Nipe hata nduguyo nipo tayari kusilimu
Yesu si ndiye Mungu wetu mkuu?Watu hawasilimu kwa kuoa.
Salim kwa maana ya kusilimu, kujisalimisha kwa Mola wako aliyekuumba siyo kwa Paulo, Siyo kwa Yesu, Siyo kwa Muhammad.
Kuuliza mtu umri ni shida kwani? [emoji6]
Oh pole sana! Usilie...you should be proud of her...hata kama ameshafariki!Huu uzi utaliza watu na ninaweza kujikuta mmojawapo......mi mama alinambia nisideke sana maana akifa ctazikwa nae!!!! R.I.P mama
Usiogope Mkuu, walio kazini kama wewe sio lengo lao hawakufanyi kitu, wakiona mwanga wa gari wanageuza uso wao au wanajificha pembeni ukipita wanaendelea na safari. Wakiku-tagert watakufuata hata nyumbani kwako mida ya saa mbili wakati unaangalia taarifa ya habari kupitia kituo cha runinga cha ITV.Kuchelewa kurud nyumbani, alikuwa anafinya masikio, Ni nani.... alikwambia... urudi usiku nyumbani.? Tabia ni kama ngozi aisee siku hiz nipo Huru ghetto narud usiku mshale unasoma AM. Night kali.
Kiukwel kutembea usiku sana sio jambo jema, hasa kama una drive Kuna mengi sana yana happen njiani. Assume umepata brake down. Au unakuta na na walio kazin.
Yesu si ndiye Mungu wetu mkuu?
Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, Mbona umeniacha?Yesu si ndiye Mungu wetu mkuu?
mbona hujaacha?? aaaaaah'Nikuambie kitu mwanangu, acha pombe'
"dunia hadaa ulimwengu shujaa"
'Nikuambie kitu mwanangu, acha pombe'
When poverty enters through the door love escapes through the window
na za kwako utatimiza lini mkuu?Alinambia nisimpige mwanamke pia alinambia kabla ya kwenda mbele za watu niwe nachana nywele...kitu kingine nilivokua mdogo kipinde kile cha wakimbizi wa Rwanda na Burundi waliokuja Tanzania kwa ajiri ya kujihifadhi tulikutana na jamaa mmoja akanambia "unamuona huyo mwanaume..ni Mwanasheria wa unhcr ntafurahi Siku nikimpata Mwanasheria ambae ni mwanangu..."nilijisemea moyoni IPO Siku ntamfurahisha mama.and here iam iam a lawyer nilitimiza ndoto za mama.