesho nitacherewa kido, maana niko bide....
Hahaaaaaa 😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣akili zako unazijua mwenyewe wallah
Naona unaendaga kwa ajili ya kusikiliza makosa ya wazee wa kanisa😂😂😂😂Hahaaaaaa 😁😁😁😁
Ukweli yani tena hayo ni machache hua napasuka mbavu kishenzi
Inaburudisha pia aisee..Naona unaendaga kwa ajili ya kusikiliza makosa ya wazee wa kanisa😂😂😂😂
Sanaaaaaaaa...kama mim ninavyovunjwa mbavu na vituko vya wachangiaji...Inaburudisha pia aisee..
Napenda kusikiliza error sana.
Eti "mimi napenda kunywa chanyi (chai ) ya moto au Shitombe moja ya shahawa (kikombe cha kahawa)Sanaaaaaaaa...kama mim ninavyovunjwa mbavu na vituko vya wachangiaji...
Wewee ni bangi aiseehEti "mimi napenda kunywa chanyi (chai ) ya moto au Shitombe moja ya shahawa (kikombe cha kahawa)
Ni mtu aliyasema hayoWewee ni bangi aiseeh
Hya kituko kingine..niendelee kucheka maaana naona wakuu wamellalaNi mtu aliyasema hayo
Kuna mzee mmoja (True story)Hya kituko kingine..niendelee kucheka maaana naona wakuu wamellala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wat wanamabalaaKuna mzee mmoja (True story)
Alikua anapiga adhanaa msikitini alaaaahuuuuu akbaaaaaarr wakati anapiga adhanaa akapita mtu anayemdai hela. Yule mzee akaitaa Raaaashidi (mjukuu wake) njoo umalizie adhanaaa nimemuona yule mtu ninayemdai buku yangu
Ahahhahahahaha ulicheka sana eeKwny kipindi cha jamaa anaitwa kuchere nadhani wa ETV jamaa alimuuliza mpita njia neno MUBASHARA maana yake ni nini?
Mchizi akajibu ni"KAMA CHAKULA FLANI KITAMU KITAMU HIVI",hahah
Ahahahahahah watu wnaa maneno sana,Jamaa flani alikuwa anakata gogo kwenye shamba la mtu,
Mara paa mwenye shamba akamfuma akaulizwa
"we kwanini unakunya hapo?"
Jamaa bila kujali kosa lake huku akiendelea kushusha mzigo akajibu
"kwanini wewe unakunya chooni"
Basi tulicheka sana siku hiyo mana mwenye shamba akabaki kazubaa sisi na jamaa haooo tukasepa na safar yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda kule baharini hayapo maharagweMajuzi niko Safarini kwenye basi wakaweka Movie ya Bongo Mavi ilikuwa movie moja ya Hemedy inaitwa Figisu Figisu.
Kwenye ile movie kulikuwa na Jini ambaye ni mtoto na alikaa na Hemedy sana sasa siku anamuaga kurudi Baharini akasema "Mimi naondoka ila nitamiss sana Maharage" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah nilicheka kusikia jini linamiss maharage.
Jana nimeandika huu uzi nimelewa yaan nikausahau ndio nakumbuka sasa hivi jamanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka Mama G
Kumbe Mama Sabrina
Ahahahhahaha huna aibu kama mimi nikitaka kitu naomba kuongezewa tu [emoji23][emoji23][emoji23]mie mwanzo nilivyopanda ndege,imefika wakati wa msosi tukapewa wote,Becky alivyo mshamba nikala haraka haraka nilivyomaliza nikamsimamisha muhudumu wa ndege nataka nyongeza ya chakula hahahaaa Mhudumu akaniambie nimpe dakika mbili atarudi..sikumuona tena,naona aliona huyu mluga typical hahaaaaaaaa...nikikumbuka nacheka sana 😀😀😀😀,