Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Sasa wewe unagugo hapohapo na kuleta USHAHIDI hapa hauna kichwa Wala miguu. Unadhani mm kugugo siwez Njoo na kitabu nitakuskiliza passion_Amo.
🀣🀣🀣🀣Tupe research yake...hio ni daily news .. official mainstream media...inaaminika...🀣🀣kitabu hata mi naandika...Tupe credible source
 
Yeyote asiyeamini uchawi upoo ujue Hana Mungu...
Vitabu vya dini zote mbili kubwa zimetaja uchawi Sasa kama Mtu haamini ujue huyo Sio Muislam Wala Christian
Kubisshana nao ni kupoteza muda tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Post na 653 vitabu vya dini vina makosa kibao ..vina uwongo kibao .. quran inasema Mungu anashikilia anga usianguke ..πŸ˜‚Allah hajui kwamba watu wanaenda mwezini....πŸ˜…πŸ˜‚bila ruhusa yake. Skia uje na hoja dini ni hoja mbaya Sana utaaibika
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Bac nitumie Mimi mauchawi niyaone ukishindwa bac...😊we ni chizi wa miaka 10
 
🀣🀣🀣Aaah kweli Bora Kuna internet...bila internet ukikaa mtaani na wajinga unadanganywa Sana...cheki sasa mtu alikuwa kashapotea kisa kukosa maarifa

Na BADO anabisha wakati ma proffesor wa chuo wameongea nimempa na MAJINa ya maprofesa na wanapinga hicho kitu

Lakini bado anabisha nimemuweka kundi moja na scammer mwenzake.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Naomba evidence ya hio research mbona google wanasema opposite...uliskia udsm uchawi ukaconclude bila hata kusoma..πŸ˜‚ndo maana nasema huna elimu wewe

Halafu ni mbishi yaani anabishana na maprofesa huyo dr richard sambaiga ni department wa sociology and anthropology anapinga hizo nadharia.

sasa sijajua ni hawezi kusoma kingereza au vipi lakini bado anapinga.
 
Halafu ni mbishi yaani anabishana na maprofesa huyo dr richard sambaiga ni department wa sociology and anthropology anapinga hizo nadharia.

sasa sijajua ni hawezi kusoma kingereza au vipi lakini bado anapinga.
We unagugo Tatizo. Mm siwez kutumia miaka 3 kusoma kitu kitaaluma Leo nije kubishana na mtu anaegugo hapohapo na kuweka hoja hazina kichwa Wala miguu
 
Point sio wengi kuamini hilo linajulikana kuwa wengi hawaamini, ila hoja yako ya kwamba wanaoamini uchawi ni watu wasioelimika tu kwamba kutokuwa kwao na elimu ndio kunafanya waamini uchawi hapo ndio nimepinga hilo suala.

Kwahiyo point ni kwamba wapo watu waliyokuwa na elimu ambao wanaamini uchawi,majini,ndoto n.k

Halafu kuna kitu kimoja wenzetu huko wao huona aibu kwenye kuonekana unaamini haya masuala kama ya uchawi kutokana na jamii yao ilivyo ni tofauti na sisi tuna uhuru wa kuelezea na kufanya ila mwisho wa siku haya mambo kwa wenzetu yapo na si kwenye vitabu tu bali kuna hadi madarasa yenye kufundisha na wataalamu wenye kuhudumia watu katika masuala haya.

Google kuhusu Psychic reading usome uone wenzetu wana deal na vitu gani.
 
Asigugo yeye kama anataka vitabu watu wamefanya research za hayo mambo aache email nimtumie mana Hana kitu kipya. Aina za uchawi mpaka udsm kwenye hiyo department wanafundisha. We unahangaika na mtu anaegugo ndo anajibu sasa unafanya nn
 
Nilishuhudia mtu aliyevunjika mguu akatibiwa kienyeji akapona....matibabu...ni uganga....uharibifu...ni uchawi...na washirikina ni watu dizaini yako.πŸ™‚
 
Nilishuhudia mtu aliyevunjika mguu akatibiwa kienyeji akapona....matibabu...ni uganga....uharibifu...ni uchawi...na washirikina ni watu dizaini yako.πŸ™‚
Huyu jamaa ni European philosopher!. Anatumia standard za biomedicine na European science kujaji ukweli wa maisha ya watu ambao sio European.

Nadhani AELIMISHWE TU
 
Nimeeleza vitu ambavyo umeshindwa kuvielewa na hata unachokieleza haukielewi mara ng'ombe sio uchawi ila akipaa ndio uchawi sasa ndio unaongea nini? Punguza utoto.

Dogo sayansi ina maana yake na ina misingi yake usilete habari zako za sijui ukiendesha bicyle nayo ni sayansi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…