Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Oke uchawi hakuna unaweza kuthibitisha kuwa haupo?Ndio...au unadhani sauti yako ya akilini mwako unavyoongea nayo ndo unaongea na Mungu ..🤣hi ni mada nyingine cheki thread za mada za Mungu.
Jibu swali Mungu yupo au hayupo? Ndio au Hapana? Sio unarukarukaNdio...au unadhani sauti yako ya akilini mwako unavyoongea nayo ndo unaongea na Mungu ..🤣hi ni mada nyingine cheki thread za mada za Mungu.
U can't prove a negative, 🤣🤣🤣hujui Sayansi, hujui math, hujasoma. Nikisema Nina mpira ukasema unaomba uuone nikakuambia unajuaje Sina ..🤣Mi ndo chizi...Sasa wewe unavyoniambia unajuaje haupo una shift the burden of proof. We unaamini uchawi upo.. tuonyeshe uthibitisho wowote. 🤣Kama huna uthibitisho bac ndo haupoWe jamaa una Hoja Gani mbona sijakuelewa vzuri? Uchawi haupo unaweza kuthibitisha kama haupo?
Umekwisha mjukuu wa ShetaniHayupo...🤣
🤣🤣🤣Hajulikani...skia mpaka lecturer wa udsm kafanya kazi ya research kuhusu uchawi na kaprove upo...hii news ingetangazwa hata BBC Kama magu alivyokuta corona kwenye papai...coz ni kitu ambacho ni supernatural...Ila imeishia kijiweni. 🤣Tatizo Washirikina mnapenda kujikosha eti wazungu nao wanaamini, wasomi, wanasayansi, 🤣ili msijione wajinga wenyewe...nyie wajinga tuUkiipata research hata Moja ya mzee mmoja anaitwa Mutebi mwalim udsm huko mtandaoni nakulipa laki Moja Kila moja
🤣Si kaumia au...🤣Sasa watu hawaumii auHoja yako hasa ni ipi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sisi hatutaki story, tunataka vivid evidence...story hata wewe unaweza nipa...tunataka hiyo research ututumie...We jamaa bhana. Tafuta kitabu kimoja kaandika Malinowski- kinaelezea watu wa Trobriand. Mana nimekuambia uende udsm ukaonane nae akuelezee yeye mwenyewe ilikuaje hutaki. Unataka tubishane tu
Mm nimesoma aina za uchawi na nimefanya tafiti na nimekutana nao. Upo! Wew unaongea maneno matupu na video za kajumbu TV. Wew nenda udsm pale coss hata reception tu muulizie lekcha aliefanya tafiti za uchawi shinyanga utaoneshwa uongee nae.. yupo
🤣🤣Mbona Azam tv wampost huyo Sasa au na Azam tv Wana agenda, hawataki watu waamini uchawi...🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hujui kitu wew jamaa mweupee sana. Na unadhani unaweza kuongea kirahis watu wakajua una akili nyingi. Fanya research mzee achana na video mitandaoni, mtu anaweza kuongea Kwa hobi na ajenda zake tu.
Huna research, husomi, hufatilii. Watakusikiliza wapuuzi wenzako
Unafaham mgogoro wa kuua wazee wenye macho mekundu shinyanga uliiishaje?🤣🤣🤣Hajulikani...skia mpaka lecturer wa udsm kafanya kazi ya research kuhusu uchawi na kaprove upo...hii news ingetangazwa hata BBC Kama magu alivyokuta corona kwenye papai...coz ni kitu ambacho ni supernatural...Ila imeishia kijiweni. 🤣Tatizo Washirikina mnapenda kujikosha eti wazungu nao wanaamini, wasomi, wanasayansi, 🤣ili msijione wajinga wenyewe...nyie wajinga tu
Tutumie research ya huyo jamaa...🤣Achana nae huyu jamaa hajui kitu.
Kama anataka ajue nimempa codes aende udsm yeye Kwa muda wake akantafte huyo mtu. Yeye ananitumia video mm za nn sasa?
Unafaham mgogoro wa kuua wazee shinyanga uliiishaje? Ukipatia tutaendelea kujadili🤣🤣Mbona Azam tv wampost huyo Sasa au na Azam tv Wana agenda, hawataki watu waamini uchawi...🤣🤣🤣🤣🤣🤣
IPO library udsm. Nenda kaitafteTutumie research ya huyo jamaa...🤣
Yaani Kati ya sisi ambao mpaka tuone kitu ..tuthibitishe ndo tuamini...🤣🤣na wewe ambae ukiskia story za wajinga kijiweni unaamini....yupi anaishi kwa Imani...🤣Niambie umri wa kuamini uchawi ni upi..maana navyoona mbona watoto wanaamini uchawi zaidi ya watu wazima...🤣ni elimu tu itawakomboa watanzania wenzanguHawezi kwenda, hao wamezoea kuishi kwa Imani, kusikia vile vinavyowafurahisha tu.
Shida ni umri pia.
🤣🤣🤣🤣Wazee kuuliwa shinyanga ni kama ulaya mabibi kuuliwa...solution yake ni elimu ..hata shuleni tunasoma kuhusu witch burnings, killing albinos etc so over time lazma watu wataelimika. Zamani watu waliua albinos na kuwatenga ila Sasa tunaishi nao freshi that comes from elimu...ndo hivyo...🤣🤣🤣Sasa we unataka utuambie solution ilikuwa Nini...kusaini mkataba na wachawi au...Sasa ndo aje kubalehe humu?
Yeye ananiwekea video mm ya nn?. Hapo udsm Kuna article nyingi sana zinaelezea uchawi. Hajui mgogoro wa shinyanga kuua wazee wenye macho mekundu uliishaje. Sasa bado anakomaa na ujinga wake kichwani .
Akisema hapa mgogoro wa kuua wazee shinyanga uliiishaje nafungua thread Kwa ajili yake na kila siku namuamkia humu.
Unafahama mgogoro wa kuua wazee wenye macho mekundu shinyanga uliiishaje?Yaani Kati ya sisi ambao mpaka tuone kitu ..tuthibitishe ndo tuamini...🤣🤣na wewe ambae ukiskia story za wajinga kijiweni unaamini....yupi anaishi kwa Imani...🤣Niambie umri wa kuamini uchawi ni upi..maana navyoona mbona watoto wanaamini uchawi zaidi ya watu wazima...🤣ni elimu tu itawakomboa watanzania wenzangu
Case closed! Fanya research. Kumbe wwe ni empty mind🤣🤣🤣🤣Wazee kuuliwa shinyanga ni kama ulaya mabibi kuuliwa...solution yake ni elimu ..hata shuleni tunasoma kuhusu witch burnings, killing albinos etc so over time lazma watu wataelimika. Zamani watu waliua albinos na kuwatenga ila Sasa tunaishi nao freshi that comes from elimu...ndo hivyo...🤣🤣🤣Sasa we unataka utuambie solution ilikuwa Nini...kusaini mkataba na wachawi au...
🤣🤣🤣Aaah kweli Bora Kuna internet...bila internet ukikaa mtaani na wajinga unadanganywa Sana...cheki sasa mtu alikuwa kashapotea kisa kukosa maarifaWewe ulisikia tafiti unasema UDSM lecture kaanguka na hukuelewa hiyo tafiti inahusiana nini are you a scammer?Researchers conduct study on witchcraft beliefs - Daily News
A TEAM of researchers at the University of Dar es Salaam (UDSM), in collaboration with human rights organisations…dailynews.co.tz
Jinns wameanza Arabia...na translation yake ni majini...🤣🤣🤣Sasa Kama Hilo unabisha soma Quran yako...Hahaha... mimi nilidhani hoja kama hizo ni za mabishano ya kidini sasa nashangaa na wewe umezibeba, yani unataka kutuambia ni jamii ya kiarabu tu ndio kuna imani ya kuwepo majini?
🤣🤣🤣🤣Umeumbuka umetudanganya banaHii ndo nn? Ya nn mm?
🤣🤣🤣Sayansi ikikosea inabadilika...we unataka Kama Babu yako alikuwa mjinga na we uwe mjinga eti kisa utamaduni...ndo maana Africa hatuendelei..Sasa sayansi ndio inakosea au watu ndio hukosea?