Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja siku nitavaa vizuri niwe mtanashati nitajitosa kituoni kwenda kumuulizia Ila yakinikuta tegemea nikirudi nitakushushia uzi wa lawama Kama zote kakawe muulize bhana, tusije sikia nusu mlingoti🤣😂
acha uoga, huyo shemeji nasikia ni binti bado??Ngoja siku nitavaa vizuri niwe mtanashati nitajitosa kituoni kwenda kumuulizia Ila yakinikuta tegemea nikirudi nitakushushia uzi wa lawama Kama zote kaka
Kuwa binti sio shida Kaka ,shida minyota mkuu na ukakisi alio nao pande zile hakuna asiyemjua kwa utata wakeacha uoga, huyo shemeji nasikia ni binti bado??
kumbe ni chombo Kama mzee alivyo sema😂🤣, nili wahi kuongea nae na ali kuwa poa.Kuwa binti sio shida Kaka ,shida minyota mkuu na ukakisi alio nao pande zile hakuna asiyemjua kwa utata wake
Embu fafanua hii ya kuanza kusoma cert nini advantage yake ukilinganisha na kuanza Degree ukitokea Form 6Wakuu ni kitu gani ambacho unajutia sana kukifanya maishani mwako.
Kwa upande wangu najutia sana kusoma Bachelor moja kwa moja toka Advance badala ya kuanza diploma au certificate ningekuwa nimesha ajiriwa au kupiga hatua kwa namna moja au nyingine kielimu kuliko kukaa na vyeti vya Bachelor ndani na ajira hakuna.
Ni jambo gani unajutia maishani?
Du Masters + Jobless=what?Najutia sana baada ya kumaliza degree nikaenda kusoma masters, huo muda bora ningekuwa nafanya hata internships nipate uzoefu wa kazi ningeshajipatia ajira au ile ada ningefanya biashara tuu.
Miaka 6 sasa hakuna cha maana mtaani hata hayo makaratasi hayajanisaidia chochote.
Sawa jumatatu ijayo nitaenda wacha nitafute confidence kabisa na nifanye rehearsal ya maongezi na uongeajikumbe ni chombo Kama mzee alivyo sema😂🤣, nili wahi kuongea nae na ali kuwa poa.
Ita kuwa uoga wako tu bwashee, ok. Uki kamatwa nita kuja kukutoa rumande
Kwahiyo unawaamini wa rangi gani mkuuKumwamini Mtu mweusi
Hii ndio Tanzania yetu mkuu sasa hivi kawaida sana kukuta degree na masters holder ni bodaboda, madalali na mawingaDu Masters + Jobless=what?
Who the hell is this bitchKila mwanaume anajutia:
View attachment 3211172
pole sana mkuu , lakini kaza moyo yatapita.. ... kila jambo na wakati wake!Kwa Sasa siwezi kuandika
Ila Nina maumivu na jeraha la moyo since 2023 November update
Hili jambo limenifanya nione kifo kwangu is the best option
But all in all mapenzi ya Mungu yatimie kwangu kama atakavyo yeye
Asante sanaaa ubarikiwe ... Nakaza moyopole sana mkuu , lakini kaza moyo yatapita.. ... kila jambo na wakati wake!
Piga moyo kondeKwa Sasa siwezi kuandika
Ila Nina maumivu na jeraha la moyo since 2023 November update
Hili jambo limenifanya nione kifo kwangu is the best option
But all in all mapenzi ya Mungu yatimie kwangu kama atakavyo yeye