Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

reality is the hallucination we all see
 
Mwaka 2004 nilikuwa nimelala,nilipanga chumba Tinde,Enzi za Grinaker LTA.
Usiku nimelala nasikia vishindo kuzunguka chumba kwa nje mpaka kijumba kinatingishika kama vile kundi kubwa la ng'ombe......nilipoamka asubuhi hakuna hata alama ya kwato.
 

That is a burden proof.
siwezi thibitisha kitu ambacho hakipo wewe unayesema kipo unapaswa thibitisha. Hivi unaelewa hilo?
 

Kwani unaamua ku reduce message yangu.
sikusema mafanikio yanahitaji commitment discipline and consistency kitu ambacho wengi hatupo radhi kufanya.
Most of us we can't embrace disruption I bet even you.

Yaani mpaka sasa hujathibitisha mtu aliyefanikiwa kwa uchawi ILA mimi nimekuonyesha mifano kibao.

Ukishafanya kazi hapo si uchawi tena kuna bidhaa ambayo inanunulika na watu.
au kama upo kazini kuna skills ambayo inahitajika hiyo sehemu na wewe unayo.
Mbona hivi vitu ni simple kuelewa

Embu ni convince kuna mtu kafanikiwa kwa uchawi ambaye sote tunamfahamu?

Au wewe unazungumzia luck? Na umesoma The richest man in babylon inasema nini kuhusu luck?

Usihangaike kunielewesha nahitaji uthibitisho wa mtu kafanikiwa sababu ya uchawi wake na si kufanya KAZI?
 
Mimi sijajifunga na ndio maana sipingi sayansi na sipingi uchawi, kila kimoja kina nafasi yake. Sasa wewe unapinga uchawi kama kitu tu ambacho haukiamini ila hauna sababu za msingi.

Ndugu Tz mbongo
You can't prove negative
Yeye anasema hakuna hivyo vitu sababu havipo lakini wewe unayesema vipo unapaswa uthibitishe in a way ambayo ita link up na hoja yako unaelewa lakini?

Mfano kama Tz mbongo ana maduka kariakoo yanayouza spare tunasema hivi
Kwanza upo fav place au location ina maana watu wanaiona bidhaa, pili Tz mbongo sababu ya competition ame reduce the price ya spare zake hivyo ana attract customer wengi, tatu Tz mbongo amewekeza kwenye promotion ambayo ni matangazo kwenye social medias hivyo anawafikia wateja wengi kwa wakati mmoja.

Embu tupe chain ya uchawi ambayo kwenye kanuni za uchumi hazielezeki na mtu kafanikiwa kupitia uchawi
 
Mi mara nyingi usiku nikitoka kukojoa naona mtoto kapotelea jikoni chap [emoji3][emoji3]
Nywele zinasimama hatari.
 
Kama uliendelea kuishi hapo una roho ngumu sana master
 
Diamond Platinumz kuzalisha wanawawe STAR-wa mitandaoni na bado vidagaa kama ZUCHU kuuzwa na wazazi wao kwa Diamond, na bado kuna wazazi wanataka tena kuuza watoto wao Kwa Diamond!
 

Upewe Za nini sasa na ushasema hauamini?

Wewe chukua pesa yako kalipie fremu kariakoo kisha apply formula zako Acha wengine nao waamini Vya kwao!

Ungefungua tu uzi wako hukooo hapa utuache tusome shuhuda za watu..

Much know mnakera.
 
1. Kitabu chako Cha dini kina makosa. Kama unabisha kiseme ni kipi nianze kukiponda mwanzo mwisho.
2. Hamna ushahidi wa aliens.
3. Huo ulimwengu wa kiroho sijui Giza ndo upi. Mbona unaijua wewe tu na marafiki zako. Sisi hatuna roho kwani. Kwani watu wachache mchaguliwe kuona uchawi afu wengine wasione. Au uchawi unachafua watu wajinga na maskini.
4. Nimeomba unitajie umri wa kuona uchawi. Kwamba ikifika umri fulani utaona, naona mnaguna guna tu
 
Again, hallucinations na wivu wa mafanikio. Tafuta elimu facha kazi, acha kuwaza maujinga.
 
🤣🤣🤣🤣Mi nakuelimisha we mjinga. Mi Sina shida coz naishi kwa amini nikijua kila kitu ni naturally observable na explainable. Nakuonea huruma wewe kwa sababu despite all the technology science na education in the world which clearly states kwamba hivi vitu ni clear myths na not real. Bado unakazana kuamini why, coz hutaki kupingana na dini zako na utamaduni wako. It's not bad ila kwenye ukweli kubali. Mababu zetu hawakujua dunia inazunguka jua, hawakujua dunia ni duara haimaanishi tuishi na Imani zao, coz hawakuwa na elimu tu. Same as hayo mauchawi
 
Nilichogundua wewe hujui kitu Mkuu pole sanaa nitabishana na wewe mpaka nichoke ila kama Imani yako umeshaiweka hivyo basi pia upo sahihi najaribu kukuelewesha tu but your not ready kujifunza,
Nikutakie uwe na wakati Mwema
BYE👋
🤣🤣Mi Sina Imani, we ndo una Imani. Imani ni kubelieve kitu bila uthibitisho ni kama wewe na uchawi. Ungeleta uthibitisho wa uchawi hapa mbona ningekuwa freshi tu. Ushaskia mi nasema jua halipo au mbwa hawapo au miti haipo
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Stori zingine zinatisha sana japo zinachekesha.
 
Si ndo uchumi ulivyokuwa. Mbona nchi zinatofautiana utajiri. Hivi ni vitu vidogo vya kiuchumi. Kuna factors kibao ndo maana nakuambia we hujasoma na Kama umesoma umesomea cheti tu
 
Mi nikisema Nina range Rover si utauliza liko wapi. Coz the burden of proof ipo kwangu. Sasa mi nikianza kusema unajuaje mi Sina, unaweza dhibitisha kwamba Sina and the lyk...🤣 naonekana mjinga. Ndo wewe Sasa. Ukisema uchawi upo prove it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…