Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Portugal Kuna siku watu 3000 waliona jua linacheza cheza na kutoa colourful signs. Jua lilicheza kweli? If yes why only 3000 ppo wa eneo Hilo wameona na jua lipo dunia nzima. If no? Then 3000 ppo can hallucinate. Kuna factors nyingi, mi na wewe tukitegemea kuona uchawi tutaona uchawi lakini tukiwa independent tukahojiwa baada ya tukio utaona tofauti ya maelezo. It proves ni hallucinations na sio reality. Leta hoja nyingine
reality is the hallucination we all see
 
Mwaka 2004 nilikuwa nimelala,nilipanga chumba Tinde,Enzi za Grinaker LTA.
Usiku nimelala nasikia vishindo kuzunguka chumba kwa nje mpaka kijumba kinatingishika kama vile kundi kubwa la ng'ombe......nilipoamka asubuhi hakuna hata alama ya kwato.
 
Unasema jambo fulani hujui halafu hapo hapo unapinga kuwa hilo jambo sio kitu fulani hali ya kuwa hutoi sababu za kwa nini sio hicho kitu. Kwahiyo wewe ulivyoeleza mafanikio ya hao jirani zako mapolisi unaweza kuthibitisha kuwa hayo uliyoeleza ndio sababu za mafanikio yao?

That is a burden proof.
siwezi thibitisha kitu ambacho hakipo wewe unayesema kipo unapaswa thibitisha. Hivi unaelewa hilo?
 
Wewe unaongea vitu vya kufikirika mimi naeleza yale ambayo yanafanyika kwenye jamii zetu, hapo unataja kanuni za biashara ila linapokuja suala la mtu kufuata vizuri hizo kanuni na bado ikawa biashara haiendi vizuri unakuwa hauna majibu ila kwenye mafanikio tu ndio unaleta habari za kanuni.

Ndio maana nilikwambia kama issue ni kufuata tu kanuni basi wafanyabiasha wote wangefanikiwa ila uhalisia haupo hivyo

Kwani unaamua ku reduce message yangu.
sikusema mafanikio yanahitaji commitment discipline and consistency kitu ambacho wengi hatupo radhi kufanya.
Most of us we can't embrace disruption I bet even you.

Yaani mpaka sasa hujathibitisha mtu aliyefanikiwa kwa uchawi ILA mimi nimekuonyesha mifano kibao.

Ukishafanya kazi hapo si uchawi tena kuna bidhaa ambayo inanunulika na watu.
au kama upo kazini kuna skills ambayo inahitajika hiyo sehemu na wewe unayo.
Mbona hivi vitu ni simple kuelewa

Embu ni convince kuna mtu kafanikiwa kwa uchawi ambaye sote tunamfahamu?

Au wewe unazungumzia luck? Na umesoma The richest man in babylon inasema nini kuhusu luck?

Usihangaike kunielewesha nahitaji uthibitisho wa mtu kafanikiwa sababu ya uchawi wake na si kufanya KAZI?
 
Mimi sijajifunga na ndio maana sipingi sayansi na sipingi uchawi, kila kimoja kina nafasi yake. Sasa wewe unapinga uchawi kama kitu tu ambacho haukiamini ila hauna sababu za msingi.

Ndugu Tz mbongo
You can't prove negative
Yeye anasema hakuna hivyo vitu sababu havipo lakini wewe unayesema vipo unapaswa uthibitishe in a way ambayo ita link up na hoja yako unaelewa lakini?

Mfano kama Tz mbongo ana maduka kariakoo yanayouza spare tunasema hivi
Kwanza upo fav place au location ina maana watu wanaiona bidhaa, pili Tz mbongo sababu ya competition ame reduce the price ya spare zake hivyo ana attract customer wengi, tatu Tz mbongo amewekeza kwenye promotion ambayo ni matangazo kwenye social medias hivyo anawafikia wateja wengi kwa wakati mmoja.

Embu tupe chain ya uchawi ambayo kwenye kanuni za uchumi hazielezeki na mtu kafanikiwa kupitia uchawi
 
Mkuu hii kitu kwako haifit entoptic phenomena ILA hii ni hallucinations.
Mfano kusikia sauti ya mtu analia au anaongea lakini hakuna mtu huyo.
Au kuona mtu au vitu ambavyo hakuna mtu mwingine anayeviona kama vile kuona mtu amesimama karibu nawe lakini kiuhalisia hakuna huyo mtum

Hallucinations huwa inasababishwa na vtu vingi mojawapo ni magonjwa ya akili
Ila entoptic phenomena huwa inasababishwa na muundo wa ndani wa jicho lako.
Mi mara nyingi usiku nikitoka kukojoa naona mtoto kapotelea jikoni chap [emoji3][emoji3]
Nywele zinasimama hatari.
 
Niliishi nyumba moja magomeni mikumi kwa miaka 7 na wenye nyumba ni wachawi bibi na babu, usiku wa manane nikiamka kwenda uani (kilikua choo cha nje) naskia wanacheza ngoma na kuimba hapo sebuleni kwao,
Siku moja bibi akaniambia wameletewa nyama pori wakanipa hapo sikula kile chakula nkakiweka ili asubuhi niweke kwa mfuko nkamwage maana sikuzielewa zile nyama zilikua kama zimekaushwa hivi ila ukiipasua kati ni mbichi kabisa na waliniwekea nyama nyingi sana, asibuhi mapema naamka nimwage chakula nkakuta nyama zote hazipo na hakukua na panya mle ndani,
Siku nyingine nilisafiri kwenda kijijini nkamuomba babu alale chumbani kwangu ili kusiibiwe (chumba kilikua cha nje) kipindi hicho vibaka wa usiku walikua wanaiba sana, na mara nyingi nilikua nawaona wanachungulia dirishani,
Sasa kurudi safari nilikaa huko kama wiki 2 nkakuta kapeti limetoboka toboka sanaa kama mtu karukaruka na viatu vyenye ncha kali sana nkajua tu hawa washenzi walihamishia ngoma zao chumbani kwangu nkavunga tu wala sikuuliza maisha yakaendelea.
Kama uliendelea kuishi hapo una roho ngumu sana master
 
Uchawi upo ndugu zangu.

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.

mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.

Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
Diamond Platinumz kuzalisha wanawawe STAR-wa mitandaoni na bado vidagaa kama ZUCHU kuuzwa na wazazi wao kwa Diamond, na bado kuna wazazi wanataka tena kuuza watoto wao Kwa Diamond!
 
Ndugu Tz mbongo
You can't prove negative
Yeye anasema hakuna hivyo vitu sababu havipo lakini wewe unayesema vipo unapaswa uthibitishe in a way ambayo ita link up na hoja yako unaelewa lakini?

Mfano kama Tz mbongo ana maduka kariakoo yanayouza spare tunasema hivi
Kwanza upo fav place au location ina maana watu wanaiona bidhaa, pili Tz mbongo sababu ya competition ame reduce the price ya spare zake hivyo ana attract customer wengi, tatu Tz mbongo amewekeza kwenye promotion ambayo ni matangazo kwenye social medias hivyo anawafikia wateja wengi kwa wakati mmoja.

Embu tupe chain ya uchawi ambayo kwenye kanuni za uchumi hazielezeki na mtu kafanikiwa kupitia uchawi

Upewe Za nini sasa na ushasema hauamini?

Wewe chukua pesa yako kalipie fremu kariakoo kisha apply formula zako Acha wengine nao waamini Vya kwao!

Ungefungua tu uzi wako hukooo hapa utuache tusome shuhuda za watu..

Much know mnakera.
 
Mwanzo nilisema Kuwa kwa Bahati Mbaya au Nzuri kwa aina ya wapumbavu kama wewe ni ngumu sana kukutana na vitu kama hivi lakin siku ukikutana nacho hutoleta ujinga wako hapa, mbaya zaidi hivi vitu vipo Rohoni zaidi au gizani n ngumu kuonekana kwa macho ya damu na nyama (physical appearance) huwez viona so mpaka uwe kiroho zaidi au ulimwengu mwingine ndo unaweza viona. Kwa mjibu wa kitabu Changu Cha Dini japokua hukiamini kinaniambia Kuwa Giza na nuru haviwez Kuwa pamoja, pia kinasema Kuwa vitu vya Rohoni na Mwili haviwez Kuwa pamoja japokua kwenye function vinaweza kutana maana mataokeo ya kiroho yanweza pelekea negative effect kimwili hivyo hivyo pia kiroho vece versa

Kwaiy hapa utabisha kwa sababu haijawai kukutokea na hivi vitu vinaweza kukutokea kwa aina mbili positive or negative, kwa upande negative ndo unaona mtu anarogwa au mtu ghafura anakufa pasipo na sababu ya maana,. Kwa positive itakutokea tu then it's disappear mfano kama hapo unaendesha gari unakutana nao hawakufanyi kitu,.

Nikushauri kitu Kuna baadhi ya Mambo ambayo ni Ngumu kuonekana kwa Binadamu Dunia Ina Mambo mengi sana na ni machache ambayo Binadamu anayajua sidhan hata Asilimia 25 imefika ambayo binadamua anaijua Duniani,, kama kweli wewe ni mtu ambaye huamini hivi vitu vya kiuchwai,,,,, Basi jaribu kwenda kiroho zaidi nakuhakikishia haya Mambo utakutana nayo
Hata huko Marekani wanakutana na Aliens usjie fikiri ni viumbe wa ajabu no ni haya majini tu kama Huku Africa tunayo kutana nayo.

Kuhusu utajiri wengi wanajipatia utajiri kupitia Imani za kishirikina mojawapo ni kama unavyo sikia Freemason pamoja na kutoa makafara ya ajabu Ili mtu apate utajiri
Note: siyo wote ila wengi wao ni aina hiyo
Sorry kwa maelezo mengi lakin pia huna unalojua
1. Kitabu chako Cha dini kina makosa. Kama unabisha kiseme ni kipi nianze kukiponda mwanzo mwisho.
2. Hamna ushahidi wa aliens.
3. Huo ulimwengu wa kiroho sijui Giza ndo upi. Mbona unaijua wewe tu na marafiki zako. Sisi hatuna roho kwani. Kwani watu wachache mchaguliwe kuona uchawi afu wengine wasione. Au uchawi unachafua watu wajinga na maskini.
4. Nimeomba unitajie umri wa kuona uchawi. Kwamba ikifika umri fulani utaona, naona mnaguna guna tu
 
Mwanzo nilisema Kuwa kwa Bahati Mbaya au Nzuri kwa aina ya wapumbavu kama wewe ni ngumu sana kukutana na vitu kama hivi lakin siku ukikutana nacho hutoleta ujinga wako hapa, mbaya zaidi hivi vitu vipo Rohoni zaidi au gizani n ngumu kuonekana kwa macho ya damu na nyama (physical appearance) huwez viona so mpaka uwe kiroho zaidi au ulimwengu mwingine ndo unaweza viona. Kwa mjibu wa kitabu Changu Cha Dini japokua hukiamini kinaniambia Kuwa Giza na nuru haviwez Kuwa pamoja, pia kinasema Kuwa vitu vya Rohoni na Mwili haviwez Kuwa pamoja japokua kwenye function vinaweza kutana maana mataokeo ya kiroho yanweza pelekea negative effect kimwili hivyo hivyo pia kiroho vece versa

Kwaiy hapa utabisha kwa sababu haijawai kukutokea na hivi vitu vinaweza kukutokea kwa aina mbili positive or negative, kwa upande negative ndo unaona mtu anarogwa au mtu ghafura anakufa pasipo na sababu ya maana,. Kwa positive itakutokea tu then it's disappear mfano kama hapo unaendesha gari unakutana nao hawakufanyi kitu,.

Nikushauri kitu Kuna baadhi ya Mambo ambayo ni Ngumu kuonekana kwa Binadamu Dunia Ina Mambo mengi sana na ni machache ambayo Binadamu anayajua sidhan hata Asilimia 25 imefika ambayo binadamua anaijua Duniani,, kama kweli wewe ni mtu ambaye huamini hivi vitu vya kiuchwai,,,,, Basi jaribu kwenda kiroho zaidi nakuhakikishia haya Mambo utakutana nayo
Hata huko Marekani wanakutana na Aliens usjie fikiri ni viumbe wa ajabu no ni haya majini tu kama Huku Africa tunayo kutana nayo.

Kuhusu utajiri wengi wanajipatia utajiri kupitia Imani za kishirikina mojawapo ni kama unavyo sikia Freemason pamoja na kutoa makafara ya ajabu Ili mtu apate utajiri
Note: siyo wote ila wengi wao ni aina hiyo
Sorry kwa maelezo mengi lakin pia huna unalojua
Again, hallucinations na wivu wa mafanikio. Tafuta elimu facha kazi, acha kuwaza maujinga.
 
Mimi sijasema umri mdogo au mkubwa unasababisha uone uchawi!
Sikulazimishi uamini uchawi upo,nachotaka kukuambia ni hivi:

Sio Kila kitu mpaka ukishuhudie Au kusikia ndio uamini kipo au hakipo!
Cha msingi we ishi tu kama viumbe wengine Ili mradi unavuta hewa ya oksijeni
🤣🤣🤣🤣Mi nakuelimisha we mjinga. Mi Sina shida coz naishi kwa amini nikijua kila kitu ni naturally observable na explainable. Nakuonea huruma wewe kwa sababu despite all the technology science na education in the world which clearly states kwamba hivi vitu ni clear myths na not real. Bado unakazana kuamini why, coz hutaki kupingana na dini zako na utamaduni wako. It's not bad ila kwenye ukweli kubali. Mababu zetu hawakujua dunia inazunguka jua, hawakujua dunia ni duara haimaanishi tuishi na Imani zao, coz hawakuwa na elimu tu. Same as hayo mauchawi
 
Nilichogundua wewe hujui kitu Mkuu pole sanaa nitabishana na wewe mpaka nichoke ila kama Imani yako umeshaiweka hivyo basi pia upo sahihi najaribu kukuelewesha tu but your not ready kujifunza,
Nikutakie uwe na wakati Mwema
BYE👋
🤣🤣Mi Sina Imani, we ndo una Imani. Imani ni kubelieve kitu bila uthibitisho ni kama wewe na uchawi. Ungeleta uthibitisho wa uchawi hapa mbona ningekuwa freshi tu. Ushaskia mi nasema jua halipo au mbwa hawapo au miti haipo
 
1. Taasisi na wananchi juu ya mashamba. Taasisi iligoma kuwakodishia wanakijiji mashamba(walikodisha eneo dogo tu) sasa balaa likaanza wadudu wanakula mazao yaliyolimwa kwenye mashamba ya taasisi ila kwenye mashamba ya nje ya eneo la taasisi hamna wadudu yan ata kama mashamba yapo karibu aje ilimradi sio la taasisi wadudu hawaingii. Kwenye mvua ndio ulikuwa maajabu mvua nyingi inanyesha kwenye mashamba ya wanakijiji kuna mda unaweza ona mvua inanyesha kuzunguka mpaka wa mashamba ya taasisi. Mvua ilikuwa ikitukuta nje ya eneo la taasisi tulikuwa tunambizana tujitaidi kutembea had eneo la taasisi maana hapo kutakuwa hakuna mvua ama kuna manyunyu tu.

2. Kijiji hicho hicho kuna jamaa waliamua kukodi mashamba ili walime sasa wakaweka ratiba ya kuamka saa 9 au 10 alfajiri ili wawe wanalima then saa 12 wanarudi kujiandaa kwenda kwenye vipindi (kulikuwa kuna chuo hapo hapo) sasa balaa ikawa wakienda kulima wanatumia mda mwingi kulima na wanaona kweli wamelima hatua nyingi ila wakigeuka nyuma wanajikuta ndio kwanza wanaanza kulima yan bado wapo pale pale walioanzia kulima mda wanafika shambani. Ilibidi waachane na kilimo tu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Stori zingine zinatisha sana japo zinachekesha.
 
Wewe unaongea vitu vya kufikirika mimi naeleza yale ambayo yanafanyika kwenye jamii zetu, hapo unataja kanuni za biashara ila linapokuja suala la mtu kufuata vizuri hizo kanuni na bado ikawa biashara haiendi vizuri unakuwa hauna majibu ila kwenye mafanikio tu ndio unaleta habari za kanuni.

Ndio maana nilikwambia kama issue ni kufuata tu kanuni basi wafanyabiasha wote wangefanikiwa ila uhalisia haupo hivyo
Si ndo uchumi ulivyokuwa. Mbona nchi zinatofautiana utajiri. Hivi ni vitu vidogo vya kiuchumi. Kuna factors kibao ndo maana nakuambia we hujasoma na Kama umesoma umesomea cheti tu
 
Unasema jambo fulani hujui halafu hapo hapo unapinga kuwa hilo jambo sio kitu fulani hali ya kuwa hutoi sababu za kwa nini sio hicho kitu. Kwahiyo wewe ulivyoeleza mafanikio ya hao jirani zako mapolisi unaweza kuthibitisha kuwa hayo uliyoeleza ndio sababu za mafanikio yao?
Mi nikisema Nina range Rover si utauliza liko wapi. Coz the burden of proof ipo kwangu. Sasa mi nikianza kusema unajuaje mi Sina, unaweza dhibitisha kwamba Sina and the lyk...🤣 naonekana mjinga. Ndo wewe Sasa. Ukisema uchawi upo prove it
 
Back
Top Bottom