Mimi sio Hallucinations mkuu mm ni real kabisa na hapo chini naleta sasa.Kama una ushahidi wa mapepo tuletee
Stupid, ROHO is an old term for CONSCIOUSNESS.
Huyo unayemtaja naye hajui tu kama wewe, zipo 4 tu.Katika hizo 4 kila moja imegawanyika mara 4 tena na kufanya ziwe 16.
Uchawi hauna mamlaka juu ya ukuu wa Mungu
ukikutana na mada za kufundisha mambo ya Kiroho unazipita kama huzioni.
Sasa ikija vita ya kiroho ndo hivo.. tunakupoteza tu.
Wajibu ni wako, kama unataka tu kuthibitsha sema upelekwe. Itakugharimu nauli yako tu utakutana na wagonjwa wa juzi, Jana na hata wa leoleo. Nawe utaasses majeraha yao, kisha utafuatilia matibabu na uponaji wao.
Zingatia: Sikusema week mbili, NI MOJA TU.
Ndio...watu wanaoamini uchawi most of them ni watu wa uswahilini, au vijijini watu ambao hawana elimu au fikra za kisayansi...wanaendeshwa kwa hisia na upepo wa fikra za jamii.
Kiboko ya wachawi ni nguvu ya Mungu tu iliyopo ndani ya damu ya Yesu.........washauri ndugu zake wampeleke kwenye kanisa lolote akaombewe apokee uponyaji.
Yaani unataka tuanze kujadili hoja kwa msingi wa tafsiri ya Google???? Una umri gani ndugu?Bas soma definition ya uchawi google afu urudi hapa...naona hujui unachoongea
Kwanza Mimi sijasema Mazingaombwe ni Uchawi... Ila ni wewe unayefikiri Uchawi ni sawa hayo Mazingaombwe.Sijasema computer fictions jamani afu unakera kinoma....unazunguka hapa hapa. Nimekuambiaje, tafuta breaking the magician codes au video zinazoelezea mazingaombwe na wewe uelewe. Kama hutaki acha, Baki kuamini kuwa ni uchawi. Ile ni talent Kama zingine tu, Kama mtu kujua kudance lazma ujifunze skills fulani
Wewe hujui Uchawi ni nini na yaweza kuwa unauishi.Si ndo Sayansi yenyewe...hayo matibabi asilia ni Sayansi...Sayansi sio lazma uchomwe sindano...hujui Sayansi ni Nini ndo maana unaongea ujinga tu..hujui hata uchawi wenyewe unaoongelewa huku ni Nini...hatuongelei kutibu kutumia miti... tunaongelea watu kutokewa na majini usiku...so rejea kichwa husika please
Uchawi si kuloga tu kupata hela, Uchawi ni kufunga mwizi asiibe, Uchawi ni kufunga mke asichepuke, Uchawi ni kuchanja mifugo iongezeke, Uchawi ni kujua usalama wa safari yako, Uchawi ni kujua wabaya wako, Uchawi ni kutibu magonjwa yako, Uchawi ni kinga, Uchawi ni silaha, Uchawi ni kila kitu...Si ndo Sayansi yenyewe...hayo matibabi asilia ni Sayansi...Sayansi sio lazma uchomwe sindano...hujui Sayansi ni Nini ndo maana unaongea ujinga tu..hujui hata uchawi wenyewe unaoongelewa huku ni Nini...hatuongelei kutibu kutumia miti... tunaongelea watu kutokewa na majini usiku...so rejea kichwa husika please
Kama unaamini stori za kusikia dhidi ya stori za kuthibitisha mwenyewe, umefanya chaguo jema.Hizo stori nimeshazisikia kuna mtu kapelekwa huko lindi alipata ajali ya pikipiki kaenda hakuna kitu kilichofanyika ikabidi arudi hospital
Wanajf ni rai yangu kuangalia hawa watu utapeli umekuwa mkubwa sana matapeli ni wengi.
BE AWARE OF SCAMMERS.
Hujakutana na maswaibu wewe! Unaweza kwenda na dalili zote za kisukari hospital hao madaktari wako waliosoma miaka 7 wengine 10 kila wakipima hawaoni ugonjwa..pima pima hawaoni ugonjwa ila una dalili zote za mgonjwa wa kisukari..mwisho wa siku hao hao madaktari wanawaambia go back to the roots..🤣Bac mkishajulikana kuwa official doctors nitaenda. So far Nina Imani na ujuzi wa madaktari waliosomea mwili wa binadamu kwa miaka 7 na miaka mingi ya uzoefu
Hakuna unalojua wewe!Bure kabisa...! Nashangaa hata watu wanaokujibu! Unaweza ukawa una type upo sebleni kwa shemeji hapo unaangalia katuni..!Sijasema computer fictions jamani afu unakera kinoma....unazunguka hapa hapa. Nimekuambiaje, tafuta breaking the magician codes au video zinazoelezea mazingaombwe na wewe uelewe. Kama hutaki acha, Baki kuamini kuwa ni uchawi. Ile ni talent Kama zingine tu, Kama mtu kujua kudance lazma ujifunze skills fulani
Huo mfano jitolee mwenyewe[emoji1787]Mi naweza sema we ni shoga bila kuishi na wewe, ni assumption tu...Sina evidence Kama wewe huna evidence ya kusema ni mchawi zaidi ya hisia zako za ujinga na wivu
1:Kazi ya huyo pope ilikua ni kutoa majini na wachawi1. Pope kafanyaje?
2. Huyu mdada ni tricks za magic Kama nyingine tu...jifunze code zao utaelewa video zipo kibao YouTube Kuna Hadi vipindi vya breaking the magician code...vinaelezea mazingaombwe Yanavyofanywa hata we ukijifunza unafanya ni akili tu
3. Halloween ni tradition, ni kama Christmas..kule wenzetu Christmas wanaita happy holidays na ni sikukuu coz of tradition.. Halloween kwao si kwamba wanalogana na kufanya uchawi...no wanahave fun kuvaa nguo za kichawi na kutembeleana ni sikukuu tu haina uchawi.
Bado hujaprove kwamba jamii za wazungu zinaamini uchawi.
Every action has an equal and opposite reaction, ukiielewa hii vizuri hutawaza kuhusu 500 ya Bure Wala shortcuts[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We ungepata chance ya kupata million 500 ya bure ungekataa...hamna kitu Kama hicho...ni wivu tu wa maendeleo. Eti hutaki shortcuts...