Wewe unasemaje? Je, umeshawahi kumpima kwenye Maabara zenu ukathibitisha uwepo wake?🤣So hamna Mungu pia
Leta hoja ehee..we ambae sio brainwashed na unaona vitu mwenyewe na wajinga wenzako..uchawi upo wapi?Ndiyo maana nikakwambia wewe ni brainwashed
🤣🤣🤣We ungepata chance ya kupata million 500 ya bure ungekataa...hamna kitu Kama hicho...ni wivu tu wa maendeleo. Eti hutaki shortcuts...Hakuna cha wivu wa maendeleo hapa nilipo hiyo stage nishaipita nafanya nachojua return yake sio kubahatisha. Yes unaleta maendeleo ila ni wachache wanaopenda shortcuts ndo wanaweza kufanya hayo mambo
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama ni Sayansi, ipeleke Maabara tujue Kanuni bayana za utokeaji wake.🤣🤣🤣Sasa si Sayansi hio...umeeleza uchawi gani Sasa.
🤣🤣🤣Kwa sababu sisi ni watu logical ndo hatuoni hivi vitu...ni uwongo na story za mababu ambao hawakujua hata mvua inasababishwaje wanajua miungu inashusha. Ndo jamii tuliyotoka, kitu Kama jua, mbwa, paka, miti hatubishani kama ipo au haipo..why we uone peke yako kitu ..huo ndo uchizi. Kuona maruwe ruwe ni tatizo la kiakiliYes unajificha ndio mana inaitwa dark art. Na kwanini wewe na wenzako tu ndio msione au ni Kwa sababu chizi huwa harogwi.[emoji89]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Tiba asili sio uchawi ni sayansiKwamba unatarajia nitakuthibitishia humu Jf kwa maneno? Nimekupa Fursa ya kushuhudia Matendo Makuu ya mnachokiita Uchawi. Wajibu ni wako sasa.
Hao wanaohangaika hospital miezi na miezi ni Vipofu na kondoo wa aidha Sayansi yako au dini yako, wakiamini Tiba Asilia ni Uchawi, na Uchawi ni Ushirikina au ni Kupitwa na Wakati.
Mtateseka sana, na Mteseke tu, maana hata mkipona hamuachi kuwa na kasoro.
Ujuzi Asilia (Uchawi) upo, na wenye nao ni wa kuheshimiwa sana. Lakini pia wapo watumiao vibaya kwa maslahi yao na wapo matapeli pia. Ni sawa atumiae bunduki kujilinda na mwingine kuibia. Bunduki ni Bunduki tu, ubaya ni matumizi yako.
🤣🤣🤣Sayansi ya darasani haiishi...Kama inaisha nionyeshe wewe mwisho wake afu uendelee na huo uchawi. Hii ni kama god of the gaps..kitu hujui hence ni uchawi afu ukishajua kazi ya uchawi inapungua... Mwishowe uchawi unakosa pa kujificha. 🤣 Tuonyeshe uthibitisho wa Sayansi kuisha na uchawi kuendelea...mtu yoyote anaweza kuongea, we tuonyesheUwe unasoma vizuri ndio unajibu. Ni wapi nimesema wanasayansi wameamini Uchawi? Kwa mwanasansi Uchawi ni kitu ambacho HAKIPO.
Lakini ni Ukweli kuwa maarifa yao yalipoishia, kila kinachoendelea mbele wanadai HAKIPO ni Uchawi, Kiini Macho.
Ni kwa sababu Sayansi yenu haijui uwezekano wa MTU kuingia ndani ya nyumba kupitia kuta, inadai HAIWEZEKANI. Na hata anapooneshwa huo huwezekano atadai ni Kiini Macho.
Mtabaki na utumwa wenu, Ila Ukweli ni kuwa Inapoishia Sayansi ya Darasani, mnachokiita Uchawi ndio kinaanzia.
Hakuna Uchawi na bado unafikiri kuna Mungu na Shetani, mnafurahisha sana wandugu.
🤣Yupo hayupoWewe unasemaje? Je, umeshawahi kumpima kwenye Maabara zenu ukathibitisha uwepo wake?
Mnachoita Sayansi, Uchawi, Mungu, ni Kitu Kimoja.
Sio kazi yangu...afu bado hujathibitisha ukweli kuhusu hio storyKama ni Sayansi, ipeleke Maabara tujue Kanuni bayana za utokeaji wake.
Ulishawahi kwenda kwa mganga wa kienyeji?Tiba asili sio uchawi ni sayansi
Ipo na si Yupo.🤣Yupo hayupo
Unataka nani sasa akuthibitishie shaka yako?Sio kazi yangu...afu bado hujathibitisha ukweli kuhusu hio story
Unaona umeishia kupinga kuwa sio kweli ni story tu na kutaka nithibitishe, nilidhani kwa kuwa wewe umefuatilia sana hizi story za uchawi na kugundua sio kweli basi ungekuwa na cha kuelezea ni vp hicho kinachoaminiwa kama ni chuma ulete sio uchawi kama watu wanavyoamini bali ni aina tu ya wizi wa kawaida au makosa tu ya kimahesabu ambayo mtu mwenyewe hufanya.Okay...unaweza thibitisha hiyo...kwamba ukichanganya na hela zako inapotea. Au ni kwamba tu ni kisingizio Cha kupoteza hela. Fanya independent investigation kwenye maduka mawili.. moja aende huyo chuma ulete bila kujulikana na mwingine abaki hivyo hivyo afu unipe matokeo .. otherwise ni story tu. .
Binafsi sikatai kuhusu kuwepo tricks katika maonyesho ya mazingaombwe nishaona sana ila swali langu ni je mazingaombwe kiujumla ni tricks tu?Ni magic tricks elewa bac mbona nakujibu Mara ishirini...tafuta vipindi vya breaking the magician code utaelewa. Sasa unaishia kumuita mchawi Ile ni talent Kama talent zengine lyk dancing etc...mbona Kuna watu hawawezi kuchezi mpira Kama Messi au kudance Kama Michael Jackson ila kwani Messi na Jackson ni wachawi, no
Huna hoja ya msingi
Jamii za kizungu zipi hizoSawa Ila haupo Sasa....,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimekuambia jamii nyingi za kizungu haziamini uchawi na zinaishi kwa scientific principles. We umeangalia movie za horror unasema wanaamini zile ni entertainment tu Kama sisi tunavyotengeneza eonii. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]We na wajinga wenzako ambao hawana elimu ya Sayansi na jamii ndo mnaamini uchawi. Watu tumeelimika hatuwezi amini vitu ambavyo havipo. Kama uchawi upo...tuonyesheni...Mara mtuambie tukue wakubwa, tukue mpaka lini, Mara mtuambie twende sijui wapi, kwani unachagua sehemu.. [emoji1787]Mbona dar hatusikii uchawi au kisa watu Wana elimu, hela na camera ndo maana unawakimbia unaenda kigoma ..vitu vingine jiongeze
Mimi nataka kujifunza kwako sitaki kuleta story ili upinge tuanze kubishana, watu washatoa story kibao humu ila umeishia kupinga kwa kusema sio uchawi na kuwaambia wathibitishe kama ni uchawi. Sasa hapo hakuna tunachojifunza kutoka kwenye uelewa wako katika hili suala maana wewe unaishia tu kupinga na kudai uthibitisho yani hivyo tu basi.We leta story yako...nimeambiwa story nyingi za my friends Sasa ni mambo personal...leta experience yako ya uchawi yenye verifiable evidence...mbona watu mpaka wanafanya mapenzi wanarecord Kuna video za ajali mbona hata iweje mtaani hamna video za uchawi...ndo ujue ni akili yako tu na wajinga wenzako ndo zinaona...uje na experience inayothibitika kua uchawi upo ndo nitakuamini..so far ni sawa na kumwambia mtu mzima usivae nyekundu utapigwa na radi..🤣Ndo navyokuona
Kila kilichopo kwenye lugha za watu husika basi hicho kitu kipo au kimewahi kuwepo kwa hiyo jamii. Lugha huakisi uhitaji wa jamii mfano; waswahili tuna chakula kitokanacho na kusagwa kwa mbegu za mahindu(ugali) wengine kama wazungu hawana kitu hicho ndo maana lugha yao haina tafsiri ya chakula ugali.Jamii za kizungu zipi hizo
Ni magic tricks elewa bac mbona nakujibu Mara ishirini...tafuta vipindi vya breaking the magician code utaelewa. Sasa unaishia kumuita mchawi Ile ni talent Kama talent zengine lyk dancing etc...mbona Kuna watu hawawezi kuchezi mpira Kama Messi au kudance Kama Michael Jackson ila kwani Messi na Jackson ni wachawi, no
Huna hoja ya msingi