Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Mkuu nimeiweka tena link ya youtube utoe maelezo naona bado upo kimya
Okay nimecheki sijamaliza kwanini alichoose from judges hiyo picha iliyotokea na judges ilikuwa edited na tayari ilikuwa imeandaliwa.
Angecfanya hivyo kwa audience wa nyuma watatu tungemkubalia lakini tumeshaelewa alichofanya hakuna kitu hapo
 
Kichaa chake hakina uhusiano na kitisho alichopewa. Alikuwa ni mtu wa kuwa kichaa, au alipata woga na wasiwasi kwa kuogopa kulogwa na ikawa na effect kwake kiakili.
 
Sijaona kitu chochote kinachoonyesha ni wachawi.
 
Okay nimecheki sijamaliza kwanini alichoose from judges hiyo picha iliyotokea na judges ilikuwa edited na tayari ilikuwa imeandaliwa.
Angecfanya hivyo kwa audience wa nyuma watatu tungemkubalia lakini tumeshaelewa alichofanya hakuna kitu hapo
Kwanini hukumaliza??Nna uhakika umeimaliza.... Umeelewa nni hapo?

Asingemchagua judges ungesema huyo audience wanafahamiana??

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Zipo nyingi angalia mpaka mwisho alafu kosoa si umetaka tukuonyeshe uchawi???
 
Kuna popo wakubwa au bundi wanaweza kuponyokwa na windo walilobeba. Kuhusu mlango ulikuwa unafunga kwa kutumia nini? Kitasa? Komeo?
 

Nimetazama scenario ya pili tazama camera jinsi zilivyo alipozunguka nyuma obviously hapo mtu alikuwepo ndani ya kikabati hata vitabu vilikuwepo hapo hapo hata mshumaa umewashwa camera hazionyeshi ndani.
Hiyo ni michezo ya kuigiza tu
Inahitaji mazoezi ya muda mrefu

sijaona hata moja la ajabu zaidi ya play kuwa staged
 


Mimi nafahamu uchawi ni vitu vya kufikirika ambavyo kwangu havina ukweli mfano mtu kuyayuka, kugeuka kuku n.k
Claim yangu nataka mtu athibitishe kuwa yupo mtu kafanikiwa na uchawi

Na swali kama unaamini riana sacred anaweza fanya hayo mambo in reality na siyo kitu kipo staged kafata nini kuanzia audition mpaka ku perform kama si pesa?
Muda mwingine jiulize maswali basic tu ambayo hayahitaji elimu kubwa
 
Kuna popo wakubwa au bundi wanaweza kuponyokwa na windo walilobeba. Kuhusu mlango ulikuwa unafunga kwa kutumia nini? Kitasa? Komeo?
Mlango haukuwa na kitasa . Ni komeo tena la kulala. Ambalo lipo katikati ya mlango kinapokaa kitasa
 
Sasa hayo yote yanafanyika kwenye stage na mashabiki wakiwepo unafuatiliaga AGT wewe au unakaza fuvu???

Unasema kwenye box kulikua na mtu mbona amelifungua hakuna mtu?? Hata angekuwepo angeweza kuenea???

Hata huku watu wa mazingaombwe wapo

Yess tuseme kafuata hela inahusianaje??
 
Mlango haukuwa na kitasa . Ni komeo tena la kulala. Ambalo lipo katikati ya mlango kinapokaa kitasa
Inawezekana katika kutoka na wenge ukaubamiza ukajifunga. Sidhani kama kuna uchawi wowote hapo. Vitu kama michanga au mawe kuanguka mabatini hata mimi zamani nilikuwa napatwa wasiwasi lakini nikajafanya utafiti nikajua kuwa popo na bundi huwa wanaangusha vitu usiku. Hasa popo wanaangusha vitu vinavyolia kama mchanga kwenye bati ila siyo mchanga ni majimaji (mavi?)
 
Ni wewe hukuona tu sababu tayari upbeat na appearance ya riana imekufanya ukose focus.

Umefika sabasaba kumuona jamaa anajikunja kama tairi? Akaulizwa inachukua muda gani akasema yeye ni miaka saba mpaka kufanya hivyo.vipi ishindikane mtu kuwepo pale na camera ziamishwe na light ziwe dark in a sec tatizo akili YAKO ilishaamini uchawi lakini ni huoni tu kaa tazama taratibu.

Kwanini afate pesa na anao uwezo wa kuonyesha kitabu kisichoandikwa kikawa na maandishi na kuwasha mshumaa kwa kuangalia kwa njia ambazo wewe umeona kawasha ILA obviously hakuna alichofanya zaidi ya kuwepo na mtu hapo.
The last part ya kujitazama kwenye kioo ni kama movie za horror zinavyotengenezwa.
 
🤣🤣🤣Sayansi kazi yake sio kufanya miujiza. Kazi ya Sayansi ni kuelezea why things happen in the laws of nature. Niambie Nini hujui kuhusu upepo? Jua halichomozi popote because dunia inazunguka jua not otherwise na bible na Quran hawakujua Hilo mpaka Sayansi, 🤣,kwa vitu ulivyosema they are impossible. Na Kama unasema ni proof ya uchawi bac tumia uchawi kufanya hivyo vitu afu utuite sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…