Aelknes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 246
- 603
Mkuu nimeiweka tena link ya youtube utoe maelezo naona bado upo kimyaNimesema vyote ulivyoandika ni hallucinations
Unaweza onyesha mtu kafanikiwa kwa uchawi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimeiweka tena link ya youtube utoe maelezo naona bado upo kimyaNimesema vyote ulivyoandika ni hallucinations
Unaweza onyesha mtu kafanikiwa kwa uchawi?
Okay nimecheki sijamaliza kwanini alichoose from judges hiyo picha iliyotokea na judges ilikuwa edited na tayari ilikuwa imeandaliwa.Mkuu nimeiweka tena link ya youtube utoe maelezo naona bado upo kimya
Kichaa chake hakina uhusiano na kitisho alichopewa. Alikuwa ni mtu wa kuwa kichaa, au alipata woga na wasiwasi kwa kuogopa kulogwa na ikawa na effect kwake kiakili.Uchawi upo ndugu zangu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.
mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.
Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
Sijaona kitu chochote kinachoonyesha ni wachawi.Niliishi nyumba moja magomeni mikumi kwa miaka 7 na wenye nyumba ni wachawi bibi na babu, usiku wa manane nikiamka kwenda uani (kilikua choo cha nje) naskia wanacheza ngoma na kuimba hapo sebuleni kwao,
Siku moja bibi akaniambia wameletewa nyama pori wakanipa hapo sikula kile chakula nkakiweka ili asubuhi niweke kwa mfuko nkamwage maana sikuzielewa zile nyama zilikua kama zimekaushwa hivi ila ukiipasua kati ni mbichi kabisa na waliniwekea nyama nyingi sana, asibuhi mapema naamka nimwage chakula nkakuta nyama zote hazipo na hakukua na panya mle ndani,
Siku nyingine nilisafiri kwenda kijijini nkamuomba babu alale chumbani kwangu ili kusiibiwe (chumba kilikua cha nje) kipindi hicho vibaka wa usiku walikua wanaiba sana, na mara nyingi nilikua nawaona wanachungulia dirishani,
Sasa kurudi safari nilikaa huko kama wiki 2 nkakuta kapeti limetoboka toboka sanaa kama mtu karukaruka na viatu vyenye ncha kali sana nkajua tu hawa washenzi walihamishia ngoma zao chumbani kwangu nkavunga tu wala sikuuliza maisha yakaendelea.
Kwanini hukumaliza??Nna uhakika umeimaliza.... Umeelewa nni hapo?Okay nimecheki sijamaliza kwanini alichoose from judges hiyo picha iliyotokea na judges ilikuwa edited na tayari ilikuwa imeandaliwa.
Angecfanya hivyo kwa audience wa nyuma watatu tungemkubalia lakini tumeshaelewa alichofanya hakuna kitu hapo
Kuna popo wakubwa au bundi wanaweza kuponyokwa na windo walilobeba. Kuhusu mlango ulikuwa unafunga kwa kutumia nini? Kitasa? Komeo?Kuna Siku nililala ndani peke yangu, muda wa saa moja asubuhi najiandaa kuamka nikasikia kishindo juu ya bati kama mtu karusha bonge la jiwe . Nikaamka haraka haraka kwenda kuchungulia nje ni nani karusha hilo jiwe. Kwa bahati mbaya sijamkuta mtu. Nikazunguka nje nyumba nzima kulitafuta lilipodondokea sikuliona nikaangaza juu ya bati sikuliona. Nikaamua nirudi ndani kuendelea na ratiba zingine nakuta mlango umefungwa ndani kwa komeo. Nikaita nikidhani kuna mtu nilipishana naye kipindi nazunguka nyumba yeye kaingia ikawa kimya. Nikahisi jambo lisilo la kawaida ikabidi nitafute fundi tukafanikiwa kubomoa mlango. Tumekagua vyumba vyote hatukuona mtu.
Kwanini hukumaliza??Nna uhakika umeimaliza.... Umeelewa nni hapo?
Asingemchagua judges ungesema huyo audience wanafahamiana??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Zipo nyingi angalia mpaka mwisho alafu kosoa si umetaka tukuonyeshe uchawi???
Kichaa chake hakina uhusiano na kitisho alichopewa. Alikuwa ni mtu wa kuwa kichaa, au alipata woga na wasiwasi kwa kuogopa kulogwa na ikawa na effect kwake kiakili.
Kwanini hukumaliza??Nna uhakika umeimaliza.... Umeelewa nni hapo?
Asingemchagua judges ungesema huyo audience wanafahamiana??
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Zipo nyingi angalia mpaka mwisho alafu kosoa si umetaka tukuonyeshe uchawi???
Hebu tujulishe mmiliki alifanyaje?Mmmiliki wa mabasi ya mkoani. Yanaitaa libanika
Nami napenda kujua sababu ni swahiba yangu.Kwamba huyo mmiliki wa mabasi ya mikoani amefanya nini?
The same to me!SIKU nimeenda chukua cheti shule na daftari la madeni alikuonekena ikabidi wanipe tu cheti ......
Nami napenda kujua sababu ni swahiba yangu.
Mlango haukuwa na kitasa . Ni komeo tena la kulala. Ambalo lipo katikati ya mlango kinapokaa kitasaKuna popo wakubwa au bundi wanaweza kuponyokwa na windo walilobeba. Kuhusu mlango ulikuwa unafunga kwa kutumia nini? Kitasa? Komeo?
Sasa hayo yote yanafanyika kwenye stage na mashabiki wakiwepo unafuatiliaga AGT wewe au unakaza fuvu???Mimi nafahamu uchawi ni vitu vya kufikirika ambavyo kwangu havina ukweli mfano mtu kuyayuka, kugeuka kuku n.k
Claim yangu nataka mtu athibitishe kuwa yupo mtu kafanikiwa na uchawi
Na swali kama unaamini riana sacred anaweza fanya hayo mambo in reality na siyo kitu kipo staged kafata nini kuanzia audition mpaka ku perform kama si pesa?
Muda mwingine jiulize maswali basic tu ambayo hayahitaji elimu kubwa
Inawezekana katika kutoka na wenge ukaubamiza ukajifunga. Sidhani kama kuna uchawi wowote hapo. Vitu kama michanga au mawe kuanguka mabatini hata mimi zamani nilikuwa napatwa wasiwasi lakini nikajafanya utafiti nikajua kuwa popo na bundi huwa wanaangusha vitu usiku. Hasa popo wanaangusha vitu vinavyolia kama mchanga kwenye bati ila siyo mchanga ni majimaji (mavi?)Mlango haukuwa na kitasa . Ni komeo tena la kulala. Ambalo lipo katikati ya mlango kinapokaa kitasa
Ni wewe hukuona tu sababu tayari upbeat na appearance ya riana imekufanya ukose focus.Sasa hayo yote yanafanyika kwenye stage na mashabiki wakiwepo unafuatiliaga AGT wewe au unakaza fuvu???
Unasema kwenye box kulikua na mtu mbona amelifungua hakuna mtu?? Hata angekuwepo angeweza kuenea???
Hata huku watu wa mazingaombwe wapo
Yess tuseme kafuata hela inahusianaje??
🤣🤣🤣Sayansi kazi yake sio kufanya miujiza. Kazi ya Sayansi ni kuelezea why things happen in the laws of nature. Niambie Nini hujui kuhusu upepo? Jua halichomozi popote because dunia inazunguka jua not otherwise na bible na Quran hawakujua Hilo mpaka Sayansi, 🤣,kwa vitu ulivyosema they are impossible. Na Kama unasema ni proof ya uchawi bac tumia uchawi kufanya hivyo vitu afu utuite sawaTuje kwenye sayansi, kwanini sayansi imeshindwa kutuonyesha upepo upoje ni unavuma tu sayansi haiwezi kufanya chochote kuhusu upepo, kwanini tusiifanye dunia ikawa usiku tu au ikawa mchana tu, au tukasimamisha mda au tuurudishe mda nyuma. Hatuwezi kufanya jua lichomoze magharibi? why science has nothing to do with this?
(Nb usije ukasema hiyo yenyewe ni sayansi)