MUNGU yupo wapi?🤣Leta hoja ..tuongee kwa hoja...ehe niambie uchawi upo wapi
Ni wapi sayansi imekataa juu ya uwepo wa uchawi, mapepo na majini?Kuna imani na hadithi mbalimbali katika jamii ambazo zinahusiana na uchawi, majini, na mapepo. Watu wengine wanasema kuwa wameona au kushuhudia vitu hivi, kama vile kukutana na marehemu, kubadilishiwa sehemu ya kulala, au matukio mengine ya kushangaza. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba masuala haya yanahusisha imani za kiroho na utamaduni, na kila mtu anaweza kuwa na maoni tofauti.
Katika kujibu swali lako, ni muhimu kutofautisha kati ya imani za kiroho na sayansi. Elimu ya biolojia inaweza kutoa ufafanuzi wa kisayansi juu ya mambo mengi yanayotokea katika maisha yetu. Kwa mfano, watu wanapokumbana na uzoefu wa kuona au kusikia vitu ambavyo havipo kimwili, inawezekana kuwa hii ni matokeo ya shughuli za ubongo ambazo zinaweza kuathiriwa na sababu mbalimbali kama vile matumizi ya dawa au magonjwa ya akili.
Hali duni ya maisha pia inaweza kuathiri jinsi watu wanavyoelewa mambo yanayotokea katika maisha yao. Umaskini, ukosefu wa elimu, na mazingira magumu yanaweza kuchochea imani za ushirikina au kuamini katika vitu ambavyo havina msingi wa kisayansi. Watu wanaweza kutafuta maelezo ya kiroho au ya kichawi kwa matukio ambayo hawawezi kuyaelewa kikamilifu kutokana na mazingira yao.
Hata hivyo, ni muhimu pia kuzingatia kwamba imani za kiroho na utamaduni zina umuhimu mkubwa katika maisha ya watu. Kwa baadhi ya watu, uzoefu wa kuona au kushuhudia vitu vya kiroho ni sehemu ya imani yao na ina umuhimu wa kipekee kwao. Hii inaweza kuwa njia ya kuunganisha na ulimwengu wa kiroho au kuwasaidia kupata maana katika maisha yao.
Ni vigumu sana kutoa jibu la moja kwa moja juu ya iwapo vitu kama uchawi, majini, na mapepo vipo au la. Sayansi haiwezi kukabiliana na mambo yote yanayohusiana na imani za kiroho, na imani za kiroho zinategemea mambo ambayo hayawezi kupimwa au kuonekana kimwili. Kila mtu ana uhuru wa kuamini au kutokubaliana na mambo haya, na ni muhimu kulinda uhuru huo wa kidini na maoni tofauti.
Kwa hiyo, jibu la swali lako linaweza kuwa kwamba imani za uchawi, majini, na mapepo zinaweza kuwa sehemu ya utamaduni na imani za kiroho za watu, na zinaweza kuathiriwa na elimu ya biolojia na hali duni ya maisha. Hata hivyo, ni muhimu kuheshimu maoni na imani za wengine na kutambua kwamba sayansi haiwezi kutoa majibu kamili kwa masuala yote ya kiroho.
Well,hata ungesoma" states of matter " vizuri na kuielewa tayari ungejua uchawi upo na ungeweza kuuthibitisha.Sijkataa unayosema.
Everyone is innocent until proven guilty
Thibitisha hayo unayosema
Kama hauna nakuweka kundi MOJA na mjinga
Mwenzako aliyesema kwamba upo lakini siwezi thibitisha ni kwa jinsi gani.
Unatetea kitu ambacho huwezi kujijenga hoja.
Well,hata ungesoma" states of matter " vizuri na kuielewa tayari ungejua uchawi upo na ungeweza kuuthibitisha.
🤣🤣🤣We hujui Sayansi maana Ake Nini...Sayansi sio lazma usome shule. Sayansi ni another done to make life simpler. Nikitengeneza baiskeli yangu iende mwendo mzuri tayari ni Sayansi. Na process ya Sayansi ni kutafuta solution za matatizo. Tiba asilia ni Sayansi kwa sababu kupitia mimea unajaribu kutatua matatizo. We unadhani mpaka uwe Steve jobs ndo unakuwa mwanasayansi...hata we Katika maisha ya kila siku una apply scientific process.Sasa unatoa wapi hoja zako kuwa Tiba Asilia ni Sayansi kama hiyo yako ya makaratasi?
Can you rephrase your question?Kama hayo yote unayoyasema ni Hallucination, je ni hallucination ya aina gani?
🤣Bac mkishajulikana kuwa official doctors nitaenda. So far Nina Imani na ujuzi wa madaktari waliosomea mwili wa binadamu kwa miaka 7 na miaka mingi ya uzoefuHa
Wala sio bibi, ni vijana wadogo tu wenye ujuzi na maarifa hayo.
Ni wengi wanaenda hata Mimi nilienda na mgonjwa wangu, ni wengi sana. Mnaoteseka ni ninyi mliokosa maarifa, na mwishowe mnabaki kuwa vilema au kukatwa miguu kabisa.
Uvivu wenu wa kufikiri utawagharimu mpaka vizazi vyenu. Tokeni humo kwenye boksi la dini na Sayansi. Mtateseka sana.
🤣Angalia video za behind the scenes zao....Sasa unaniuliza mie..sio mtaalamu wa haya mambo..wataalamu wapo wanaelezea na hata we ukifundishwa unawezaThibitisha kisayansi yanatokeaje!
Kuna umri au mahali pa kukutana nao?Wasio amini uchawi upo nadhani hawajakutana nao,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sayansi sio darasani jamani. Hata we ukizaliwa hujaenda shule bado utatumia Sayansi. Science is making life simpler, is finding solutions to problems. Ndo maana inaitwa scientific investigation au research. Chochote ufanyacho katika kutafuta majibu au kurahisisha maisha ni Sayansi. Sasa wewe uniambie inaishia wapi na inaendelea wapi na uje na ushahidi wako tunausubiriM
Maandishi yako yanaweka wazi kilichomo kichwani mwako... Habari za hunijui si hoja ndugu.
Tambua IPO Sayansi beyond hii ya Darasani, na hata waliokuletea hii wanajua hilo, Ila hawatakuruhusu uijue ili uendelee kuwa mtumwa mtiifu kwao.
🤣🤣🤣🤣Next.Mwandiko wako tu unasadifu we ni mtu wa namna gani, watu wa design yako wanajulikana vizuri tu hiyo sayansi unayojifanya kuijua huijui hata chembe,
mtu mwenye akili timamu hawezi kujichekesha kila saa kwa emoji hizo ni dalili za upinde, pita hivi katawaze kwanza.
Hayupo naeMUNGU yupo wapi?
🤣🤣🤣🤣Mnapenda Sana kumsingizia newton wa watu...kina Einstein.. skia kipindi hicho ukiwa atheist unapingwa na jamii nzima. Nitajie modern scientist ambae anaamini uchawi. Ambao hawaamini wapo kibao bill gates Elon musk etc nitajie wanaoamini...modern scientists nasubiriaNi wapi sayansi imekataa juu ya uwepo wa uchawi, mapepo na majini?
Kama hamjasoma sayansi ni vema mkae kimya.
Maswala yote ya kiroho yana sayansi yake husika( occult science) na yanaweza kuwa proved scientifically.
Hicho ambacho mnakiita sayansi ni mifupa tu ila nyama bado hamjafanikiwa kuzifikia.
Kumbuka " milk for the babies and meat for strong men" so keep on enjoying the milk.
Sir Isaacs Newton aliandika maandiko mengi sana ya Uchawi kuliko hata ya Sayansi.
So msipende kuongelea mambo msiyoyajua.
Kwamba unatarajia nitakuthibitishia humu Jf kwa maneno? Nimekupa Fursa ya kushuhudia Matendo Makuu ya mnachokiita Uchawi. Wajibu ni wako sasa.
Hao wanaohangaika hospital miezi na miezi ni Vipofu na kondoo wa aidha Sayansi yako au dini yako, wakiamini Tiba Asilia ni Uchawi, na Uchawi ni Ushirikina au ni Kupitwa na Wakati.
Mtateseka sana, na Mteseke tu, maana hata mkipona hamuachi kuwa na kasoro.
Ujuzi Asilia (Uchawi) upo, na wenye nao ni wa kuheshimiwa sana. Lakini pia wapo watumiao vibaya kwa maslahi yao na wapo matapeli pia. Ni sawa atumiae bunduki kujilinda na mwingine kuibia. Bunduki ni Bunduki tu, ubaya ni matumizi yako.
Ndugu embu kuwa muelewa kidogo...🤣🤣🤣We hujui Sayansi maana Ake Nini...Sayansi sio lazma usome shule. Sayansi ni another done to make life simpler. Nikitengeneza baiskeli yangu iende mwendo mzuri tayari ni Sayansi. Na process ya Sayansi ni kutafuta solution za matatizo. Tiba asilia ni Sayansi kwa sababu kupitia mimea unajaribu kutatua matatizo. We unadhani mpaka uwe Steve jobs ndo unakuwa mwanasayansi...hata we Katika maisha ya kila siku una apply scientific process.
Eti mkishajulikana kuwa official doctors. Sayansi haihitaji kuwa officialized na kuku yeyote kuact, Maana yenyewe hutenda sawa na Ukamilifu wake, iwe unaojua au hujiui.🤣Bac mkishajulikana kuwa official doctors nitaenda. So far Nina Imani na ujuzi wa madaktari waliosomea mwili wa binadamu kwa miaka 7 na miaka mingi ya uzoefu
Eti video za behind the scenes... Ndugu, yaani kumbe HATA MAZINGAOMBWE UNAYAONA KWENYE VIDEO??????🤣Angalia video za behind the scenes zao....Sasa unaniuliza mie..sio mtaalamu wa haya mambo..wataalamu wapo wanaelezea na hata we ukifundishwa unaweza
Nina kitabu cha oliver sack huyu ni neurologist kaandika kitabuKama hayo yote unayoyasema ni Hallucination, je ni hallucination ya aina gani?
Kweli nimeamini alichosema member mmoja huko juu kuwa nyie ni wanafunzi bado watoto wadogo, ukikuwa na kutoka kwa mjomba wako pengine ndio utajione hali ilivyo.Huna mfano halisi...fanya research...mi Sina duka..ila mjomba wangu anaduka hayo Mambo hayapo...ni story tu za mtaani. Kama una real evidence ya sehemu na situation hio onyesha na independent source
Sijataja mahali Uchawi wa Kufanikiwa kwa MTU, Ila nimetaja mnachoita uchawi wa Kutibiwa kwa mtu. Unajizungusha tu.Mpaka sasa hujanipa connection ya uchawi na kufanikiwa KWA mtu zaidi ya kutunga uongo ILI umtafutie bibi yako wateja kuwaibia watu.