Kitu gani unajutia kufanya maishani?

Embu fafanua hii ya kuanza kusoma cert nini advantage yake ukilinganisha na kuanza Degree ukitokea Form 6
 
Du Masters + Jobless=what?
 
Kufanya ngono na mwanamke ambaye sijui ni yupi katika wale kadhaa niliowatembelea aliyenifanya niwe na hii hali niliyo nayo leo
 
Kwa Sasa siwezi kuandika
Ila Nina maumivu na jeraha la moyo since 2023 November update

Hili jambo limenifanya nione kifo kwangu is the best option

But all in all mapenzi ya Mungu yatimie kwangu kama atakavyo yeye
 
Kwa Sasa siwezi kuandika
Ila Nina maumivu na jeraha la moyo since 2023 November update

Hili jambo limenifanya nione kifo kwangu is the best option

But all in all mapenzi ya Mungu yatimie kwangu kama atakavyo yeye
pole sana mkuu , lakini kaza moyo yatapita.. ... kila jambo na wakati wake!
 
Kwa Sasa siwezi kuandika
Ila Nina maumivu na jeraha la moyo since 2023 November update

Hili jambo limenifanya nione kifo kwangu is the best option

But all in all mapenzi ya Mungu yatimie kwangu kama atakavyo yeye
Piga moyo konde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…