Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

sasa hizo bado zinabaki ni stori na kuamini hakuna shida.
Ukitaka uaminike ni uthibitishe.
Nilijua unayo hoja tuzungumzie kumbe ni na wewe unasikia sikia tu stori Sawa.
Kama umejifungia kwenye boksi la Sayansi Mamboleo, Nitawezaje kukusaidia halikuwa Unajivunia na kuonea fahari kifungo chako?

Ukitaka Ushuhuda, Tafuta MTU aliyevunjika mifupa nikupeleke kwa wajuzi ambao watamtibu pasi hata kugusa jeraha lake, na kama ni mguu ndani ya week atatembea mwenyewe. KISHA NITAKUACHIA WEWE UTAFAKARI NI SAYANSI GANI HIYO AU KAMA NI MAZINGAOMBWE BASI UTASUBIRI MIAKA KUONA NDUGUYO AKICHECHEMEA TENA, NA USIONE. NA UMPELEKE HOSPITAL ZOTE UKAMPIME USAHIHI WA KUPONA KWAKE.

Utumwa wa Fikra ni jambo baya sana.
 
🤣🤣Why....mi sijaelewa...soma post yangu ya dragon ndo utaelewa nasema huu ni ujinga. Coz in this sense mi naweza sema Nina dragon chumbani haonekani na hashkiki na huwezi kuhisi joto lake na hatemi moto...🤣Kuna tofauti gani ya huyo dragon kuwepo au kutokuwepo. Ndo uchawi Sasa ..umeupa position ambao huwezi kuthibitishwa in any way...ndo maana nasema ni uwongo tu..ni sawa na hamna kitu.
Uchawi sio Viini Macho! Uchawi ni Kanuni halisi, zinafundishika zinashikika.

Hakuna kitu kinaitwa Muujiza, na hakijawahi kuwepo na hakitakuwepo. Unachokiita wewe kuwa muujiza, wenzako wana Kanuni za utokeaji wake.

Kutokujua kwako, hakufanyi kusiwepo kwa Kanuni hizo, maana hilo ni Imani yako.
 
Watu wakishatumia na wao si ndo wanatest. Afu unadhani kuwa mwanasayansi ni lazma uwe NASA sijui. Hata Mimi kitendo Cha kufuatilia mada kwa umakini na kutafuta majibu ni Sayansi. That's how science works.. mwanasayansi sio mzungu au sio Neil Armstrong tu...ndo maana tunasoma toka primary
Nazungumzia kufanya tafiti ya kisayansi ambayo itakuja na majibu ya kisayansi kama ambavyo zinavyofanyika dawa zengine ambazo tunajua hadi jinsi zinavyofanya kazi na side effect zake, sasa ukiniambia na wao wametest ndio utafiti wa kisayansi huo?

Wewe unayepinga uchawi humu ushawahi kuufuatilia uchawi kujua ukweli wake?
 
Kwa Nini we usitumie na upige pesa...kwa Nini uskie tu kwa watu...Kama kipo
Uchawi sio Miujiza, ni Kanuni na Taratibu zake. Na kwa namna hiyo zina gharama zake, ni sawa na kujua kuwa Dhahabu ni pesa halafu tukuambie kwanini usiende kuchimba ukauze.

Ni Sayansi, Ila tu Wapotoshaji wameamua kuipa jina baya, au kuitangaza vibaya.

Ila ni Sayansi beyond sayansi ya Leo.
 
Kama umejifungia kwenye boksi la Sayansi Mamboleo, Nitawezaje kukusaidia halikuwa Unajivunia na kuonea fahari kifungo chako?

Ukitaka Ushuhuda, Tafuta MTU aliyevunjika mifupa nikupeleke kwa wajuzi ambao watamtibu pasi hata kugusa jeraha lake, na kama ni mguu ndani ya week atatembea mwenyewe. KISHA NITAKUACHIA WEWE UTAFAKARI NI SAYANSI GANI HIYO AU KAMA NI MAZINGAOMBWE BASI UTASUBIRI MIAKA KUONA NDUGUYO AKICHECHEMEA TENA, NA USIONE. NA UMPELEKE HOSPITAL ZOTE UKAMPIME USAHIHI WA KUPONA KWAKE.

Utumwa wa Fikra ni jambo baya sana.


Bado mpaka sasa hujathibitisha unayoyaongea zaidi ya kuendelea kutunga stori.

Huna tofauti na masheikh na wachungaji waongo wakisema wanaweza fanya viwete watembee lakini hospital kumejaa hao viwete, waliovunjika kwanini hawathibitishi kama wanaweza kutibu n mtu aliyevunjika miguu ndani ya siku7?

Huoni bado unaendelea kutunga stori zako?
 
Uchawi sio Miujiza, ni Kanuni na Taratibu zake. Na kwa namna hiyo zina gharama zake, ni sawa na kujua kuwa Dhahabu ni pesa halafu tukuambie kwanini usiende kuchimba ukauze.

Ni Sayansi, Ila tu Wapotoshaji wameamua kuipa jina baya, au kuitangaza vibaya.

Ila ni Sayansi beyond sayansi ya Leo.

Dhahabu ipo na ina thamani, na kuna sababu kwanini ni ya thamani.

Tupe connection ya uchawi na kufanikiwa kwa mtu?
 
Shida hauthibitishi unatunga stori tukikuambia uthibitishe unaruka futi mia moja. Na kusema kwamba mimi sijui na bado unatetea kitu hicho kipo.

Yaani unasema wewe ni mwanaume lakini unasema sijui kama mimi ni mwanaume.
Tatizo ummekariri hilo neno "uthibitisho" na wote mpo hivyo mnalitumia kama kichaka chenu, ulipoleta story yako ya hao majirani zako mapolisi wala sikukwambia uthibitishe kwa sababu ni vitu ambavyo kweli vipo ila nyie sasa kila kitu watakachoeleza wenzenu mnajidai kudai uthibitisho.

Sijui ni vp wewe uone kuwa naweza kukuthibitishia hicho unachotaka nikuthibitishie kupitia humu JF.
 
Sijui una umri gani na unaishi wapi ila nikuulize, hivi katika maisha yako ushawahi kukutana na wafanya biashara wenye imani za kishirikina kwenye biashara zao?
1. Ndio...ni Imani...mi naweza amini dragon ananifanya nifanye kazi vizuri na nikafanya kazi vizuri. Haina maana kwamba huyo dragon yupo kisa nafanya kazi vizuri. Ni kama lucky charm. Mtu unaamini ukivaa blue mpirani utacheza vizuri, Ina psychological na physiological effects ila doesn't mean it's true. Ni brain effect tu...so bado hujaprove uchawi.
2. Kama uchawi unachagua umri na sehemu bac nitajie umri na sehemu ya kuona uchawi
 
Sio ambayo sijaielewa Mimi... WALIOKUFUNDISHA SAYANSI HII YA KINA ESTEIN NDIO WALIOSHINDWA KUILEWA SAYANSI YA BABU NA BIBI YANGU, KWA UPUUZI WAO WAKAIVIKA JINA BAYA, UCHAWI.
🤣 Mwanasayansi gani mwenye hadhi duniani anaamini uchawi. Mtaje na uje na credible quotations zake. Acha bifu na wanasayansi, wametengeneza Simu unaongea upuuzi humu. Waambie bibi na Babu yako watumie uchawi kuunda Simu...
 
Tupe reference ya kifaa cha umeme ambacho kinatumika na mpaka sasa bado haijulikani kinafanya vipi kazi halafu tukuonyeshe.
Halafu na wewe tafuta kokote kule connection ya uchawi na kuvuta wateja?
Nimekwambia hivi kama utawaambia watu huko mtaani wakielezee jinsi vifaa vyao vya umeme vinavyofanya kazi wengi hawatoweza kueleza hawajui ila wanavitumia hivyo vifaa na vinafanya kazi, ila wewe hapa unanilazimisha mimi kujua na kuelezea jinsi uchawi unavyofanya kazi. Kuna mimea kama afrika tunaitumia kitiba katika tiba zetu za asili ila hatujui inafanyaje kazi na mengine haina maelezo ya kisayansi kuelezea ni kwa vp inatibu.

Kwahiyo hapa kuna vitu viwili, ukweli wa uchawi kuwa unaweza kuleta athari hiyo kusudiwa na maelezo ya vp uchawi unavyofanya kazi.
 
Tatizo nyie wasomi hamuelimishi watu kwa yale mnayoyajua, kama hapo ingekuwa vizuri wewe kama msomi ukaeleza ni vp hakuna hicho kinachoaminiwa kama chuma ulete bali ni hivi na vile unakuwa umewaelimisha watu.

Tatizo nyie wasomi hamuelimishi watu kwa yale mnayoyajua, kama hapo ingekuwa vizuri wewe kama msomi ukaeleza ni vp hakuna hicho kinachoaminiwa kama chuma ulete bali ni hivi na vile unakuwa umewaelimisha watu.
Toa mfano wa hio chuma ulete...
 
Kama umejifungia kwenye boksi la Sayansi Mamboleo, Nitawezaje kukusaidia halikuwa Unajivunia na kuonea fahari kifungo chako?

Ukitaka Ushuhuda, Tafuta MTU aliyevunjika mifupa nikupeleke kwa wajuzi ambao watamtibu pasi hata kugusa jeraha lake, na kama ni mguu ndani ya week atatembea mwenyewe. KISHA NITAKUACHIA WEWE UTAFAKARI NI SAYANSI GANI HIYO AU KAMA NI MAZINGAOMBWE BASI UTASUBIRI MIAKA KUONA NDUGUYO AKICHECHEMEA TENA, NA USIONE. NA UMPELEKE HOSPITAL ZOTE UKAMPIME USAHIHI WA KUPONA KWAKE.

Utumwa wa Fikra ni jambo baya sana.
🤣🤣🤣Sasa si Sayansi hio...umeeleza uchawi gani Sasa.
 
Uchawi sio Viini Macho! Uchawi ni Kanuni halisi, zinafundishika zinashikika.

Hakuna kitu kinaitwa Muujiza, na hakijawahi kuwepo na hakitakuwepo. Unachokiita wewe kuwa muujiza, wenzako wana Kanuni za utokeaji wake.

Kutokujua kwako, hakufanyi kusiwepo kwa Kanuni hizo, maana hilo ni Imani yako.
🤣🤣Bac usiite uchawi..sema tu ni kitu usichokielewa..hii ndo maana yako. Sasa maana ya uchawi inayoongelewa huku sio yako. Sawa...Hawa wanaongelea miujiiza, mashetani, mapepo, majini etc we unaongelea Sayansi...so tupo same page
 
Nielewe...nimesema jamii Yao, Sasa Kama Kuna shoga mmoja Tanzania utasema watanzania mashoga...hebu kuwa serious bac
Kama umekiri lipo kundi la wazungu wanaoamini uchawi na Afrika pia lipo kundi linaloamini uchawi

Nawewe ulisema wazungu hawaamini uchawi sisi wa Africa ndo tunaamini

HAPA TUKUELEWAJE???
 
Nazungumzia kufanya tafiti ya kisayansi ambayo itakuja na majibu ya kisayansi kama ambavyo zinavyofanyika dawa zengine ambazo tunajua hadi jinsi zinavyofanya kazi na side effect zake, sasa ukiniambia na wao wametest ndio utafiti wa kisayansi huo?

Wewe unayepinga uchawi humu ushawahi kuufuatilia uchawi kujua ukweli wake?
Ndio... nimefuatilia kutoka kwa shuhuda za watu na pia vitu ambavyo Mimi nimeviona nikagundua ni mambo ya brain activity tu...
 
🤣Si polisi wapo...we madude yako hayapo ndo maana. Huwezi omba uthibitisho wa polisi au pombe utakuwa chizi...Ila extraordinary claims needs extraordinary evidence. Ukisema Leo nimeamka kitandani..hata Kama umeamka chini sisi hatutakuuliza coz it's normal kuamka kitandani. Ukisema umeamka chini ya bahari.. tutakuuliza even though Kuna slight possibility ya kutokea labda umelala kwenye submarine. Ukisema umeamka Jupiter hapo tutakubishia na tutaomba evidence..ukitunyima we ni mjinga tu au chizi
Hivi uliweza kuelezea ni kwa vp chuma ulete sio uchawi ni wizi tu na unafanyajwe?
 
Back
Top Bottom