Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Mm nataka uthibitisho kwamba wewe sio passion amo. Siuoni.. weka UTHIBITISHO hapa kama wewe sio passion amo

Nimekuweka kundi MOJA na scammers wenzio waliosema kuna mtu anatibu kwa wiki MOJA.

Wana jf wapo makini tutatoa elimu msiendelee kuwaibia

BE ALERT WITH SCAMMERS
 
Nimekutumia video hiyo wakizungumza madhara yatokanayo na nadharia za uchawi na prof. Christine noe palanjo.
Nikutumie articles usome maana hakuna lecture aliyeanguka UDSM na hukuelewa hiyo tafiti inahusu nini.

Unaweza thibitisha lecture alianguka?
We jamaa bhana. Tafuta kitabu kimoja kaandika Malinowski- kinaelezea watu wa Trobriand. Mana nimekuambia uende udsm ukaonane nae akuelezee yeye mwenyewe ilikuaje hutaki. Unataka tubishane tu
Mm nimesoma aina za uchawi na nimefanya tafiti na nimekutana nao. Upo! Wew unaongea maneno matupu na video za kajumbu TV. Wew nenda udsm pale coss hata reception tu muulizie lekcha aliefanya tafiti za uchawi shinyanga utaoneshwa uongee nae.. yupo
 
Nimekuweka kundi MOJA na scammers wenzio waliosema kuna mtu anatibu kwa wiki MOJA.

Wana jf wapo makini tutatoa elimu msiendelee kuwaibia

BE ALERT WITH SCAMMERS
Shida ni kwamba unajivunia kilichomo kichwani mwako, hii inafanya tuonee huruma kizazi chako.
 
Nimekuweka kundi MOJA na scammers wenzio waliosema kuna mtu anatibu kwa wiki MOJA.

Wana jf wapo makini tutatoa elimu msiendelee kuwaibia

BE ALERT WITH SCAMMERS
Hujui kitu wew jamaa mweupee sana. Na unadhani unaweza kuongea kirahis watu wakajua una akili nyingi. Fanya research mzee achana na video mitandaoni, mtu anaweza kuongea Kwa hobi na ajenda zake tu.
Huna research, husomi, hufatilii. Watakusikiliza wapuuzi wenzako
 
Shida ni kwamba unajivunia kilichomo kichwani mwako, hii inafanya tuonee huruma kizazi chako.
Achana nae huyu jamaa hajui kitu.
Kama anataka ajue nimempa codes aende udsm yeye Kwa muda wake akantafte huyo mtu. Yeye ananitumia video mm za nn sasa?
 
Achana nae huyu jamaa hajui kitu.
Kama anataka ajue nimempa codes aende udsm yeye Kwa muda wake akantafte huyo mtu. Yeye ananitumia video mm za nn sasa?
Hawezi kwenda, hao wamezoea kuishi kwa Imani, kusikia vile vinavyowafurahisha tu.

Shida ni umri pia.
 
Shida ni kwamba unajivunia kilichomo kichwani mwako, hii inafanya tuonee huruma kizazi chako.

Hawezi kwenda, hao wamezoea kuishi kwa Imani, kusikia vile vinavyowafurahisha tu.

Shida ni umri pia.
Sasa ndo aje kubalehe humu?

Yeye ananiwekea video mm ya nn?. Hapo udsm Kuna article nyingi sana zinaelezea uchawi. Hajui mgogoro wa shinyanga kuua wazee wenye macho mekundu uliishaje. Sasa bado anakomaa na ujinga wake kichwani .

Akisema hapa mgogoro wa kuua wazee shinyanga uliiishaje nafungua thread Kwa ajili yake na kila siku namuamkia humu.
 
Hujui kitu wew jamaa mweupee sana. Na unadhani unaweza kuongea kirahis watu wakajua una akili nyingi. Fanya research mzee achana na video mitandaoni, mtu anaweza kuongea Kwa hobi na ajenda zake tu.
Huna research, husomi, hufatilii. Watakusikiliza wapuuzi wenzako


Wewe ulisikia tafiti unasema UDSM lecture kaanguka na hukuelewa hiyo tafiti inahusiana nini are you a scammer?
 
🤣🤣🤣Majini ni nonsense tu...ni beliefs za pagan Arabs ambazo mtume aliziiba akizitia kwenye uislam. Ndo maana majini ni central belief in Islam. Na ukiwa muislam lazma uamini majini...🤣 otherwise ni story tu ka zingine
Hahaha... mimi nilidhani hoja kama hizo ni za mabishano ya kidini sasa nashangaa na wewe umezibeba, yani unataka kutuambia ni jamii ya kiarabu tu ndio kuna imani ya kuwepo majini?
 
Shida ni kwamba unajivunia kilichomo kichwani mwako, hii inafanya tuonee huruma kizazi chako.


Wewe nishakuweka kama scammers kwa kushindwa kuthibisha hivyo tumemalizana ukipata uthibitisho utaleta hapa
 
🤣🤣🤣🤣Ukondoo? Me najua kondoo ni mnyama so sijui Ukondoo ni Nini..na hamna mtu ni mtumwa wa Sayansi. Sayansi hubadilika, hukubali Kama hapa tulikosea..ndo maana kila siku magari Simu na vitu vingine Bora vipya vinatoka. Ndo maendeleo, ushirikina unalazimisha alichoamini Babu ambae hakujua dunia ni duara na wewe kitukuu uamini hicho hicho. Ndo maana napinga maendeleo coz bila kukosoa walichoamini mababu hatuwezi kuendelea kifikra...so so far uchawi ni uwongo .embrace science and knowledge coz inaenda na wakati na uvumbuzi wa kimaarifa
Sasa sayansi ndio inakosea au watu ndio hukosea?
 
Hii ndo nn? Ya nn mm?

Nenda kasome umesema UDSM wamefanya utafiti wakaelezea kwamba upo uchawi utofauti ILA wao wanapinga .

Ndio maana nasema wewe ni scammer na tunaendelea kuelimisha jf watu wanapata elimu sasa mtaacha tu utapeli.

Thibitisha lecture alianguka?
 
Nenda kasome umesema UDSM wamefanya utafiti wakaelezea kwamba upo uchawi utofauti ILA wao wanapinga .

Ndio maana nasema wewe ni scammer na tunaendelea kuelimisha jf watu wanapata elimu sasa mtaacha tu utapeli.

Thibitisha lecture alianguka?
Article yake Iko library pale. Nenda kaitafte. Umegugo hujapata 😅🤣🙌
 
Article yake Iko library pale. Nenda kaitafte. Umegugo hujapata 😅🤣🙌

Nimekutumia video dr richard sambaiga, cristine noe palanjo BADO wanaogea umebisha nimekutumia article toka daily news wakiwa quoted walichoongea BADO unabisha


Nilikwambia wewe ni scammer kubali.

Tutatoa elimu msiendelee kuwaibia watu.
 
Back
Top Bottom