MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Huenda kuna Mtu ama Watanzania tukaenda nae pamoja Kuhamia nchini Burundi na Basi la Esther au tukajikita zaidi na Kilimo cha Mafuta ya Alizeti au Kufuga Kuku Mkoani Singida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kuanzisha biashara ya kokoto kupitia yale majabali yaliyopigwa chata nchi nzima.Huenda kuna Mtu ama Watanzania tukaenda nae pamoja Kuhamia nchini Burundi na Basi la Esther au tukajikita zaidi na Kilimo cha Mafuta ya Alizeti au Kufuga Kuku Mkoani Singida.
Kuwa mtoto wa baba yake kunaweza kumlinda.Hilo mbona lipo dhahiri..Harudi yule hata yule Mmakonde wa bastola ana hati hati
Ndugu Nimecheka mpaka basi...!!!!!!Ama kuanzisha biashara ya kokoto kupitia yale majabali yaliyopigwa chata nchi nzima.
Kapigwa Chini Ka-Simu?Ka-telephone maskini
kakalia kuti kavu, muda wowote chiniKapigwa Chini Ka-Simu?
Kuna mtu yuko ndani ya Chungu mda huu anaoga dawa,K
kakalia kuti kavu, muda wowote chini
Aaaaauuwiii aaaaauuwiii aaaaauuwiii.......bundi yeye akula popo na kuwinda popo usikuHuenda kuna Mtu ama Watanzania tukaenda nae pamoja Kuhamia nchini Burundi na Basi la Esther au tukajikita zaidi na Kilimo cha Mafuta ya Alizeti au Kufuga Kuku Mkoani Singida.
Ila Jamaa anajua Kuroga hakuna mfano na anamtumia mno Mganga wa Kienyeji HATARI ws Klabu yake pendwa ya Yanga SC atokaye Kilosa Mkoani Morogoro ambaye kwa hapa Mkoani Dar es Salaam anaishi Kigamboni na muda mwingine Masaki mitaa ya Slip Way mita chache na anakoishi Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara ambaye Yeye pia pamoja na Msanii wenu Mkubwa Ndomo Ndomo wanamtumia mno ili Kuwalinda na Mahasimu Wao na hasa kuwainua Nyota.Kuwa mtoto wa baba yake kunaweza kumlinda.
Unauliza idadi ya Vifo nchini Uturuki?Kapigwa Chini Ka-Simu?
Baba Esther Luxury Singida Burundi Coach.Kuna mtu yuko ndani ya Chungu mda huu anaoga dawa,
Habari kama hizi hata zikiwa tetesi za uongo huwa ni faida kwa waganga.Kuna mtu yuko ndani ya Chungu mda huu anaoga dawa,
Kuna moja sijui la nani nimepishana nalo maeneo ya Kiromo likiwa Spidi likienda Bagamoyo na nahisi anayewahiwa ni Sangoma ( Mganga wa Kienyeji ) ili amsahaulishe Mama asimtumbue katika Mabadiliko yasiyokwepeka Weekend hii au Wiki ijayoHabari kama hizi hata zikiwa tetesi za uongo huwa ni faida kwa waganga.
Ma VX yanapishana vijiji mbali mbali saa hizi.
Kuna waheshimiwa ukikutana nao kwenye tiba unaweza sema mashetani maana mavazi sio suti tena bali ni kaniki.