The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Nilipita chimbo flan linaitwa DDC,duh yan wadau wamevurugwa,ile kuagiza PINGU naona naonyeshwa ukutani kamba kama zote zimetundikwa kwenye msumari...!!!ila kwa kuwa nilishapata hints nikaelewa Somo,nikaagiza safari kubwa nikatembea tughimbe night clubππππππππππππππππππππ Mbeya ushirika ndani ndani mkuu.. kamba kazi yake nini mkuuu tuanzie hapo πππππ