Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Uko sahihi.
Hata kinachoitwa Sayansi Leo kimetengeneza Kondoo wabaya mno, ambao kwao wanafikiri hakuna kinachoweza kutokea nje ya Kanuni za Sayansi ya Maabara zao. Kondoo wa Sayansi ni vipofu kushinda wale wa makanisa na misikiti na mizimu, maana wenyewe wamejivika usmart huku wasijue kitu. Wanefungwa na usasa ni VIPOFU.
Mazingaombwe yapo na tunayaona watu tunalipa mia 5 ,wanatuonyesha... Naomba mwenye uelewa kuhusu science aniambie mazingaombwe ni nini...
 
Sihitaji kujua ya mkononi inavyofanya kazi hadi naweza kufanya mawasiliano na mtu ila najua kwamba naweza kuwasiliana na mtu kutoka nchi nyengine kupitia hii simu.
Si Sayansi hiyo..Tena ya mzungu...wakati waafrika tunalogana wenzetu wanatengeneza satellite juu ya dunia na kupeleka watu mwezini. Afu mnategemea tuwe sawa
 
🤣Yanawakuta wajinga....skia ukijua science vizuri, ukaelewa ubongo vizuri, ukaelewa jamii vizuri and why it believes things that aren't there, huwezi amini na kuogopa uchawi..coz unajua havipo. Vingekuwepo si tungeviona, mbona hatubishani kama Kuna simba...Kama Kuna nyoka... Kama Kuna jua . Tuwe serious bac
Messi na Ronaldo tunawaona ila hadi leo watu wanabishana nani ni zaidi kati ya hao wachezaji wawili.
 
Mazingaombwe yapo na tunayaona watu tunalipa mia 5 ,wanatuonyesha... Naomba mwenye uelewa kuhusu science aniambie mazingaombwe ni nini...
Ni magic tricks...hata wazungu wanazo..na ukifundishwa hata we unafanya. Ukitaka google hicho ulichoona watakuelezea mpaka video wanavyofanya behind the scene
 
Uchawi upo ndugu zangu.

Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.

mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.

Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tambua kuwa Uchawi ni Sayansi, una Kanuni beyond hii sayansi iliyoshindwa hata kutibu mafua au kumkamata mwizi mahakamani.
Huwezi kutumia kanuni za Sayansi hii ya darasani kuthibitisha Sayansi ya Uchawi, maana imejengwa kupotasha Sayansi Ukweli na kujaribu kutoa dhana za uongouongo juu yake.
Sawa so umekubali kwamba uchawi ni Sayansi ambayo hujaielewa, ukielewa sio uchawi Tena?
 
🤣Yanawakuta wajinga....skia ukijua science vizuri, ukaelewa ubongo vizuri, ukaelewa jamii vizuri and why it believes things that aren't there, huwezi amini na kuogopa uchawi..coz unajua havipo. Vingekuwepo si tungeviona, mbona hatubishani kama Kuna simba...Kama Kuna nyoka... Kama Kuna jua . Tuwe serious bac
Niambie Mazingaombwe ni science au sio science...Na kama hujawahi kuona mazingaombwe nikutumie sasa hivi...Au ingia unitalent ya mwaka huu yule mwamba aliyejikata ulimi...Vipi science gani imetumika pale?
 
Sio lazima nijue unafanyaje kazi ila muhimu najua unafanya hiyo kazi, kama leo ukiwauliza watu mtaani wakueleze ni vp simu zao za mkononi zinavyofanya kazi wengi hawatoweza kuelezea ni vp zinafanya kazi ila wanatumia.

Kuna mimea mingi tu ambayo inatumika kitiba ambayo hatuna maelezo ya kisayansi jinsi inavyofanya kazi haijafanyiwa tafiti za kisayansi lakini imekuwa ikitumika kutibu maradhi.
🤣🤣🤣Sasa mimea si science.... biology na chemistry inatumika hapo..sio kwamba wanasayansi hawajui wanajua inatiba Ila hawapendekezi kutokana na sababu fulani za kiafya...mbona unaelewa huelewi. Mimea si ipo jamani. Kwani unadhani dawa zinatengenezwa na Nini si substitute za chemicals ambazo zipo kwenye mimea. Hebu soma bac shule Rudi sekondari udai ada
 
Niambie Mazingaombwe ni science au sio science...Na kama hujawahi kuona mazingaombwe nikutumie sasa hivi...Au ingia unitalent ya mwaka huu yule mwamba aliyejikata ulimi...Vipi science gani imetumika pale?
🤣Mfate muulize...Sasa. mi sio mtu wa mazingaombwe. Ile ni kazi Kama kazi nyingine na wanajua Hilo...au unadhani majaji pale Wanaona yule jamaa ni mchawi, si wangemkimbia, si wangemuogopa. Ile ni talent na hata we unaweza jifunza..ni tricks tu na kucheza na saikolojia ya watazamaji.
 
Hatimae umeamua kuonyesha ujinga wako na ujinga si tusi ndugu yangu.

Yaani muda wote unatetea kitu ambacho hukijui nilifikiri nimeshayaona yote kumbe bado.

SimbaMpole123 njoo uone huyu mtu anasema najua inavuta wateja ILA ukiniuliza vipi ndo sijui hapo.

Yaani judge anakuuliza embu thibitisha kwamba mtu unayemlalamikia ni mwizi halafu unaanza kusema huyu ni mwizi sababu nilisikia ni mwizi lakini mheshimiwa ukiniambia ni mwizi kivipi hapo sasa ndo sijui lakini ni mwizi.

Ndugu Tz mbongo kufeli au kutokujua ni part ya kujifunza. Sina cha kukushauri zaidi ya kukubali ujinga ulionao kichwani .
🤣Anajing'ata tu mda wote hata haendi popote
 
Ni nguvu na Kanuni zilizoshindwa kuthibitishwa na Sayansi ya Darasani. Ni Sayansi beyond hii ya makaratasi.

Hivyo ukitaka kujua INAFANYAJE HIVI AMA VILE kwa vigezo vya Sayansi ya Darasani, kamwe hutapata majibu. Ila jamii inashuhudia matendo makuu yake, kama unavyoona humu.

sasa hizo bado zinabaki ni stori na kuamini hakuna shida.
Ukitaka uaminike ni uthibitishe.
Nilijua unayo hoja tuzungumzie kumbe ni na wewe unasikia sikia tu stori Sawa.
 
Ni nguvu na Kanuni zilizoshindwa kuthibitishwa na Sayansi ya Darasani. Ni Sayansi beyond hii ya makaratasi.

Hivyo ukitaka kujua INAFANYAJE HIVI AMA VILE kwa vigezo vya Sayansi ya Darasani, kamwe hutapata majibu. Ila jamii inashuhudia matendo makuu yake, kama unavyoona humu.
🤣🤣Why....mi sijaelewa...soma post yangu ya dragon ndo utaelewa nasema huu ni ujinga. Coz in this sense mi naweza sema Nina dragon chumbani haonekani na hashkiki na huwezi kuhisi joto lake na hatemi moto...🤣Kuna tofauti gani ya huyo dragon kuwepo au kutokuwepo. Ndo uchawi Sasa ..umeupa position ambao huwezi kuthibitishwa in any way...ndo maana nasema ni uwongo tu..ni sawa na hamna kitu.
 
Sio lazima nijue unafanyaje kazi ila muhimu najua unafanya hiyo kazi, kama leo ukiwauliza watu mtaani wakueleze ni vp simu zao za mkononi zinavyofanya kazi wengi hawatoweza kuelezea ni vp zinafanya kazi ila wanatumia.

Kuna mimea mingi tu ambayo inatumika kitiba ambayo hatuna maelezo ya kisayansi jinsi inavyofanya kazi haijafanyiwa tafiti za kisayansi lakini imekuwa ikitumika kutibu maradhi.
I'm out siku utayopata hiyo connection ya uchawi na kufanikiwa KWA mtu niletee na nitakuwa tayari kukuamini.

Itoshe sema wewe ni mjinga zingatia ujinga si tusi.
 
🤣🤣🤣Sasa mimea si science.... biology na chemistry inatumika hapo..sio kwamba wanasayansi hawajui wanajua inatiba Ila hawapendekezi kutokana na sababu fulani za kiafya...mbona unaelewa huelewi. Mimea si ipo jamani. Kwani unadhani dawa zinatengenezwa na Nini si substitute za chemicals ambazo zipo kwenye mimea. Hebu soma bac shule Rudi sekondari udai ada
Wanajua kwa kufanya utafiti wa kisayansi au wanajua kwa kuona tu watu wakitumia? Hata dawa za kutengenezwa maabara zina side effect pia.
 
Back
Top Bottom