Wewe yako ujasema mkuu ππππHabari zenu,
Huu ni uzi maalumu kwa watu ambao wanatamani kuacha kufanya jambo fulani lakini imekuwa ngumu kwao.
Funguka hapa huenda ukapata msaada na ukaweza kuyashinda yanayokutatiza.
Sema tutakusaidia πππππππYangu hadi naona aibu kuiandikaπ‘
Kunywa pombe ni dhambi...πππBia aisee huwa nikinywa napata amani sana ya roho, sijui kama ntakuja kuacha
Utaacha tuu ikifikia maximum point ambayo no elastic limitNyeto mazeee....
Nishaijua.Yangu hadi naona aibu kuiandikaπ‘
Hiyo hiyooππ. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?Nishaijua.
Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhariπSema tutakusaidia πππππππ
Kama ndo hiyo ..Hiyo hiyooππ. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?
ππ unaweza shtuka pimbi imeleta reference na hapo tushafika 2045Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhariπ
Samehe 7Γ70 πππUkinikwaza na unajua fika umeharibu, usiposema sorry. Subiria kufungiwa viooβ¦ najitahidi sana kujitune ila wapiii
Hii kawaida, tena tunadance kabisaJamani nimeshindwa kuacha, napenda kujiangalia kwenye kioo...