Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaiba Sana yule.Ama kuanzisha biashara ya kokoto kupitia yale majabali yaliyopigwa chata nchi nzima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]Ama kuanzisha biashara ya kokoto kupitia yale majabali yaliyopigwa chata nchi nzima.
Sweetest day dreamers, piga kazi malizia miradi inakwenda vizuri.Huenda kuna Mtu ama Watanzania tukaenda nae pamoja Kuhamia nchini Burundi na Basi la Esther au tukajikita zaidi na Kilimo cha Mafuta ya Alizeti au Kufuga Kuku Mkoani Singida.
Juha Unawashwawashwa na nini?Hivi ni nani anayewaambia kua kuna PDF??
aU mnabashiri tu?..
Nasiki anaitwa Sabweka sio SangomaHabari kama hizi hata zikiwa tetesi za uongo huwa ni faida kwa waganga.
Ma VX yanapishana vijiji mbali mbali saa hizi.
Kuna waheshimiwa ukikutana nao kwenye tiba unaweza sema mashetani maana mavazi sio suti tena bali ni kaniki.
Una maanisha kabineti yote inapigwa chini?K
kakalia kuti kavu, muda wowote chini
Kuliwa kichwa ni kuombewa mabaya? Kwani alizaliwa na hiyo nafasi?Mbona mnapenda kuwaombea watu mabaya?
Aloo huyu naye ameng'ang'ana kama Luba.. [emoji23]Yule mwanamke wa kingoni bi kikokotoo Yuko ndani au nje?