Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe yako ujasema mkuu 😂😂😂😂Habari zenu,
Huu ni uzi maalumu kwa watu ambao wanatamani kuacha kufanya jambo fulani lakini imekuwa ngumu kwao.
Funguka hapa huenda ukapata msaada na ukaweza kuyashinda yanayokutatiza.
Sema tutakusaidia 😂😂😂😂🙌🙌🙌Yangu hadi naona aibu kuiandika😡
Kunywa pombe ni dhambi...😂😂😂Bia aisee huwa nikinywa napata amani sana ya roho, sijui kama ntakuja kuacha
Utaacha tuu ikifikia maximum point ambayo no elastic limitNyeto mazeee....
Nishaijua.Yangu hadi naona aibu kuiandika😡
Hiyo hiyoo😂😂. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?Nishaijua.
Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhari😂Sema tutakusaidia 😂😂😂😂🙌🙌🙌
Kama ndo hiyo ..Hiyo hiyoo😂😂. Sasa hata kama ni wewe ungeandika?
😂😂 unaweza shtuka pimbi imeleta reference na hapo tushafika 2045Weeeee labda sio jf hii. Huu mtandao ni wa kuishi nao kwa tahadhari😂
Samehe 7×70 😂😂😂Ukinikwaza na unajua fika umeharibu, usiposema sorry. Subiria kufungiwa vioo… najitahidi sana kujitune ila wapiii
Hii kawaida, tena tunadance kabisaJamani nimeshindwa kuacha, napenda kujiangalia kwenye kioo...