Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro, wife utakuwa umepigiwa...,ndo maana una sonona, we fuata instinct zako, chunguza vizuri hao watumishi unao wahisi hisi...Tarehe 10/07/2023 asubuhi ya saa moja na dakika kadaa watoto wangu wawili darasa la sita na mwingine la kwanza, walianza kupiga kelele kama kushangaa. Kitendo kilichokera mama yao na mimi pia. Kutoka wananionesha bundi aliye kuwa akidodoka kutokea juu ya bati/ paa ya nyumba yangu. Alipo fika chini alionekana amekufa miguu juu yaani alikufa akiwa chali. Hivyo nikaishia kushangaa tu. Nikawaelekeza watoto wasimwambie mtu yeyote tendo lile. Mwezi mmoja nyuma njiwa poli alikutwa amekufa upenyuni mwa nyumba yangu kubwa amabayo imebakia marumaru na baadhi ya vitu ikamilike. Nilichunguza nikagundua njiwa alijigonga kwenye alminium/ kioo cha dirisha akafa. Sikujali ila niliwaelekeza pia watoto wasiongelee lile tukio.
Sasa huyu bundi baada ya kuonekana amekufa nikarudi ndani kuoga na kujiandaa ili tuelekee kazini na watoto waelekee shule. Sasa mke wangu ana mtoto mwingine wa tatu mwaka mmoja na miezi miwili. Tumemuajiri binti wa jirani anakuja kumchukua na kushinda naye halafu mke wangu anamchukua anapotoka kazini mida ya saa tisa au kumi jioni.
Hivyo alikuja kumchukua mtoto kama ilivyo ada. Kwa kuwa niliwataka watu wasijue mke wangu alipo sikia kengele ina gonga akaniambia yule binti atakuwa ameijia mtoto kwa hiyo nikamtoe yule bundi ili asione ikajulikana kwa kuwa nimeamua iwe siri yetu.
Kweli nilitoka nikamtupe nje ya fensi. Cha kushangaza nilipo msogelea akainuka kama anataka kuruka. Nikachukua fimbo ya ufagio wa ndani nikampiga nayo kwa nguvu mara moja tu akaonekana amekufa. Nikashika bawa lake moja na kumrusha nje ya fensi. Nikaondoka kazini kama kawa.
Kilichofuata mida ya saa nne asubuhi kulitokea kutoelewana na mke wangu kwa kiasi kikubwa na kila nikielezea sababu ya ugonvi huo ndugu wananishangaa kuonesha eti mimi ndiyo mwenye makosa. Ila kiukweli toka hiyo siku sijisikii kumkubali wife hii hali napambana nayo kwa kiasi kikubwa na ninaona speed yangu ya kufanikisha malengo yangu inapungua sana na ninakosa ule umotomoto wa hamasa ya maendeleo kutokana na chuki kwa wife. Hata leo nimeamka na hali ya kutompenda wife, bila sababu ya msingi kwa kukelwa na kosa alilotenda siku hiyo nashindwa kusamehe, japo alikosea sharti langu la kumtaka asiwe anapakizwa na watumishi wenzie wa kiume sipendi na ndicho alifanya. Japo alieleza sababu ya kutenda vile nimekuwa mzito kusamehe.
Sasa wanajamii forum niwaulize sababu ni huyu bundi au ni nini? Hali yangu kwa sasa nimbaya kutokana na sonona takribani mwezi huu wote siko sawa kabisa. Najisikia kukata tamaa.
Ambacho hauelewi dogo ni kwamba kuna misimamo aina mbili kwamba kuna wenye kuona hakuna uchawi na wenye kuona uchawi upo, sasa tatizo lenu mnalazimisha wenzenu msimamo wenu kwa kutaka wasiamini uchawi bila kuwapa sababu za msingi, yani mnataka tu wafikirie ni hallucinations au coincidence tu ila wasiamini ni uchawi. Mnawaita hadi wajinga kwamba hawana elimu kisa tu wanaamini ambacho nyie mnakipinga.🤣🤣🤣🤣Ndio...kwa Nini utudanganye Sasa...yaani we uje uje tu na story zako mbele ya watu wazima wenzako afu si tukuamini tu kisa we unaamini. Dunia haipo hivyo, Kama huna uthibitisho huna maana, hata sheria inafanya kazi hivyo. Sayansi same thing. Bac Kama huna uthibitisho tofautisha situations ambazo uchawi unahusika na hauhusiki..🤣bado huwezi..Sasa unakuta situation moja mwingine asie na elimu anasema ni uchawi mwingine anaona ni natural coincidence au hallucinations. So ili tuweke kitu clear lazma wote tuone...🤣🤣tuna attack Imani kwa sababu Imani itself it's an excuse. Mtu anaweza abudu jua mbwa it's just imani, wote wakiomba wanapewa..the question comes ni kweli jua linajibu maombi au ni we mwenyewe..same applied to uchawi na Imani nyingine
Hujawahi kusikia tunasema Mungu kampenda zaidi?🤣Ila akifa si bado mnasema karogwa
Kwanza kabisa huwa mna akili ndogo sana kwa sababu mtu kuamini uchawi haina maana naye ni mchawi au ana huo ujuzi wa uchawi, kama ambavyo mtu akisema yeye anaamini sayansi sio lazima awe mwanasayansi au amesoma sana mambo ya sayansi, hili tuwekane sawa.We si unaamini uchawi upo, na sitegemei uchawi uwe na limitations za mipaka au umri au elimu ya watu, nataka uyarushe mauchawi huku niyaone na Mimi...🤣kwani shida ni Nini...
Ila wewe ndio unataka sisi tuamini unachosema wewe? Hakuna aliyekulazimisha kuja kusikiliza hizi story, we umekuja humu na hiyo misimamo yako na unataka watu waache wanachokiamini na kufuata hiyo misimamo yako ndio tatizo lilipo.🤣Nimekuambia unirushie mauchawi yako huku...mbona ngumu...Sasa mi nisikilize story ngapi, mi siamini kwa story story
Matatizo ya kichawi yapo na watu wanaenda sehemu husika kuyatatua na maisha yanaendelea, wewe endelea kuzungumzia upande wa habari za hallucinations na waganga matapeli.Yanatatua bac?
Hizi nazi njia panda nimezitafuna sana. Enzi hizo life gumu sana inapita siku hujala hivyo ukikutana na nazi imevunjwa na bado mbichi basi unamshukuru Mungu.Mimi sijawahi kushuhudia uchawi zaidi ya kukuta vitu vimevunjwa barabarani Kama Nazi n.k
Lakini nimeshuhudia nguvu za Mungu katika maisha yangu, so Kama Mungu yupo basi uchawi utakuepo japo siwezi kushuhudia wala kuuona kwa sababu Mungu ndio Mkuu wa mamlaka atawalaye.
Wewe ni Kituko sana, kwahiyo kuliona jua kunakupa uthibitisho gani wa kisayansi kuhusu mechanism ya jua labda?🤣Unahitaji maabara ulione jua...🤣Kuna many forms of research bana experimentation is just one of them.. Rudi form 4 geography
Nimesema ni hallucinations...Sasa Kama we hutaki hio sababu kwa sababu babu yako aliamini uchawi na we uamini, mi Sina msaada na wewe.Ambacho hauelewi dogo ni kwamba kuna misimamo aina mbili kwamba kuna wenye kuona hakuna uchawi na wenye kuona uchawi upo, sasa tatizo lenu mnalazimisha wenzenu msimamo wenu kwa kutaka wasiamini uchawi bila kuwapa sababu za msingi, yani mnataka tu wafikirie ni hallucinations au coincidence tu ila wasiamini ni uchawi. Mnawaita hadi wajinga kwamba hawana elimu kisa tu wanaamini ambacho nyie mnakipinga.
Hapa watu wenye kuamini uchawi wanatoa visa vya matukio yenye kuhusishwa uchawi, inaweza kuwa katika hivyo visa sio vyote vilikuwa ni uchawi kama ambavyo wao walivyovitafsiri ila pia hauwezi kusema tu kuwa visa vyote sio uchawi kisa tu wewe haumini uchawi. Kama wewe una elimu na unajua hakuna uchawi basi ungeeleza basi kila kisa hapo si uchawi na ni kitu gani kitaalamu ila unakimbilia kwenye kudai uthibitisho ila wewe hauthibitishi hiyo elimu yako.
🤣So Mungu anauwa watu nae?Hujawahi kusikia tunasema Mungu kampenda zaidi?
Bac Baki nao kichwani, usinitishe. Maana mtu anakuja Kuniambia hoo Mara tulia upigwe kizito Mara sijui kia uyaone, mtu haji na hoja yoyote. Mara matusi sijui shoga sijui nipo mjini (mtu hata hajui nipo wapi). Ndo maana nasema Kama uchawi upo, ungekuwa open kwa kila mtu. Lakini surprise ni kwamba ni watu wachache wenye qualities fulani(wajinga au maskini au waliokua katika jamii za kishirikina) ndo wanaamini hivyo vitu. Ila mtu wa kawaida hawezi ona uchawi hata iweje, why. Coz haupoKwanza kabisa huwa mna akili ndogo sana kwa sababu mtu kuamini uchawi haina maana naye ni mchawi au ana huo ujuzi wa uchawi, kama ambavyo mtu akisema yeye anaamini sayansi sio lazima awe mwanasayansi au amesoma sana mambo ya sayansi, hili tuwekane sawa.
Hapa tunajadiliana kwa hoja kama watu wenye mitazamo tofauti ndio katika hili suala.
i prefer physicsReality isn't hallucinations. Soma biology form 3 plz
Mimi staki mtu yoyote anifate Mimi. Misimamo yangu hauijui. Kuna tamaduni hazina msaada na zinaendelea kupumbaza watanzania. Jamii nyingi ambazo zinaamini uchawi hazijaendelea..hili we mwenyewe unaona..Kuna mtu kasema hapa uchawi ni chanzo Cha upumbavu na umaskini. We unaweza uamini uchawi upo sawa amini, ila unapohusisha na maisha yako...unakuwa tu mtu wa kutafuta kitu Cha kulaumu badala ya kusolve matatizo yako. Imagine wenzetu kila kitu wangesema ni uchawi, unadhani wangevumbua ndege, rockets, satellite etc. Si wangetumia ungo Kama mnavyosema, au kupotea na kutokea sehemu nyingine. Tuweni tu wa kweli katika Hili banaIla wewe ndio unataka sisi tuamini unachosema wewe? Hakuna aliyekulazimisha kuja kusikiliza hizi story, we umekuja humu na hiyo misimamo yako na unataka watu waache wanachokiamini na kufuata hiyo misimamo yako ndio tatizo lilipo.
🤣Si ndo hivyo...yaani mkiyatatua mnasema ni kweli, mkishindwa mnaita waganga matapeli. Hamna mganga tapeli wote wanabahatisha tu...ule ni utapeli Kama wa mwamposa tu. Kujaribu kutengeneza hela kupitia ujinga wa watuMatatizo ya kichawi yapo na watu wanaenda sehemu husika kuyatatua na maisha yanaendelea, wewe endelea kuzungumzia upande wa habari za hallucinations na waganga matapeli.
Sasa kweli tutaendelea Kama jamii yetu ipo hiviHizi nazi njia panda nimezitafuna sana. Enzi hizo life gumu sana inapita siku hujala hivyo ukikutana na nazi imevunjwa na bado mbichi basi unamshukuru Mungu.
Nakumbuka siku moja nimeokata nazi ilikuwa na sindano pembezoni, kijitambaa cheusi na miambili ya noti. Mara akaibuka mdada ananikoromea ’we mtoto hacha huo uchafu’ nikaona isiwe so, nikaachana navyo mara nageuka nyuma namwona huyo mdada anavirudishia kama nilivyovikuta.
🤣Si lipo ..watu waliyofanya research zaidi wamepata details zake kuhusu ukubwa, joto, etc. Sasa nani amefanya research akaona uchawiWewe ni Kituko sana, kwahiyo kuliona jua kunakupa uthibitisho gani wa kisayansi kuhusu mechanism ya jua labda?
Baki na Geography ya Form Four.
Physics Ina proof ya uchawi?
Ebu elezea kwa udani mkuuSingo maza kuolewa