Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Nguvu ya Mungu ipo kwa ajili ya kuokoa, kuponya na kutoa ulinzi dhidi ya uchawi na madhara ya uchawi.

Nyie wachawi ndio mnajaribu kupotosha watu hakuna uchawi ili muendelee kuwadhuru.
Nguvu ya Uchawi na Nguvu ya Mungu ni kitu kimoja, kinachofautisha majina ni mihemko yetu tu, si kingine.
Nikitumia gamba la nyoka kukudhuru utasema ni Nguvu ya Uchawi, gamba hilohilo nikitumia kukutibu utamsifu Mungu wako.
Unafiki.
 
Nguvu ya Uchawi na Nguvu ya Mungu ni kitu kimoja, kinachofautisha majina ni mihemko yetu tu, si kingine.
Nikitumia gamba la nyoka kukudhuru utasema ni Nguvu ya Uchawi, gamba hilohilo nikitumia kukutibu utamsifu Mungu wako.
Unafiki.
Uchawi hautibu hata siku moja, ila uchawi hutumika kudhuru au kuupoza/kutuliza kwa muda tu uchawi mwingine.
 
Una kinga kubwa kiroho aisee huyo hakuwa mtu bali roho baya lililotumwa kukuziba njia ili ugongwe na gari ufe malengo ya mbaya wako yatimie afurahi kuwa kakuweza
Ngoja nkuulze maalimu

Hv ukikutan na chin Zaid ya mara moja then anaonyesh kukuchangamkia na kuita majin fulan wew kiongoz ofs kwako wakt ni desk officer hii ina maan gan
Mara 2 Kwa mwez wa sab ntakutan nae. Na anasem hvyo akiw ana smile
 
Uchawi ni imani'kitu pekee kinacho weza kufanya na uchawi ukaonekana upo ni imani na hiyo nguvu ili ifanye kazi inataka uiamini/uwe na imani nayo uiishi.hao wanao itwa manabii na mitume wanajua vema siri ya uchawi.ngoja nitumie neno hili wamehaki akili za waumini wao hivyo muumini hawezi tena kusikiliza saut ya nje yake huo pia ni uchawi kama unaweza kumfanya mtu mwenye akili timamu utashi akusikilize wewe tu na ukamfanyia mazingayomwe yale ya kushika kichwa akadondoka huo nao ni uchawi mkubwa tu.tofaut hapo ni 2 wewe unafanya uchwi kutumia neno la mungu wakati wengine upande wa pili.uchawi ni imani halisi haupo uchawi hutenda kazi kwa kadri nguvu yako ubongo inavyo fikiri lakini wenyewe kutu chenye maana.na jua sio rahisi sana kuelewa ila nikuhakikishie ukitaka kujifunza kuhusu nguvu hiyo 0756805540.uchawi ni upuuzi labda tu kinacho weza kukutisha ni neno lenyewe (uchawi)na si uchawi wenyewe...mwisho tu ni kwambie kama uliwahi kwenda kwa mganga kugangua ulipigwa.
Uko sahihi.
Hata kinachoitwa Sayansi Leo kimetengeneza Kondoo wabaya mno, ambao kwao wanafikiri hakuna kinachoweza kutokea nje ya Kanuni za Sayansi ya Maabara zao. Kondoo wa Sayansi ni vipofu kushinda wale wa makanisa na misikiti na mizimu, maana wenyewe wamejivika usmart huku wasijue kitu. Wanefungwa na usasa ni VIPOFU.
 
Uchawi hautibu hata siku moja, ila uchawi hutumika kudhuru au kuupoza/kutuliza kwa muda tu uchawi mwingine.
Sijasema Uchawi umetibu, wewe ndio unaita Uchawi. Ila kilichotibu ni gamba la nyoka.

Hata Dawa za Hospital hazitibu, Tena huwa zinakomaza tatizo, na hamjawahi kuita ni Uchawi. Ukiimwa UTI, wataanza kukupa Amoxline, kadri uatakavyoenda mwishowe watakupa Sindano. Na hamjawahi sema ni Uchawi.

Dini ni Upofu na Utumwa.

Wachungaji wenu hawajawahi kutibu majeruhi wa ajali wavujao damu, Ila tu watu walio na msongo wa mawazo. Hamjiulizi?
 
🤣Ndo mtu akiibiwa anasema chuma ulete ni excuse. Siku hizi sio lazma ukabwe. Mjini watu Wana tactics nyingi Sana mpaka kuja kukuibia. Ndo maana nasema ni mchezo wa akili sio uchawi. We unasema uchawi kabla ya kuelewa. Ukielewa unacheka tu unakubali umepigwa bac ndo maisha, mi mwenyewe yashawahi nikuta so naelewa
Mimi nimekwambia kwamba utapeli na wizi upo na mtu akitapeliwa anasema haleti excuse, sasa nilitegemea wewe ukaeleza kwa kina ni vp hiyo chuma ulete sio uchawi bali ni utapeli tu ambao unafanywa hivi na vile ila sio uchawi. Mfano kuna ule utapeli wa simu ambao hao matapeli wanajifanya kukutumia pesa kimakosa na mwisho wa siku wanakutapeli, wapo ambao wanajaribu kuhusisha na uchawi ila kiukweli si uchawi maana ni utapeli ambao unaelezeka na watu wanaowatapeli asilimia kubwa ni wale ambao hawana uelewaa, ila kwa wenye uelewa hawawezi kuwatapeli.

Sasa kama wewe unaelewa chuma ulete si uchawi ni utapeli tu kama mwengine basi uelezee hapa ili watu waweze kuuepuka, eleza ni vp watu wanaona pesa zao zimepungua au kupotea kabisa kwa huo utapeli.
 
Hukusema ilishindikana sababu bibi aligoma?

Halafu hizo mashine zilikwama vipi? Hiyo nyumba ilikuwaje to the extent bulldozer ishindwe kufanya kazi yake?

Ndiyo maana mwisho nikakwambia hizo ni stori za kuhalalisha stori yako.
Mimi nilizungumzia hallucinations ILA wewe ni stori za kufikirika na jamaa niliye mquote nilimpa na mifano kadhaa hata mimi ishawahi nitokea na rafiki wa karibu aliyepoteza mzazi wake.

Kafatilie tena nilichoandika mkuu
Jamaaa wew una ubishi wa kijinga kabsa hivi vitu vipo na vimetokea sana mi nina mfano halisi kijijini kwetu Maswa walikuwa wanatengeneza barabara kuna sehemu walikuwa wameielekeza ipite kulikuwa na miti ya bibi mmoja mikubwa walijaribu kuing'oa mpk zile Caterpillar zikawa znaharibika mpk wakabadilisha uelekeo wa barabara
 
Hatimae umeamua kuonyesha ujinga wako na ujinga si tusi ndugu yangu.

Yaani muda wote unatetea kitu ambacho hukijui nilifikiri nimeshayaona yote kumbe bado.

SimbaMpole123 njoo uone huyu mtu anasema najua inavuta wateja ILA ukiniuliza vipi ndo sijui hapo.

Yaani judge anakuuliza embu thibitisha kwamba mtu unayemlalamikia ni mwizi halafu unaanza kusema huyu ni mwizi sababu nilisikia ni mwizi lakini mheshimiwa ukiniambia ni mwizi kivipi hapo sasa ndo sijui lakini ni mwizi.

Ndugu Tz mbongo kufeli au kutokujua ni part ya kujifunza. Sina cha kukushauri zaidi ya kukubali ujinga ulionao kichwani .
Sio lazima nijue unafanyaje kazi ila muhimu najua unafanya hiyo kazi, kama leo ukiwauliza watu mtaani wakueleze ni vp simu zao za mkononi zinavyofanya kazi wengi hawatoweza kuelezea ni vp zinafanya kazi ila wanatumia.

Kuna mimea mingi tu ambayo inatumika kitiba ambayo hatuna maelezo ya kisayansi jinsi inavyofanya kazi haijafanyiwa tafiti za kisayansi lakini imekuwa ikitumika kutibu maradhi.
 
Mimi siwezi tu kujua hilo kiuhakika kwamba huyu katumia uchawi na huyu hajatumia kama ambavyo unaweza usijue mafanikio ya mfanyabiashara kuwa ni kukwepa kulipa kodi.
Ila tunaona watu wenye kutumia uchawi kwenye biashara.
Oooh basi usiseme unaona...sema unahisi. Coz kuona lazma uone uchawi wenyewe. Huuoni unahisi kutokana na wivu wa maendeleo na uvivu wa kufikiria
 
Connection ipo kwenye kuvuta wateja na hapo ndipo anapopata mafanikio, sasa ukiniuliza uchawi unafanya vp kuvuta wateja hilo sijui ila nachojua ni kweli uchawi una uwezo wa huo kwa sababu ni kitu ambacho kinafanyika na tunaona athari yake.
🤣🤣🤣Bac ukishajua utuambie so far ni hisia zako za wivu na ujinga.
 
Haishtui kwa sababu hata psalms wanasema "a fool said to himself there is no god" 🤣so of course walioandika hivi vitabu wanajua watu hawataviamini coz wanajua story zao haziaminiki. We ushaona gazeti au kitabu kimeandikwa asiyeamini aunguzwe auwawe, no...🤣why vitabu vya dini coz Ni uwongo na tunzi za watu...sio Quran sio bible
 
CHEKA SANAAA, ONGEA SANAAA....ILA JUA HAYAMKUTI MBUZI .
🤣Yanawakuta wajinga....skia ukijua science vizuri, ukaelewa ubongo vizuri, ukaelewa jamii vizuri and why it believes things that aren't there, huwezi amini na kuogopa uchawi..coz unajua havipo. Vingekuwepo si tungeviona, mbona hatubishani kama Kuna simba...Kama Kuna nyoka... Kama Kuna jua . Tuwe serious bac
 
Uchawo upo dunia nzima watu wanaujua, hata hao wazungu unaowaona wameendelea kwao upo. Wanaishia kukwambia wewe mwafrika una mila za ajabu ilihali kwao zinafanyika kinamna yao kulingana na utamaduni wa kwao. Zile wanazoita spell ni nini?

Hakuna mahali hapa duniani utaenda usikute ushirikina, acha kuongea vitu usivyovijua. Wewe ni brainwashed na si kwamba umeelimika. Hao unawaita madokta maisha yao binafsi wengine unayajua? Hakuna mahala kwenye mabara yote ya duniani wanapokaa wanadamu utakapoemda usiukute uchawi. Upo unafanyika kuendana na mila ma desturi za jamii husika walivyorithi
Sawa Ila haupo Sasa....,,🤣🤣🤣nimekuambia jamii nyingi za kizungu haziamini uchawi na zinaishi kwa scientific principles. We umeangalia movie za horror unasema wanaamini zile ni entertainment tu Kama sisi tunavyotengeneza eonii. 🤣🤣🤣We na wajinga wenzako ambao hawana elimu ya Sayansi na jamii ndo mnaamini uchawi. Watu tumeelimika hatuwezi amini vitu ambavyo havipo. Kama uchawi upo...tuonyesheni...Mara mtuambie tukue wakubwa, tukue mpaka lini, Mara mtuambie twende sijui wapi, kwani unachagua sehemu.. 🤣Mbona dar hatusikii uchawi au kisa watu Wana elimu, hela na camera ndo maana unawakimbia unaenda kigoma ..vitu vingine jiongeze
 
Kwenye hili nadhani wewe ndio mjinga na mvivu, ntakuuliza swali Moja tu ukinijibu nafuta app ya Jf. Kikawaida natakiwa kupata magunia mangapi ya mpunga Kwa ekari Moja iwapo nitafata watu wa KILIMO BORA ?
Asante na karibu.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Im not a specialist in agriculture. Ila hata ukifuatilia china au marekani na Tanzania mnaweza Lima hekari moja we ukavuna kidogo kuliko wao. Ndo maana nakuambia education is power, technology pia, quality factors kibao. Ukikimbilia uchawi unakuwa haujasolve tatizo lako ndo maana Washirikina wengi maskini
 
Back
Top Bottom