Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Uchawi sio Miujiza, ni Kanuni na Taratibu zake. Na kwa namna hiyo zina gharama zake, ni sawa na kujua kuwa Dhahabu ni pesa halafu tukuambie kwanini usiende kuchimba ukauze.

Ni Sayansi, Ila tu Wapotoshaji wameamua kuipa jina baya, au kuitangaza vibaya.

Ila ni Sayansi beyond sayansi ya Leo.
Wat do u mean beyond Sayansi ya Leo...🤣so wametime travel au
 
Kama umekiri lipo kundi la wazungu wanaoamini uchawi na Afrika pia lipo kundi linaloamini uchawi

Nawewe ulisema wazungu hawaamini uchawi sisi wa Africa ndo tunaamini

HAPA TUKUELEWAJE???
🤣Nimesema wenzetu jamii Yao..."jamii" imetoka kwenye hizo dhana. Majority ya watu hawaamini uchawi.... elewa. Huku bado jamii, "jamii" yetu inaamini uchawi. Mfano wake ndo hapa mtu anakuja na Uzi watu waseme uchawi upo na watoe shuhuda... Au unataka kuuliza jamii ni Nini, ili unipotezee mda?
 
Ndio... nimefuatilia kutoka kwa shuhuda za watu na pia vitu ambavyo Mimi nimeviona nikagundua ni mambo ya brain activity tu...
Mbona sasa hauelezei ili tupate faida? maana unatumia muda mwingi kupinga na kutudai uthibitisho badala ya kuelezea utafiti wako kwenye uchawi.

Haya elezea maana mie ni mtu ambaye napenda kujifunza.
 
Mbona sasa hauelezei ili tupate faida? maana unatumia muda mwingi kupinga na kutudai uthibitisho badala ya kuelezea utafiti wako kwenye uchawi.

Haya elezea maana mie ni mtu ambaye napenda kujifunza.
Nimeeleza kuhusu sleep paralysis imenitokea Mara kibao naona kawaida nachekelea..Ila jitu lisilo na elimu na limaskini kishirikina anajua ni majini yanamkaba usiku anaenda kwa mwamposa au mganga..kumbe ni biology tu...huo ni mfano mmoja kwangu .coz mi mind yangu ipo too logical ni vigumu Sana kuona kitu na kukitafsiri kuwa uchawi..Sasa kwa watu wengine wameniambia story zao naona ni hallucinations tu..hata muwe 100 coz Portugal waliona jua linacheza cheza na kutoa rangi tofauti zaidi ya watu 3000.. Sasa jua kweli lilifanya hivyo au ni hallucinations tu...so ujue hivi vitu nimefuatilia sana mambo mengi supernatural ni story tu.. hamna lolote
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wew jamaa inaonekana umesoma ilaa tatizo Hujaelimikaa yanii...!!
Hana akili mkuu

Hana hoja za msingi na anakwepa point na maswali...Kwenye maandishi yake utagundua kuna ubishi wa kijinga
 
Kwanini kila kitu unakimbilia Google ina maana unachoongea huna uhakika nacho?
🤣Mi sio mtaalamu Sasa... usilazimishe nijue definition ya kila neno...maarifa we hujui ni nini au...unanipotezea mda...go to the point
 
Hana akili mkuu

Hana hoja za msingi na anakwepa point na maswali...Kwenye maandishi yake utagundua kuna ubishi wa kijinga
We nipe hoja...🤣sio unanipa personal attack...nipe hoja uchawi ukuwapi..mbona hatubishi kwamba jua lipo.. mbwa wapo.. dunia ipo...🤣why tubishane maujinga yenu mnayoona wenyewe
 
Mkuu hii kitu kwako haifit entoptic phenomena ILA hii ni hallucinations.
Mfano kusikia sauti ya mtu analia au anaongea lakini hakuna mtu huyo.
Au kuona mtu au vitu ambavyo hakuna mtu mwingine anayeviona kama vile kuona mtu amesimama karibu nawe lakini kiuhalisia hakuna huyo mtum

Hallucinations huwa inasababishwa na vtu vingi mojawapo ni magonjwa ya akili
Ila entoptic phenomena huwa inasababishwa na muundo wa ndani wa jicho lako.
Kwa hiyo unataka kusema huyu jamaa anayesimulia hapa ana ugonjwa wa akili?
 
Nipo wilaya ya Mbarali ambapo shughuli kuu ni kilimo Cha mpunga. Ekari Moja ukiihudumia vzuri kabisa inaweza kukutolea gunia 25-28 za debe Tisa. Ila Kuna miamba inakutolea Hadi 40 ukizingatia kwamba kanuni za ulimaji ni zile zile hakuna mpya Yani unachofanya wewe na Mimi nafanya vilevile au kukuzidi kabisa.
Mara nyingi Hawa jamaa unakuta wanakuwa wa mwisho kutoa mazao Yao shambani, mtatoa woooote yeye anakuwa wa mwisho. Hii kitu sikuwahigi kuielewa but ukiwaza vizuri unaona kabisa kwamba Kuna namna nyuma ya pazia, nayo ni hallucination??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app

[emoji23][emoji23]
Mbarali wanaita “kukupa”
Wamechukua mazao yako wireless
Af kuna wale wanakuja kupanda shambani kwako ikifika saa 6 wamemaliza “20” nne af wanawaacha wenzao na “20” moja hadi saa 10
 
Toa mfano halisi wa scenario nikuelezee. Maana unachosema we chuma ulete mwengine anasema ni utapeli wa kiakili.
Chuma ulete inajulikana ni wizi wa aina gani ambao unahusishwa na uchawi, mfano wa chuma ulete ni kitendo cha mtu kuja dukani kwako na kununua bidhaa sasa ile pesa aliyokupa ukiichanganya na hizo pesa zako zengine basi sehemu ya kiasi cha hizo pesa zako hupotea kimazingara.

Hiyo ni aina moja wapo ya chuma ulete kama inavyoaminika.
 
[emoji23][emoji23]
Mbarali wanaita “kukupa”
Wamechukua mazao yako wireless
Af kuna wale wanakuja kupanda shambani kwako ikifika saa 6 wamemaliza “20” nne af wanawaacha wenzao na “20” moja hadi saa 10
Watu tukiwaambia hawaelewi wanaona kama utani, waswahili wana mambo mengi sana huko mtaani

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787]Nimesema wenzetu jamii Yao..."jamii" imetoka kwenye hizo dhana. Majority ya watu hawaamini uchawi.... elewa. Huku bado jamii, "jamii" yetu inaamini uchawi. Mfano wake ndo hapa mtu anakuja na Uzi watu waseme uchawi upo na watoe shuhuda... Au unataka kuuliza jamii ni Nini, ili unipotezee mda?
Unaposema jamii zao zimetoka kwenye hizo dhana

Huyo pope amefariki 2016 na bado kuna warithi wake

Nimetuma link ya AGT mdada akifanya uchawi jukwaani

Wenzetu wana mpaka sherehe ya Halloween

Unaposema jamii yao imetoka kwenye hizo dhana unatumia vigezo gani?
 
We nipe hoja...[emoji1787]sio unanipa personal attack...nipe hoja uchawi ukuwapi..mbona hatubishi kwamba jua lipo.. mbwa wapo.. dunia ipo...[emoji1787]why tubishane maujinga yenu mnayoona wenyewe
Nimetuma video ya yule dada na naweza kutuma nyingi zaidi ila hujaniambia kitu gani kinakufanya uone yale ni maigizo

Tuanzie hapa
 
Im not a specialist in agriculture. Ila hata ukifuatilia china au marekani na Tanzania mnaweza Lima hekari moja we ukavuna kidogo kuliko wao. Ndo maana nakuambia education is power, technology pia, quality factors kibao. Ukikimbilia uchawi unakuwa haujasolve tatizo lako ndo maana Washirikina wengi maskini

Sijui umeandika nini hapa, comment yangu uliielewa kwanza ama ulikimbilia tu kuniita mjinga? We unadhani bado watu wapo kwenye kulima kizamani siku hizi!? Aisee tembea uone hutaamini macho Yako.
Hata nikikuuliza tech gani ya kilimo unayoongelea na quality factors sijui kama utaongea kitu kipya ambacho huku hatufanyi. Come again

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Nimeeleza kuhusu sleep paralysis imenitokea Mara kibao naona kawaida nachekelea..Ila jitu lisilo na elimu na limaskini kishirikina anajua ni majini yanamkaba usiku anaenda kwa mwamposa au mganga..kumbe ni biology tu...huo ni mfano mmoja kwangu .coz mi mind yangu ipo too logical ni vigumu Sana kuona kitu na kukitafsiri kuwa uchawi..Sasa kwa watu wengine wameniambia story zao naona ni hallucinations tu..hata muwe 100 coz Portugal waliona jua linacheza cheza na kutoa rangi tofauti zaidi ya watu 3000.. Sasa jua kweli lilifanya hivyo au ni hallucinations tu...so ujue hivi vitu nimefuatilia sana mambo mengi supernatural ni story tu.. hamna lolote
Ndugu endelea kumuomba sana Mungu wako yasikukute,uchawi ni halisia na upo kabisa,kuna mdau kaongelea swala la matibabu yakuvunjika mfupa,mimi nimeshuhufia bukoba huko,jamaa alivunjika nyonga,amekaa hospitali miaka mi 3,kaoelekwa kwa huyo bibi,wiki mbili tu kawa sawa, tena hata jeraha halijaguswa,kingine mimi mwenyewe nimeshuhudia usiku natoka babati nakwenda singida,ktk ya barabara nikashuhudi fisi mkubwa kama tembo yaani tena amejaa barabara nzima na mvua inapiga,kwemye gari nimebeba familia nzima,siku simama nikapita naye,gari ilitikisika tu na kishindo kiasi,nimefika singida naangalia bonet hakuna hata mkwaruzo,chaajabu wife na mdogowake waliliona hilo fisi,sasa je utasema tulikuwa na mawazo woote???
 
Nimeeleza kuhusu sleep paralysis imenitokea Mara kibao naona kawaida nachekelea..Ila jitu lisilo na elimu na limaskini kishirikina anajua ni majini yanamkaba usiku anaenda kwa mwamposa au mganga..kumbe ni biology tu...huo ni mfano mmoja kwangu .coz mi mind yangu ipo too logical ni vigumu Sana kuona kitu na kukitafsiri kuwa uchawi..Sasa kwa watu wengine wameniambia story zao naona ni hallucinations tu..hata muwe 100 coz Portugal waliona jua linacheza cheza na kutoa rangi tofauti zaidi ya watu 3000.. Sasa jua kweli lilifanya hivyo au ni hallucinations tu...so ujue hivi vitu nimefuatilia sana mambo mengi supernatural ni story tu.. hamna lolote
Yani katika vitu vingi ulivyofuatilia umeeleza kimoja tu cha sleep paralaysis basi ila unatumia muda mwingi kudai uthibitisho na kusema ni hallucinations tu, kwanini usitumie nafasi hii kueleza zaidi hayo uliyoyafuatilia na ukayatolea maelezo ni kwa vp si uchawi kama wanavyoamini?
 
Nimekwambia hivi kama utawaambia watu huko mtaani wakielezee jinsi vifaa vyao vya umeme vinavyofanya kazi wengi hawatoweza kueleza hawajui ila wanavitumia hivyo vifaa na vinafanya kazi, ila wewe hapa unanilazimisha mimi kujua na kuelezea jinsi uchawi unavyofanya kazi. Kuna mimea kama afrika tunaitumia kitiba katika tiba zetu za asili ila hatujui inafanyaje kazi na mengine haina maelezo ya kisayansi kuelezea ni kwa vp inatibu.

Kwahiyo hapa kuna vitu viwili, ukweli wa uchawi kuwa unaweza kuleta athari hiyo kusudiwa na maelezo ya vp uchawi unavyofanya kazi.


Sisemi lingine zaidi ya kukubali kushindwa kwako siku njema.
Wewe ni mjinga na mjinga si tusi ni sifa.
 
Kwa hiyo unataka kusema huyu jamaa anayesimulia hapa ana ugonjwa wa akili?

Hukuona sehemu pameandikwa hallucinations husababishwa na vitu vingi?
Ni wapi nimesema huyo jamaa ana ugonjwa wa akili Yaani kusoma kwa ufahamu hauwezi halafu unataka kujenga hoja?

Ulisoma lakini hiyo text vzuri?
 
Back
Top Bottom