Kitu kiko Jikoni tayari kinapakuliwa wakati wowote hivyo tuwapigie Simu Waganga wetu wa Kienyeji watuokoe ili tusinyolewe mazima

Kitu kiko Jikoni tayari kinapakuliwa wakati wowote hivyo tuwapigie Simu Waganga wetu wa Kienyeji watuokoe ili tusinyolewe mazima

1677271010492.jpg
1677271000931.jpg
 
Kuwa mtoto wa baba yake kunaweza kumlinda.
Ila Jamaa anajua Kuroga hakuna mfano na anamtumia mno Mganga wa Kienyeji HATARI ws Klabu yake pendwa ya Yanga SC atokaye Kilosa Mkoani Morogoro ambaye kwa hapa Mkoani Dar es Salaam anaishi Kigamboni na muda mwingine Masaki mitaa ya Slip Way mita chache na anakoishi Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara ambaye Yeye pia pamoja na Msanii wenu Mkubwa Ndomo Ndomo wanamtumia mno ili Kuwalinda na Mahasimu Wao na hasa kuwainua Nyota.

Na huyu Mganga wa Kienyeji ndiyo Yule ambaye aligandishwa Airport Jijini Tunis nchini Tunisia Yanga SC ilipoenda Kucheza na Klabu ya Monastir na Kufungwa nayo Goli Mbili ambapo wana Simba SC ( nikiwemo ) tuliwacheka sana bila kufahamu kuwa hata na Sisi tulikuwa tunaenda Kupokea Kichapo cha Mwana Ukome kutoka kwa Mwarabu Raja Casablanca FC cha Gongo ( Goli ) Tatu ambazo mpaka leo zimenichanganya mno Akili.

Hata hivyo huyu Mganga wa Kienyeji HATARI wa Yanga SC Safari hii wameenda nae nchini Mali na kafanikiwa Kupenya Airport na kwa Taarifa za uhakika ambazo MINOCYCLINE ninazo ni kwamba Ulozi ( Uchawi ) wake wote wa Kuirogea Yanga SC imfunge Real Bamako FC ya nchini Mali Keshokutwa ( Jumapili ) ataufanyia Sebuleni ( Nyumbani ) Kwao Kipa wa Yanga SC Djigui Diara.
 
Habari kama hizi hata zikiwa tetesi za uongo huwa ni faida kwa waganga.

Ma VX yanapishana vijiji mbali mbali saa hizi.
Kuna waheshimiwa ukikutana nao kwenye tiba unaweza sema mashetani maana mavazi sio suti tena bali ni kaniki.
Kuna moja sijui la nani nimepishana nalo maeneo ya Kiromo likiwa Spidi likienda Bagamoyo na nahisi anayewahiwa ni Sangoma ( Mganga wa Kienyeji ) ili amsahaulishe Mama asimtumbue katika Mabadiliko yasiyokwepeka Weekend hii au Wiki ijayo
 
Back
Top Bottom