Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Atatuambia mwenzako πππππHahahahhaha na sisemi kweliπ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatuambia mwenzako πππππHahahahhaha na sisemi kweliπ
πππ haina mapovu na ni tamuWine = pombe ππππ
Waombe mods wakupe ban ya miezi sita.Msaada;
Nataka kuiacha JF. Haki ya Mungu sitanii..
Naanzaje?
Tukuombee ndgu πππMi nashindwa kuacha kukupenda.
Ni nini hiyo...Kuna mzigo huo unaitwa PINGU niliukuta mbeya vijijini(mbalizi)...yan huo nilicheka almanusura nife....usiguse!
ππππmadhara ya nini mkuu?Madhara yake unayajua?
πππah wapiUtakuwa unapiga masta weye
Shida siyo ban.Waombe mods wakupe ban ya miezi sita.
Wengi wanajificha kwa mwavuli wa wine kumbeee sasa πππππππππππππ haina mapovu na ni tamu
Pombe zina mapovu na pia chungu
Ndo nyie kule kwenye uzi wenu huwa mnatutukana tukiwaambia ukweli πππππππKubet. Kukaa bila mkeka siwezi kabisa.
Kwani ni nini hiyo mkuuπππNishaijua tayar, pole ukiolewa utaacha mwayaπ€
πππUsilitaje bure jina la bwana mungu wako,halafu usiseme astakafilulah sema ASTAGHFIR LLAH TABARAQ WATAALA
Dr na mii naombea sana hiyo addiction ibaki tuu kwako...Shida siyo ban.
Bado nitatembelea kama Guests. Wakiban IP address ya simu, nina Laptop.
Addiction yake iondoke akilini mwangu kabisa.
Ukipata wasaa mkuu,tembelea mbeya vijijini kwenye vilabu...we mwambie mama muuza "nipe PINGU",kabla ya yote atakuletea kamba mbili,yeye mwenyewe atakupa muongozo...hizi pombe hizii...!!!Ni nini hiyo...
Tukana watu wazito wote humu JF... na wenye JF yao mpaka ma-mods, wakulambe ban ya maisha... na watafuatilia mpaka email, kila ukifungua akaunti wanakulamba ban mpaka utashaa! ππΎMsaada;
Nataka kuiacha JF. Haki ya Mungu sitanii..
Naanzaje?
Si Ile Ile auπKwani ni nini hiyo mkuuπππ